Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UFARANSA YAPONGEZA MAUAJI YA KIONGOZI WA AL- QAEDA


Ufaransa imepongeza mauaji ya kiongozi wa kundi la Al-Qaeda katika eneo la Afrika Kaskazini wakati wa operesheni dhidi ya kundi hilo linalofanya mashambulizi makali katika eneo la Sahel. 


Waziri wa ulinzi wa Ufaransa Florence Parly, amesema kuwa Abdelmalek Droukdel aliuawa na wanajeshi wa Ufaransa siku ya Alhamisi katika eneo la Kaskazini mwa Mali karibu na mpaka na Algeria ambapo kundi hilo lina ngome zake linalozitumia kufanya mashambulizi ya mabomu na utekaji nyara wa raia wa...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al Qaeda ameuawa

Jeshi la Marekani linasema kuwa kiongozi mmoja wa kundi la kigaidi la al-Qaeda, ameuwaua katika shambulio la angani lililotekelezwa na ndege za kijeshi za Marekani nchini Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al-Qaeda auawa Pakistan

Kiongozi mwandamizi wa kundi la Al Qaeda anayeshukiwa kupanga kulipuwa treni mijini New York na London ameuawa nchini Pakistan

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al Qaeda kumtii mkuu wa Taliban

Kiongozi wa Al-Qaeda Ayman al-Zawahiri amekariri kumtii kiongozi wa Taliban nchini Afghanistan Mullah Akhtar Mansour

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al Qaeda nchini Yemen auawa

Tawi la kundi la Al Qaeda nchini Yemen limethibitisha kuuawa kwa kiongozi wake na ndege isiyokuwa na rubani ya Marekani

 

5 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al-Qaeda al-Raymi auawa na shambulio la Marekani

Qasim al-Raymi, Kiongozi wa kundi la AQAP tangu mwaka 2015, ameuawa na vikosi vya Marekani vilivyokuwa vikitekeleza operesheni zake nchini Yemen.

 

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa mauaji Ufaransa wauawa

Vyombo vya habari nchini Ufaransa vimeripoti kwamba washukiwa wawili katika mauaji ya Charlie Hebdo wameuawa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rwanda yaishtumu Ufaransa kuhusu mauaji

Serikali ya Ufaransa imetangaza kuwa inajiondoa katika maadhimisho ya miaka 20 tangia mauaji ya halaiki nchini Rwanda.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa IS aliyehusishwa na mauaji Paris auawa

Kiongozi wa kundi la Islamic State ambaye amehusishwa na shambulio la kigaidi la Paris Ufaransa ameuawa na majeshi ya muungano.

 

11 years ago

GPL

MAMBO 6 YANAYOMFANYA MTU AWE KIONGOZI BORA NA SIO BORA KIONGOZI‏

Tukiacha mbali picha ambayo mara nyingi au kwa miaka mingi imekuwa ikijengwa  vichwani mwa wengi wanapoona na kudhani kwamba fulani ni kiongozi bora [pengine kwa muonekano tu], au kwa sababu anashuka kutoka kwenye gari kwa mbwembwe, tabasamu baada ya kufunguliwa mlango na mkanda na kisha kupokelewa briefcase yake, yapo mambo kadhaa ambayo yanamfanya mtu awe kiongozi bora na sio bora kiongozi. Na kadri siku zinavyokwenda,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani