Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afisa wa Intelijensia wa TANAPA Aliuawa na Mfanyakazi Wake wa Ndani

liberatusi-saJeshi la Polisi Mkoani hapa (Arusha) limefanikiwa kumkamata mtu mmoja aitwaye Ismail Swalehe Sang’wa (20) ambaye ni mwenyeji wa kijiji cha Sepuka wilayani Ikungi katika Mkoa wa Singida kwa tuhuma za kumuua Afisa wa Intelijensia wa TANAPA aitwaye Emily Kisamo (52). Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana  asubuhi , Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Liberatus Sabas alisema tukio hilo la mauaji ya Afisa huyo wa TANAPA lilitokea tarehe 18.12.2015 muda...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Muuaji wa Afisa wa Intelijensia wa TANAPA akamatwa

JC9A0009[1]

Gari aina ya Nissan Mazda lenye namba za usajili T. 435 CSY lililokutwa na mwili wa marehemu Emily Kisamo ambaye ni Afisa wa Intelejensia TANAPA uliohifadhiwa kwenye buti mara baada ya kuuawa na Mfanyakazi wake wa ndani.

Na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha

Jeshi la Polisi Mkoani hapa limefanikiwa kumkamata mtu mmoja aitwaye Ismail Swalehe Sang’wa (20) ambaye ni mwenyeji wa kijiji cha Sepuka wilayani Ikungi katika Mkoa wa Singida kwa tuhuma za  kumuua Afisa wa Intelijensia wa TANAPA ...

 

11 years ago

Mwananchi

Mfanyakazi wa ndani adaiwa kuua mwajiri wake

>Karani wa Mahakama ya Wilaya ya Singida, Asha Juma(24), ameuawa kwa kuchomwa kisu na mfanyakazi wake wa ndani.

 

11 years ago

Habarileo

Mfaransa atuhumiwa kumdhuru mfanyakazi wake wa ndani

RAIA wa Ufaransa , Folkertsma Laurent (41), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala, jijini Dar es Salaam, kujibu mashitaka ya kumdhuru mfanyakazi wake wa ndani.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mfanyakazi wa ndani atoweka na kichanga



Mwingine aiba mtoto wa miaka
miwili, amtelekeza barabarani
NA MWANDISHI WETU, MWANZA
WIMBI la wizi wa watoto sasa limeanza kushika kasi nchini, ambapo watumishi wawili wa ndani kwa nyakati na maeneo tofauti, wametoweka na watoto wa waajiri wao.
Miongoni mwa watoto walioibwa, yupo mwenye umri wa miezi tisa na mwingine miaka miwili na nusu. Kati ya hao, mmoja amepatikana akiwa ametelekezwa barabarani.
Watumishi hao walikuwa wakiwalea watoto hao, ambapo waliofanikiwa kuwaiba wazazi wao wakiwa kwenye...

 

11 years ago

Habarileo

Aliyembaka mfanyakazi wa ndani jela miaka 30

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani imemhukumu kwenda jela miaka 30 mlinzi wa Shule ya Sekondari ya Mbwawa Steven Solomon (29) kwa kosa la kumbaka mfanyakazi wake wa nyumbani mwenye umri wa miaka 16.

 

5 years ago

Michuzi

WANAMKE ADAIWA KUUWA MFANYAKAZI WA NDANI

Na Woinde Shizza, ArushaMWANAMKE mmoja aliyetambulika kwa jina la Mkami Shirima(33) mkazi wa Ilikiurei nje kidogo ya jiji la Arusha, anadaiwa kumuua mfanyakazi wake wa ndani, Salome Zacharia (17)kwa kumpiga fimbo akimtuhumu kuiba shilingi elfu 50.
Mwanamke huyo ambaye anashikiliwa na jeshi la Polisi mkoani hapa,anadaiwa kutenda tukio  la kumshambulia binti huyo siku ya Alhamis wiki iliyopita na baadaye alimfungia katika chumba kimoja wapo katika nyumba yake kwa muda wa siku mbili bila...

 

10 years ago

Mwananchi

Mfanyakazi wa ndani aliyetwaa tuzo ya Malkia Elizaberth

Ukitaja jina la Angela Benedicto kwa wakazi wa Mkoa wa Mwanza litakuwa siyo geni kutokana na jitihada zake za kupambana na umaskini, amekuwa mtu muhimu katika jamii inayomzunguka hasa kwa kuwasaidia waofanya kazi za ndani.

 

11 years ago

GPL

BOSI ADAIWA KUMKATA MAPANGA MFANYAKAZI WA NDANI

Na Joseph Ngilisho, Arusha UKATILI? Msichana wa kazi za ndani, Fonolia Lembres (12) amenusurika kuuawa na mwajiri wake aliyetambulika kwa jina la Emmanuel Msovera ambaye ni kondakta wa Hiace, baada ya kushambuliwa kwa kipigo na kukatwakatwa mapanga mwilini. Msichana wa kazi za ndani, Fonolia Lembres (12) aliyeshambuliwa kwa mapanga na tajiri wake,  Emmanuel Msovera. Fonolia ambaye kwa sasa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa...

 

10 years ago

Habarileo

Mgombea uenyekiti, mfanyakazi wake wauawa

Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, Suzan KagandaALIYEKUWA mgombea nafasi ya Uenyekiti wa Serikali ya kitongoji cha Idodomiya kijiji cha Kanoga na mfanyakazi wake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, wameuawa kwa kupigwa kwa mapanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani