Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muuaji wa watu tisa kanisani akamatwa

Mshukiwa wa mauaji ya watu tisa katika kanisa moja la kihistoria mjini Carolina Kusini amekamatwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSHUKIWA WA MAUAJI YA WATU TISA KANISANI NCHINI MAREKANI AKAMATWA

Dylann Storm Roof baada ya kukamatwa na polisi. Roof akiwa chini ya ulinzi. Dylann Storm Roof akiwa ametiwa pingu. Roof akiwa na gari aina ya Hyundai alilokimbia nalo baada ya kutekeleza shambulio hilo.…

 

10 years ago

GPL

WATU TISA WAUAWA KANISANI NCHINI MAREKANI

Polisi wakiwa eneo la tukio. ...Wakiweka uzio kwenye eneo hilo lilipotokea shambulio. Mmoja wa waumini wa kanisa Methodist akiwa na simanzi. WATU tisa wameuawa jana…

 

10 years ago

BBCSwahili

Muuaji wa kanisani Charleston ashtakiwa

Mshukiwa wa mauaji ya watu tisa katika kanisa la kihistoria la Kiafrika katika mji wa Charleston ameshtakiwa na mashtaka tisa ya mauaji pamoja na shtaka moja la kumiliki silaha, polisi wamesema.

 

9 years ago

Dewji Blog

Muuaji wa Afisa wa Intelijensia wa TANAPA akamatwa

JC9A0009[1]

Gari aina ya Nissan Mazda lenye namba za usajili T. 435 CSY lililokutwa na mwili wa marehemu Emily Kisamo ambaye ni Afisa wa Intelejensia TANAPA uliohifadhiwa kwenye buti mara baada ya kuuawa na Mfanyakazi wake wa ndani.

Na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha

Jeshi la Polisi Mkoani hapa limefanikiwa kumkamata mtu mmoja aitwaye Ismail Swalehe Sang’wa (20) ambaye ni mwenyeji wa kijiji cha Sepuka wilayani Ikungi katika Mkoa wa Singida kwa tuhuma za  kumuua Afisa wa Intelijensia wa TANAPA ...

 

10 years ago

GPL

TISA WAUAWA KATIKA SHAMBULIO KANISANI MAREKANI

Hali ya sintofahamu ikitanda katika eneo la Charleston baada ya kutokea  shambulio hilo. Askari wakiwa katika harakati za kuimarisha ulinzi eneo la tukio. Barabara zikifungwa. Waumini wa kanisa la AME na watu wa majirani wa eneo la tukio wakiwa katika majonzi baada ya kutokea…

 

11 years ago

Mwananchi

Kikosi cha Dar chamsaka muuaji wa watu 10 Tarime

Kikosi Maalumu cha Polisi kilichotumwa kutoka Dar es Salaam kwa ajili ya kuongeza nguvu katika msako wa mtu aliyehusika na mauaji ya watu 10 katika vijiji kadhaa wilayani Tarime, kimewasili na kumeanza kumsaka mtuhumiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulio lawaua watu 9 kanisani US

Polisi katika jimbo la South Carolina nchini Marekani wamesema mtu aliyejihami kwa bunduki amewapiga risasi na kuwaua watu 9 kanisani

 

9 years ago

Mwananchi

Msiba wa watu tisa Dar utuzindue

Jiji la Dar es Salaam linaomboleza moja ya misiba mikubwa baada ya watu tisa wa familia moja kuteketea kwa moto ulioibuka usiku kutokana na kile kilichoelezwa kuwa ni hitilafu ya moto.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu tisa wauawa na tembo Malawi

Watu tisa wamekufa baada ya kukanyagwa na tembo nchini Malawi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani