Muuaji wa Afisa wa Intelijensia wa TANAPA akamatwa
Gari aina ya Nissan Mazda lenye namba za usajili T. 435 CSY lililokutwa na mwili wa marehemu Emily Kisamo ambaye ni Afisa wa Intelejensia TANAPA uliohifadhiwa kwenye buti mara baada ya kuuawa na Mfanyakazi wake wa ndani.
Na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha
Jeshi la Polisi Mkoani hapa limefanikiwa kumkamata mtu mmoja aitwaye Ismail Swalehe Sang’wa (20) ambaye ni mwenyeji wa kijiji cha Sepuka wilayani Ikungi katika Mkoa wa Singida kwa tuhuma za kumuua Afisa wa Intelijensia wa TANAPA ...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Afisa wa Intelijensia wa TANAPA Aliuawa na Mfanyakazi Wake wa Ndani

10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Muuaji wa watu tisa kanisani akamatwa
11 years ago
BBCSwahili08 Jul
Afisa wa Match Hospitality akamatwa
10 years ago
Michuzi18 Dec
11 years ago
Michuzi25 Jul
5 years ago
BBCSwahili19 Mar
Coronavirus: Israel inavyotumia intelijensia kuwakamata wagonjwa wanaotoroka hospitali
11 years ago
BBCSwahili28 Oct
Muuaji wa Meyiwa ni Kitendawili
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Muuaji ajiua Marekani
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Serikali ya Kenya yamtambua muuaji