Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATU TISA WAUAWA KANISANI NCHINI MAREKANI

Polisi wakiwa eneo la tukio. ...Wakiweka uzio kwenye eneo hilo lilipotokea shambulio. Mmoja wa waumini wa kanisa Methodist akiwa na simanzi. WATU tisa wameuawa jana…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSHUKIWA WA MAUAJI YA WATU TISA KANISANI NCHINI MAREKANI AKAMATWA

Dylann Storm Roof baada ya kukamatwa na polisi. Roof akiwa chini ya ulinzi. Dylann Storm Roof akiwa ametiwa pingu. Roof akiwa na gari aina ya Hyundai alilokimbia nalo baada ya kutekeleza shambulio hilo.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu tisa wauawa nchini Marekani

Watu tisa wameuawa na wengine saba kujeruhiwa baada ya kutokea shambulio la risasi katika Chuo kimoja katika jimbo la Oregon

 

10 years ago

GPL

TISA WAUAWA KATIKA SHAMBULIO KANISANI MAREKANI

Hali ya sintofahamu ikitanda katika eneo la Charleston baada ya kutokea  shambulio hilo. Askari wakiwa katika harakati za kuimarisha ulinzi eneo la tukio. Barabara zikifungwa. Waumini wa kanisa la AME na watu wa majirani wa eneo la tukio wakiwa katika majonzi baada ya kutokea…

 

10 years ago

BBCSwahili

Muuaji wa watu tisa kanisani akamatwa

Mshukiwa wa mauaji ya watu tisa katika kanisa moja la kihistoria mjini Carolina Kusini amekamatwa.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Watu 9 wauawa kwa kupigwa risasi kwenye chuo nchini Marekani

Watu 9 wameuwa na wengine saba kujeruhiwa kufuatia mauaji kwa kutumia bunduki yaliyotokea kwenye chuo kilichopo kwenye jimbo la Oregon, Marekani. Muuaji mwenye umri wa miaka 26 alifyatua risasi kwenye chuo cha Umpqua jana asubuhi kwa saa za Marekani na yeye kuuawa na polisi. Polisi wamedai kuwa jina la mtu huyo ni Chris Harper Mercer. […]

 

10 years ago

GPL

TISA WAUAWA KATIKA SHAMBULIO MAREKANI

Eneo ambapo shambulio hilo limefanyika. Migahawa ikiwa imefungwa baada ya tukio hilo kutokea. Polisi akiangalia hali ya usalama katika eneo hilo.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu tisa wauawa na tembo Malawi

Watu tisa wamekufa baada ya kukanyagwa na tembo nchini Malawi.

 

10 years ago

StarTV

Watu 9 wauawa katika shambulio Marekani

Polisi nchini Marekani wamesema kuwa watu tisa wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na watu wenye silaha waliokuwa kwenye pikipiki katika mkahawa mmoja katika mji wa Waco.

Hata hivyo watu wengine 18 walipelekwa hospitali kupatiwa matibabu kutokana shambulio hilo.

 

Maofisa katika mji huo wanasema kuwa walibaini mkusanyiko kati ya watu watano walioonekana kupanga jambo lisilo la kawaida.

 

Watu waliokuwa katika mkahawa huo walijificha katika chumba cha majokofu katika harakati za...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 17 wauawa nchini Mali

Kuna hali ya wasiwasi mjini Kidal Kaskazini mwa Mali ambapo takriban watu 17 wameuawa katika mapigano ya siku tatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani