WILAYA ZA ARUSHA ZAONGOZA KWA WAGONJWA WA TRAKOMA
Mratibu wa Mpango wa kitaifa wa Kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele dkt. Upendo Mwingira, akionesha fulana yenye ujumbe wa kutokomeza magonjwa hayo toka shirika lisilo la kiserikali la nchini Marekani la Ending Negleted Diseases,walokuja nchini tanzania kwa ajili ya kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa za kutokomeza magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele Mkoani Arusha
Mratibu wa Trakoma toka hospitali ya KCMC Patrick Masae akifanya uchunguzi wa macho kwa wananchi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 May
Mh. Amina Mwidau (CUF) afaraji wagonjwa na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa Hospitali ya wilaya ya Pangani
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya wilaya ya Pangani, Mugiri Emili (kushoto) akisisitiza jambo kwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF), Amina Mwidau wakati akipotembelea hospitali hiyo kuwafariji wagonjwa na kugawa zawadi mbalimbali ikiwemo sabuni, sukari ikiwemo mahitaji muhimu na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa alilolijenga kwa gharama za sh.milioni tano na mbunge huyo.(Picha na Mpiga Picha wetu,Pangani).
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF) Amina Mwidau...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dcOJcCFT4YI/Vop56BLfVgI/AAAAAAAIQPQ/rxUuZJy9ZXo/s72-c/IMG_9231.jpg)
WAGONJWA WA KIPINDUPINDU KWA MIKOA YA ARUSHA NA MWANZA WAFIKIA 171
![](http://1.bp.blogspot.com/-dcOJcCFT4YI/Vop56BLfVgI/AAAAAAAIQPQ/rxUuZJy9ZXo/s1600/IMG_9231.jpg)
Katika mkoani Arusha maambukizi yameongezeka kutoka wagonjwa 60 hadi kufikia wangonjwa 111 huku mkoa wa Mwanza maambukizi mapya kutoka wagonjwa 45 hadi 60.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kasi ya...
10 years ago
MichuziKAMPUNI ZA ASAS ZAONGOZA KWA ULIPAJI KODI BORA KWA MKOA WA IRINGA
KWA HABARI ZAIDI...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-wokXdtz323c/Xu0lgI0naTI/AAAAAAABMgU/w_ocRfSwCdYwf8878l-nLX6TmiCBxKyjgCLcBGAsYHQ/s72-c/Gambo.jpeg)
RAIS MAGUFULI AWATUMBUA RC GAMBO, MKUU WA WILAYA YA ARUSHA NA MKURUGENZI WA ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wokXdtz323c/Xu0lgI0naTI/AAAAAAABMgU/w_ocRfSwCdYwf8878l-nLX6TmiCBxKyjgCLcBGAsYHQ/s400/Gambo.jpeg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 19 Juni, 2020 ametengua uteuzi wa viongozi 3 wa Mkoa wa Arusha na kufanya uteuzi wa viongozi watakaoshika nyadhifa hizo.
Kwanza,Mhe. Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw. Mrisho Gambo na amemteua Bw. Idd Kimanta kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Kabla ya uteuzi huo Bw. Kimanta alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha. Nafasi ya Mkuu wa Wilaya ya Monduli itajazwa baadaye.
Pili,Mhe. Rais...
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Burundi,UG na Kenya zaongoza kwa ufisadi
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Jezi za Ronaldo zaongoza kwa mauzo
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Shule zaongoza kwa shehena za tindikali
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Kampuni za simu, madini zaongoza kwa unyonyaji
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Real Madrid,Man U zaongoza kwa utajiri