MSHUKIWA WA MAUAJI YA WATU TISA KANISANI NCHINI MAREKANI AKAMATWA
![](http://api.ning.com:80/files/pX4h1nu50oGMMMtNSUBI0p*0ce0fHFDc5AWftuNtRbNIkMj3lC8tSwy0C6oYjKb3O-R1J1xqHP1B2bQRJ2iw8J60yxER-*GI/1.jpg?width=650)
Dylann Storm Roof baada ya kukamatwa na polisi. Roof akiwa chini ya ulinzi. Dylann Storm Roof akiwa ametiwa pingu. Roof akiwa na gari aina ya Hyundai alilokimbia nalo baada ya kutekeleza shambulio hilo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e9fCxMSmw6v0AIgC2sm4I*AymwbLTHxy4*UFCnUpO2SBtw3cRaVRgjYN56ztOXbWqviNDRq866O0GNIvVtfpblZ/1.jpg?width=650)
WATU TISA WAUAWA KANISANI NCHINI MAREKANI
Polisi wakiwa eneo la tukio. ...Wakiweka uzio kwenye eneo hilo lilipotokea shambulio. Mmoja wa waumini wa kanisa Methodist akiwa na simanzi. WATU tisa wameuawa jana…
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Muuaji wa watu tisa kanisani akamatwa
Mshukiwa wa mauaji ya watu tisa katika kanisa moja la kihistoria mjini Carolina Kusini amekamatwa.
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mshukiwa akamatwa kuhusu mauaji ya Paris
Polisi nchini Ufaransa wamemkamata mwanamume eneo la Paris kwenye uchunguzi wao kuhusu mashambulio ya Novemba 13.
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Watu tisa wauawa nchini Marekani
Watu tisa wameuawa na wengine saba kujeruhiwa baada ya kutokea shambulio la risasi katika Chuo kimoja katika jimbo la Oregon
5 years ago
CCM Blog16 May
MSHUKIWA MKUU WA MAUAJI YA KIMARI RWANDA AKAMATWA
![Mshukiwa mkubwa wa mauaji ya kimbari akamatwa](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/7AC7/production/_112313413_7e1fcf65-0a6e-4a6e-92c9-068ed63d56cc.jpg)
5 years ago
BBCSwahili16 May
Félicien Kabuga: Mshukiwa mkuu wa mauaji ya Kimbari Rwanda akamatwa
Félicien Kabuga, miongoni mwa watuhumiwa wa mauaji ya kimbari ya Rwanda, amekamatwa karibu na mji wa Paris, wizara ya sheria ya Ufaransa imetangaza.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e*0VGP2ttlL8oEZGls0Vr57XvzM60UE6C8ZknVoT*rJi-K6zBNvNmpX6eZBqhtj5qH7aohpyfvUEmqEt*8vOoax/1.jpg?width=650)
TISA WAUAWA KATIKA SHAMBULIO KANISANI MAREKANI
Hali ya sintofahamu ikitanda katika eneo la Charleston baada ya kutokea shambulio hilo. Askari wakiwa katika harakati za kuimarisha ulinzi eneo la tukio. Barabara zikifungwa. Waumini wa kanisa la AME na watu wa majirani wa eneo la tukio wakiwa katika majonzi baada ya kutokea…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kPWAOYVbPQb1ylJ5oViNq6v6vzED1PjoEriPeArr-kITLy8JrK8PHvY6KUAjs15StnJuTdLV9iPNm4hPYxcqe6SA5DmconLa/51764415676x450.jpg)
MSANII WA MAREKANI SUGE KNIGHT AKAMATWA KWA MAUAJI
Msanii wa muziki wa rap kutoka Marekani Marion Suge Knight. Polisi nchini Los Angeles inasema kuwa msanii wa muziki wa rap kutoka Marekani Marion Suge Knight amekamatwa kutokana na mashtaka ya mauaji baada ya kumgonga mtu mmoja na gari lake hadi kumuua na baadaye kutoroka. Polisi wanasema kuwa Knight alijibizana na watu wawili katika eneo la kuegesha magari na baadaye kumgonga mmoja wao huku mwengine akijeruhiwa vibaya. Wakili...
11 years ago
Michuzi09 Feb
Mtuhumiwa aliyesakwa na Polisi kwa mauaji ya watu wanane Tarime akamatwa Tanga
Jambazi kuu anayetuhumiwa kujihusisha na matukio ya mauaji na unyanganyi wa kutumia silaha yaliyo tokea Wilayani Tarime kuanzia 26 hadi 28.01.2014 amekamatwa na jeshi la polisi jioni ya Tarehe 06.02.2014 mkoani Tanga.
Akisimulia kukamatwa kwa jambazi huyo Kamanda wa mkoa wa kipolisi Tarime/Rorya Justus Kamugisha amesema kuwa mtuhumiwa huyo alikamatwa jioni ya Tarehe 06.02.2014 majira ya saa 1.30 na katika mahojiano ya awali ya jeshi la polisi mtuhumiwa huyo alikiri kuhusika na matukio ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania