Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Burundi,UG na Kenya zaongoza kwa ufisadi

Ufisadi nchini Kenya bado uko katika kiwango cha juu licha ya juhudi kukabiliana na swala hilo nyeti.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Aliyekuwa waziri mahakamani kwa ufisadi Kenya

Amos Kimunya ameshitakiwa kwa kosa la kutumia vibaya mamlaka pamoja na kujipatia ardhi ya umma kinyume na sheria.

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI ZA ASAS ZAONGOZA KWA ULIPAJI KODI BORA KWA MKOA WA IRINGA

Mkurugenzi  wa makampuni ya  Asas  Bw  Salim Abri  Asas  kushoto akipokea cheti  maalum kutoka kwa kaimu mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Letici Warioba  baada ya  kuibuka  mshindi wa kwanza katika  ulipaji kodi mkoa wa Iringa leo.Meneja  wa TRA mkoa wa Iringa Rosalia Mwenda akimpongeza  Bw  Asas  kwa ushindi katika ulipaji kodi Cheti  kilichotolewa kwa  kampuni ya Asas Salim Asas  akionyesha  cheti kwa wanahabari  baada ya  kukabidhiwa  cheti  hicho kwa kuwa mlipaji  kodi mzuri.
KWA HABARI ZAIDI...

 

11 years ago

Mwananchi

Jezi za Ronaldo zaongoza kwa mauzo

Jumla ya jezi milioni 1 za mchezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ziliuzwa msimu wa mwaka 2013/14 na kuzidi jezi za timu nzima ya Bayern Munich ambayo iliuza jezi 880,000.

 

11 years ago

Mwananchi

Shule zaongoza kwa shehena za tindikali

>Baada ya matukio ya watu kadhaa kumwagiwa tindikali nchini na kuacha sintofahamu katika jamii, imebainika kuwa shule ndizo zinazoongoza kwa kuwa na shehena nyingi ya tindikali ambayo imepatikana bila kupitia utaratibu unaotakiwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kampuni za simu, madini zaongoza kwa unyonyaji

 Kampuni nyingi za simu na za madini nchini zinadaiwa kuwanyonya wafanyakazi wao na kusababisha serikali kuamua kuingilia kati kwa kusimamia moja kwa moja usajili mpya wa mawakala wa ajira.

 

10 years ago

BBCSwahili

Real Madrid,Man U zaongoza kwa utajiri

Mabigwa wa Ulaya Klabu Real Madrid ya Hispania imeendelea k kuwa timu tajiri Zaidi duniani

 

10 years ago

Michuzi

WILAYA ZA ARUSHA ZAONGOZA KWA WAGONJWA WA TRAKOMA

  Mratibu wa Mpango wa kitaifa wa Kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele dkt. Upendo Mwingira, akionesha fulana yenye ujumbe wa kutokomeza magonjwa hayo toka shirika lisilo la kiserikali la nchini Marekani la Ending Negleted Diseases,walokuja nchini tanzania kwa ajili ya kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa za kutokomeza magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele Mkoani Arusha Mratibu wa Trakoma toka hospitali ya KCMC Patrick Masae akifanya uchunguzi wa macho kwa wananchi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mawaziri 2 washtakiwa na ufisadi Kenya

Waziri wa ardhi nchini Kenya aliyesimamishwa kazi Charity Ngilu amefikishwa mahakamani na kujibu mashtaka ya kuwazuia maafisa wa shirika la kupambana na ufisadi kuchunguza stakabadhi za ardhi moja ambayo umiliki wake una utata jijini Nairobi

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufisadi unaweza kumalizika Kenya?

Shirika la Transparency Internatuional linasema juhudi za kutosha kukabiliana na ufisadi nchini Kenya bado hazijafanywa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani