Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muuaji wa Afisa wa Intelijensia wa TANAPA akamatwa

JC9A0009[1]

Gari aina ya Nissan Mazda lenye namba za usajili T. 435 CSY lililokutwa na mwili wa marehemu Emily Kisamo ambaye ni Afisa wa Intelejensia TANAPA uliohifadhiwa kwenye buti mara baada ya kuuawa na Mfanyakazi wake wa ndani.

Na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha

Jeshi la Polisi Mkoani hapa limefanikiwa kumkamata mtu mmoja aitwaye Ismail Swalehe Sang’wa (20) ambaye ni mwenyeji wa kijiji cha Sepuka wilayani Ikungi katika Mkoa wa Singida kwa tuhuma za  kumuua Afisa wa Intelijensia wa TANAPA ...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Afisa wa Intelijensia wa TANAPA Aliuawa na Mfanyakazi Wake wa Ndani

liberatusi-saJeshi la Polisi Mkoani hapa (Arusha) limefanikiwa kumkamata mtu mmoja aitwaye Ismail Swalehe Sang’wa (20) ambaye ni mwenyeji wa kijiji cha Sepuka wilayani Ikungi katika Mkoa wa Singida kwa tuhuma za kumuua Afisa wa Intelijensia wa TANAPA aitwaye Emily Kisamo (52). Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana  asubuhi , Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Liberatus Sabas alisema tukio hilo la mauaji ya Afisa huyo wa TANAPA lilitokea tarehe 18.12.2015 muda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Muuaji wa watu tisa kanisani akamatwa

Mshukiwa wa mauaji ya watu tisa katika kanisa moja la kihistoria mjini Carolina Kusini amekamatwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afisa wa Match Hospitality akamatwa

Afisa wa Match Hospitality akamatwa kwa kuuza tiketi kinyume na kanuni za FIFA

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Israel inavyotumia intelijensia kuwakamata wagonjwa wanaotoroka hospitali

Coronavirus: Israel wanavyotumia Intelijensia kuwakamata wagonjwa wanaotoroka hospitalini

 

11 years ago

BBCSwahili

Muuaji wa Meyiwa ni Kitendawili

Polisi nchini Africa Kusini wameanzisha msako dhidi ya mtu aliyempiga risasi kipa na kapteni wa timu ya taifa hilo Senzo Meyiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Muuaji ajiua Marekani

Polisi nchini Marekani imesema muuaji wa Waandishi wawili wa habari nchini humo, amefariki dunia baada ya kujijeruhi wa risasi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Kenya yamtambua muuaji

Kenya imemtambua mmoja ya wapiganaji waliohusika katika mauaji ya chuo kikuu cha Garissa kwamba ni mtoto wa afisa wa serikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani