Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gavana wa Aden ameuawa katika shambulizi

Maafisa wa kiusalama nchini Yemen, wanasema kuwa mlipuko mmoja mkubwa umemuua gavana wa mji wa Aden ulioko bandarini mwa taifa hilo pamoja na walinzi wake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

4 wauawa katika shambulizi Kenya

Watu 4 wanahofiwa kufariki katika shambulizi la bomu lililokuwa limetegwa katika gari moja karibu na kituo cha polisi mjini Nairobi

 

11 years ago

BBCSwahili

50 wauawa katika shambulizi Afghanistan

Ripoti zinasema kuwa takriban watu 50 wameuawa katika shambulizi la bomu lililotokea katika soko moja mashariki mwa Afghanistan

 

10 years ago

Vijimambo

17 wauawa katika shambulizi la Al Shabaab



Wavamizi walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo kabla ya wavamizi kuingia wakiwa wamejihami kwa bunduki
Watu 17 wameripotiwa kuuawa na wengine 20 kujeruhiwa vibaya wakati wanamgambo wa Kiislamu wa Al Shaabab waliposhambulia majengo ya wizara ya elimu mjini Mogadishu,Somalia.
Mwandishi wa BBC Mohammed Moalimu,amesema kuwa wavamizi hao walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo
Kulingana na msemaji wa idara ya usalama wa ndani Mohammed Yusuf...

 

10 years ago

BBCSwahili

14 wauawa katika shambulizi Cameroon.

Watu 14 wameuawa jana usiku katika shambulizi la bomu lililofanyika kwenye jumba moja la starehe katika mji wa Maroua Kaskazini mwa Cameroon.

 

11 years ago

BBCSwahili

17 wauawa katika shambulizi Borno,Nigeria

Watu 17 wameuawa katika shambulizi lililofanywa dhidi ya kijiji kimoja katika jimbo la Borno Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

 

5 years ago

CCM Blog

ASKARI 7 WAUAWA KATIKA SHAMBULIZI AFGHANISTAN

  Askari 7 wameuawa katika shambulizi la silaha lililotekelezwa na wanamgambo wa Taliban katika kituo cha jeshi magharibi mwa Afghanistan.

Wizara ya Ulinzi imetangaza kwamba wanamgambo walishambulia kituo cha jeshi katika kijiji cha Akazi wilayani Bala Murgab.

Imeelezwa kuwa askari 7 wamepoteza maisha yao na askari 5 wamejeruhiwa katika shambulizi hilo.

Hata hivyo, inasemekana kuwa Taliban nao wamepoteza idadi kubwa ya wanamgambo wao wakati wa shambulizi hilo.

 

10 years ago

Vijimambo

Shujaa Muislamu katika shambulizi Paris

Lassana Bathil

Mamia ya wanajeshi wanashika zamu mjini Paris baada ya siku tatu za ugaidi zilizouwa watu 17, huku taarifa zikitokeza kuhusu jinsi mfanyakazi Muislamu wa supermarket ya Wayahudi mjini Paris alivyowaficha wateja 15 pamoja na mtoto mchanga wa mwezi mmoja wakati duka hilo liliposhambuliwa na gaidi.





Aliwaficha wateja kwenye chumba cha barafu.Lassana Bathily, kijana wa asili ya Mali, aliiambia televisheni ya Ufaransa kuwa aliwaongoza wateja waliokuwa wamebabaika, hadi chumba cha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi 4 wauawa katika shambulizi Tanzania

Maafisa 4 wa polisi na raia 2 wameuawa baada ya watu wasiojulikana kuvamia kituo cha polisi mjini Dar es salaam Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 5 wafariki katika shambulizi Baidoa

Alshabaab wamepigana na kufanikiwa kuingia katika makao makuu ya utawala wa jimbo katika mji wa eneo la kati wa Baidoa .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani