Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamuziki apatikana ameuawa Burundi

Mwanamziki mmoja kutoka Burundi amepatikana amefariki katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura baada ya kukamatwa na polisi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Shahidi wa ICC apatikana ameuawa Kenya

Maafisa wa polisi nchini Kenya wameupata mwili wa shahidi muhimu wa mahakama ya ICC siku chache tu kabla ya kutoa ushahidi wake

 

10 years ago

Vijimambo

SHAHID WA ICC APATIKANA AMEUAWA KENYA


Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC
Maafisa wa polisi nchini Kenya wameupata mwili wa shahidi muhimu wa mahakama ya ICC siku chache tu kabla ya kutoa ushahidi wake katika kesi ya naibu wa rais katika mahakama hiyo.
Ripoti za vyombo vya habari nchini Kenya zinasema kuwa mwili wa Meshash Yebei ulipatikana karibu na mto zaidi ya wiki moja baada ya kuonekana akibebwa na kuingizwa katika gari moja lisilo na nambari za usajili katika mji wa Eldoret,umbali wa kilomita 200.
Bwana Yebei...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al Qaeda ameuawa

Jeshi la Marekani linasema kuwa kiongozi mmoja wa kundi la kigaidi la al-Qaeda, ameuwaua katika shambulio la angani lililotekelezwa na ndege za kijeshi za Marekani nchini Syria.

 

11 years ago

GPL

MTOTO: BABA AMEUAWA NIKIONA

Stori: Haruni Sanchawa na Mkongoro Oging'
MTOTO mmoja aliyetambulishwa kwa jina la Joyce Jeremia, 11,(pichani)  amejeruhiwa vibaya katika mapigano ya wa kulima na Wamasai ambao ni wafugaji katika Kijini cha Laitini, Kiteto mkoani Manyara. Baba mdogo wa mtoto huyo Amos Njelu aliwasimulia waandishi wetu akiwa katika Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (Moi) amesema kuwa mtoto huyo alijeruhiwa Jumamosi ya Januari 12, 2014...

 

9 years ago

BBCSwahili

Gavana wa Aden ameuawa katika shambulizi

Maafisa wa kiusalama nchini Yemen, wanasema kuwa mlipuko mmoja mkubwa umemuua gavana wa mji wa Aden ulioko bandarini mwa taifa hilo pamoja na walinzi wake.

 

11 years ago

GPL

AKUTWA AMEUAWA ENEO LA AFRICANA-MBEZI JIJINI DAR

Mwili wa Erick 'Ras Kiduku' kama ulivyokutwa eneo la tukio. Ufunguo wa Bajaj aliyokuwa akiendesha marehemu Ras Kiduku. MWILI wa kijana ambaye ni dereva wa Bajaj aliyejulikana kwa jina la Erick maarufu kwa jina la Ras Kiduku umekutwa ukiwa umetupwa eneo la Kilongawima, Africana-Mbezi jijini Dar es Salaam. Pembeni…

 

9 years ago

StarTV

Mtuhumiwa utekaji malori, uporaji ameuawa akijaribu Kumpora Silaha Polisi

Kijana mmoja aliyekuwa anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuteka malori matano eneo la Milade barabara kuu ya Singida-Mwanza na kuwapora abiria mali na fedha ameuawa kwa kupigwa risasi wakati akijaribu kumvamia askari na kumnyang’anya silaha ili atoroke chini ya ulinzi.

Kijana huyo Dotto Wiliam mwenye miaka 30 mkazi wa Kibaoni Mjini Singida anadaiwa kukiri kutega mawe barabarani na kupora, jana majira ya saa tano usiku na kukubali kwenda pori la Minyunge-Singida kuonesha bunduki aliyoficha...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto aliyeibwa apatikana

Mtoto Merryn Reppyson (4) aliyekuwa ameibwa nyumbani kwao Changanyikeni, Dar es Salaam na mtu aliyekuwa anataka alipwe Sh3 milioni ili amwachie, amepatikana juzi jioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani