Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sankale Ole Kantai: Jaji aliyedaiwa kushirikiana na mshukiwa wa mauaji Kenya kushtakiwa

Jaji mmoja nchini Kenya atafunguliwa mashtaka mahakamani kufuatia madai kwamba alishirikiana na mshukiwa wa mauaji.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa mauaji Kenya na TZ afariki

Mmoja wa watu waliopanga mashambuliz ya kigaidi kwenye balozi za marekani nchini Kenya na Tanzania mwaka 1998 ameaga dunia

 

5 years ago

Michuzi

MSHUKIWA WA MAUAJI YA BINTI WA KAZI KIZIMBANI KWA KESI YA MAUAJI NA MADAWA YA KULEVYA

Mtuhumiwa wa mauaji wa binti wa kazi Salome Zakaria,Mkami Shirima Akiwa amejifunika gubi gubi la mtandio wa dera akitoka kusikiliza kutajwa kwa kesi hiyo leo jijini Arusha.Mtuhumiwa wa mauaji wa binti wa kazi Salome Zakaria,Mkami Shirima Akiwa amejifunika gubi gubi la mtandio wa dera akitoka kusikiliza kutajwa kwa kesi hiyo. Pichani ni mtuhumiwa wa kesi ya mauaji ya binti wa kazi akiingizwa kwa hakimu mkazi mfawidhi Analia Mushi kutajwa kwa kesi yake huku akijifunika uso gubigubi kama...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa akamatwa kuhusu mauaji ya Paris

Polisi nchini Ufaransa wamemkamata mwanamume eneo la Paris kwenye uchunguzi wao kuhusu mashambulio ya Novemba 13.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa mauaji ya Meyiwa aachwa huru

Mtu aliyekuwa akishukiwa kumuua mwanasoka Senzo Meyiwa ameachiwa huru kutokana na kukosekana ushahidi

 

5 years ago

CCM Blog

MSHUKIWA MKUU WA MAUAJI YA KIMARI RWANDA AKAMATWA


Mshukiwa mkubwa wa mauaji ya kimbari akamatwaHaki miliki ya pichaUS STATE DEPARTMENTFélicien Kabuga, miongoni mwa watuhumiwa wa mauaji ya kimbari ya Rwanda, amekamatwa karibu na mji wa Paris, wizara ya sheria ya Ufaransa imetangaza.Bwana Kabuga ameshikiliwa na polisi mjini Asnières-Sur-Seine, eneo ambalo alikuwa anaishi kwa utambulisho wa uongo.Mahakama ya kimataifa ya mauji ya kimbari yaliyotokea Rwanda yamemshtaki bwana Kabuga mwenye umri wa miaka 84-kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu.Anadaiwa kuwa mfadhili mkuu wa wahutu ambao waliuwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Lesotho Thomas Thabane kushtakiwa kwa mauaji ya mkewe

Waziri Mkuu amesema atastaafu mwezi Julai, baada ya polisi kumshutumu kwa mauaji ya mkewe kwa kwanza.

 

5 years ago

BBCSwahili

Félicien Kabuga: Mshukiwa mkuu wa mauaji ya Kimbari Rwanda akamatwa

Félicien Kabuga, miongoni mwa watuhumiwa wa mauaji ya kimbari ya Rwanda, amekamatwa karibu na mji wa Paris, wizara ya sheria ya Ufaransa imetangaza.

 

10 years ago

GPL

MSHUKIWA WA MAUAJI YA WATU TISA KANISANI NCHINI MAREKANI AKAMATWA

Dylann Storm Roof baada ya kukamatwa na polisi. Roof akiwa chini ya ulinzi. Dylann Storm Roof akiwa ametiwa pingu. Roof akiwa na gari aina ya Hyundai alilokimbia nalo baada ya kutekeleza shambulio hilo.…

 

5 years ago

BBCSwahili

Masalia ya mwili wa Augustin Bizimana, mshukiwa mkuu wa mauaji ya Rwanda yapatikana

Tangazo la kifo chake limekuja baada ya kukamatwa kwa mshukiwa mwingine mkuu Félicien Kabuga mwishoni mwa wiki huko mjini Paris, ambaye anatuhumiwa kufadhili mkuu wa mauaji ya kimbari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani