WAGONJWA WA KIPINDUPINDU KWA MIKOA YA ARUSHA NA MWANZA WAFIKIA 171
![](http://1.bp.blogspot.com/-dcOJcCFT4YI/Vop56BLfVgI/AAAAAAAIQPQ/rxUuZJy9ZXo/s72-c/IMG_9231.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.TAKWIMU za Ugonjwa wa Kipindupindu zinaonesha kupanda kwa mikoa ya Mwanza na Arusha kwa kuwa na wagonjwa 171, kutoka wagonjwa wa mwanzo 105.
Katika mkoani Arusha maambukizi yameongezeka kutoka wagonjwa 60 hadi kufikia wangonjwa 111 huku mkoa wa Mwanza maambukizi mapya kutoka wagonjwa 45 hadi 60.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kasi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo27 Aug
Kipindupindu Dar chaua 10, wagonjwa sasa wafikia 65
Nipashe ilitembelea katika Kambi ya Mburahati wilayani Kinondoni jana na kushuhudia madaktari na wauguzi wakiendelea kutoa matibabu.
Akizungumza na gazeti hili msimamizi wa kambi hiyo, ambaye pia ni Mratibu wa Mafunzo Idara ya Afya Wilaya ya Kinondoni, Alfred Ngowi, alisema hadi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NjyyuEV20cY/XoHkLUle3BI/AAAAAAALlh8/PmM1csaW52ITn8T4SMgXpu5g_wj8-1jywCLcBGAsYHQ/s72-c/xpresident-paul-kagame.jpg.pagespeed.ic.jpd2dkVyRN.jpg)
Rwanda yaongoza Afrika Mashariki kwa Maambukizi ya COVID-19, wagonjwa wafikia 70
![](https://1.bp.blogspot.com/-NjyyuEV20cY/XoHkLUle3BI/AAAAAAALlh8/PmM1csaW52ITn8T4SMgXpu5g_wj8-1jywCLcBGAsYHQ/s640/xpresident-paul-kagame.jpg.pagespeed.ic.jpd2dkVyRN.jpg)
Katika hotuba yake kwa taifa usiku wa Ijumaa Rais Paul Kagame alisema idadi hiyo itaendelea kuongezeka kwasababu wale waliotangamana na waathirika wanaendelea kutafutwa.
Katika visa vya hivi punde vya maambukizi, watu sita walitokea Dubai, wawili kutoka Afrika Kusini, mmoja kutoka Nigeria na mwigine alikuwa amesafiri maeneo...
10 years ago
Michuzi04 Jun
11 years ago
Mwananchi08 May
Wagonjwa wa dengue wafikia 376
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n5deLLaWWtQ/Xpm41kQRXBI/AAAAAAAC3Rs/fsxaLKQ1YewvHNsIoHHTdPS3uMGqOayWgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
5 years ago
CCM BlogWAGONJWA WA CORONA KENYA WAFIKIA 384
Akiongea na Waandishi wa habari leo, Aprili 29, 2020 Katibu wa Afya Mercy Mwangangi amesema katika saa 24 zilizopita sampuli 580 kutoka kaunti 24 zilipimwa dhidi ya homa hiyo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7nL019ZkgWQ/XpmtB4jIcqI/AAAAAAAC3RQ/vTKApuT4HUUHkae9MqB91o6if0Kiv3C5wCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
WAGONJWA WA CORONA TANZANIA WAFIKIA 147
![](https://1.bp.blogspot.com/-7nL019ZkgWQ/XpmtB4jIcqI/AAAAAAAC3RQ/vTKApuT4HUUHkae9MqB91o6if0Kiv3C5wCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
Idadi ya wagonjwa wa Corona Tanzania imeongezeka nakufikia 147 baada ya wagonjwa wapya 53 kukutwa na virusi hivyo .
Akiongea na vyombo vya habari leo Ijumaa April 17,2020, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema wagonjwa wote hao ni watanzania ambapo 38 ni kutoka Dar es Salaam,10 Zanzibar,Kilimanjaro 1,Mwanza 1,Pwani 1,Lindi 1,na Kagera 1
Waziri Ummy amesema mgonjwa mmoja amefariki dunia na hivyo kufanya idadi ya waliofariki hadi sasa kufika 05 na waliopona ni 11.
![](https://1.bp.blogspot.com/-CHvt1gsMTzg/Xpm6D7educI/AAAAAAAC3R8/8Ovxzdlfpp4Uv5gHbsw-3l6-HPM_uvpwwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fR7LiIDMAvM/Xpm6GUq9gWI/AAAAAAAC3SA/OnvLJY_9O1ckVHIv7xq-B5OIAFqBLbMAQCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-CNDkzVxbHbA/Xpl7ozU44fI/AAAAAAAC3QY/bSWZQCusc0QR7KDzNAUJl9CVLVCZMC15ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAGONJWA CORONA KENYA WAFIKIA 246
![](https://1.bp.blogspot.com/-CNDkzVxbHbA/Xpl7ozU44fI/AAAAAAAC3QY/bSWZQCusc0QR7KDzNAUJl9CVLVCZMC15ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Katika taarifa waziri wa afya wa Kenya Mutahi Kagwe, amesema watano kati ya wale walioambukizwa virusi vya corona ni wahudumu wa hoteli na kuongeza kuwa idadi hiyo ilifikiwa baada ya jumla ya sampuli 450 kufanyiwa uchunguzi.
Jana Rais Uhuru Kenyata alitangaza hatua zifuatazo kukabiliana na Corona nchini humo.
1.Wizara ya Afya na huduma za umma itaanzisha hazina ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zNWeF9CJ9JI/XoHfb5nD4tI/AAAAAAALlhY/Hz83CRIHrg4r7IlkfpabV8DZsVj5mW7IgCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)