Mwanamuziki apatikana ameuawa Burundi
Mwanamziki mmoja kutoka Burundi amepatikana amefariki katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura baada ya kukamatwa na polisi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Shahidi wa ICC apatikana ameuawa Kenya
10 years ago
Vijimambo05 Jan
SHAHID WA ICC APATIKANA AMEUAWA KENYA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/03/150103203238_icc_building_624x351_afp_nocredit.jpg)
Maafisa wa polisi nchini Kenya wameupata mwili wa shahidi muhimu wa mahakama ya ICC siku chache tu kabla ya kutoa ushahidi wake katika kesi ya naibu wa rais katika mahakama hiyo.
Ripoti za vyombo vya habari nchini Kenya zinasema kuwa mwili wa Meshash Yebei ulipatikana karibu na mto zaidi ya wiki moja baada ya kuonekana akibebwa na kuingizwa katika gari moja lisilo na nambari za usajili katika mji wa Eldoret,umbali wa kilomita 200.
Bwana Yebei...
10 years ago
BBCSwahili22 Jul
Kiongozi wa Al Qaeda ameuawa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtp8wWoTZq7iehayGldclp7nxrdx3FU8iLGHM6IxFPhOfP5REH5F0IzjS6rQSmKnG*jBdS4SRqyK3MbIVlge0DaN/UKATILI.jpg?width=650)
MTOTO: BABA AMEUAWA NIKIONA
9 years ago
BBCSwahili06 Dec
Gavana wa Aden ameuawa katika shambulizi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqz-zlEb89GHXio-A21O3cA3wHdSbd9iLe3-rRQUjuVivZn7tVAsTsqkSbO5utWSnLeU9J1khKLlvmj*YdzjAe9c/BREAKINGNEWS.gif)
AKUTWA AMEUAWA ENEO LA AFRICANA-MBEZI JIJINI DAR
9 years ago
StarTV20 Nov
Mtuhumiwa utekaji malori, uporaji ameuawa akijaribu Kumpora Silaha Polisi
Kijana mmoja aliyekuwa anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuteka malori matano eneo la Milade barabara kuu ya Singida-Mwanza na kuwapora abiria mali na fedha ameuawa kwa kupigwa risasi wakati akijaribu kumvamia askari na kumnyang’anya silaha ili atoroke chini ya ulinzi.
Kijana huyo Dotto Wiliam mwenye miaka 30 mkazi wa Kibaoni Mjini Singida anadaiwa kukiri kutega mawe barabarani na kupora, jana majira ya saa tano usiku na kukubali kwenda pori la Minyunge-Singida kuonesha bunduki aliyoficha...
10 years ago
Vijimambo09 Feb
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Mtoto aliyeibwa apatikana