Shambulizi sokoni Gaza laua watu 15
Shambulizi la majeshi ya Israeli kwenye soko moja huko Gaza limewaua watu 15.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Shambulizi laua 45 Nigeria
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Shambulizi la kujitoa mhanga laua 15
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LZfMsRt8tpkUXZYH98F0X9teiG4uZlQGJzg6xsquEieJidJhfIXoLSkWJnCrh1XfKiFeQq1K*9Ji6hRc4y3vginCIdiUSnQZ/151101063421_sp_somalia_atack_al_shabab_624x351_epa.jpg?width=650)
SHAMBULIZI LAUA 15 MJINI MOGADISHU
9 years ago
BBCSwahili01 Nov
Shambulizi laua 8 mjini Mogadishu
11 years ago
Habarileo02 Apr
Shambulizi la kigaidi laua sita Kenya
WATU sita wameuawa na wengine 25 kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la kigaidi katika eneo la California, mtaa wa Eastleigh jijini Nairobi. Kamanda wa Polisi mjini Nairobi, Benson Kibue alisema kuwa milipuko miwili ilitokea wakati magaidi waliporusha mabomu katika migahawa miwili midogo.
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Shambulizi lawaua watu 4 Burundi
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Shambulizi la Israel lawaua watu 10
10 years ago
Habarileo09 Sep
Basi laua watu 4 korongoni
AJALI nyingine imetokea nchini na safari hii imehusisha basi la Air Bus, lililokuwa likitoka Dar es Salaam kwenda Tabora.
9 years ago
Mtanzania03 Dec
Basi la Takbir laua watu 12
NA SEIF TAKAZA, IRAMBA
WATU 12 wamefariki dunia papo hapo na wengine 19 kujeruhiwa, baada ya basi la Kampuni ya Takbir kugongana na lori la mafuta katika Kijiji cha Kizonzo, Shelui Wilaya ya Iramba mkoani Singida.
Ajali hiyo ilitokea katika barabara kuu ya Dar es Salaam – Mwanza.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Thobias Sedoyeka, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa ajali hiyo ilitokea juzi saa 1.30 usiku wakati basi hilo lilipokuwa likitoka Dar es Salaam kwenda Geita.
Alisema...