Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msiba wa watu tisa Dar utuzindue

Jiji la Dar es Salaam linaomboleza moja ya misiba mikubwa baada ya watu tisa wa familia moja kuteketea kwa moto ulioibuka usiku kutokana na kile kilichoelezwa kuwa ni hitilafu ya moto.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Watu tisa wa familia moja wateketea kwa moto Dar

Watu tisa wa familia moja wameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huko Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Vijimambo

MAALIM SEIF AITEMBELEA NA KUIFARIJI FAMILIA ILIYOPOTEZA WATU TISA KATIKA AJALI YA MOTO BUGURUNI JIJINI DAR ES SALAAM

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akimsalimia na kumpa pole Bw. Massoud Matta aliyepoteza familia yake ya watu tisa akiwemo mkewe na watoto wake wanne kutokana na ajali ya moto iliyotokea Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akimsalimia na mmoja wa wanafamilia ya Bw. Massoud Matta aliyepoteza familia yake ya watu tisa akiwemo mkewe na watoto wake wanne kutokana na ajali ya moto iliyotokea...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu tisa wauawa na tembo Malawi

Watu tisa wamekufa baada ya kukanyagwa na tembo nchini Malawi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Muuaji wa watu tisa kanisani akamatwa

Mshukiwa wa mauaji ya watu tisa katika kanisa moja la kihistoria mjini Carolina Kusini amekamatwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu tisa wauawa nchini Marekani

Watu tisa wameuawa na wengine saba kujeruhiwa baada ya kutokea shambulio la risasi katika Chuo kimoja katika jimbo la Oregon

 

10 years ago

GPL

WATU TISA WAUAWA KANISANI NCHINI MAREKANI

Polisi wakiwa eneo la tukio. ...Wakiweka uzio kwenye eneo hilo lilipotokea shambulio. Mmoja wa waumini wa kanisa Methodist akiwa na simanzi. WATU tisa wameuawa jana…

 

10 years ago

Michuzi

WATU TISA WALIOHIFADHIWA MSIKITI WA SUNI WAKAMATWA NA MILIPUKO.




Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, akiwaonesha waandishi wa habari ( hawaonekani pichani) milipuko hatari  aina ya ' Water explosives gel ' iliyokamatwa jana usiku kutoka kwa watuhumiwa  tisa waliokuwa wamehifadhiwa ndani ya  msikiti wa  Suni uliopo Tarafa ya Kidatu, wilayani Kilombero mkoani Morogoro.

 

10 years ago

GPL

MSHUKIWA WA MAUAJI YA WATU TISA KANISANI NCHINI MAREKANI AKAMATWA

Dylann Storm Roof baada ya kukamatwa na polisi. Roof akiwa chini ya ulinzi. Dylann Storm Roof akiwa ametiwa pingu. Roof akiwa na gari aina ya Hyundai alilokimbia nalo baada ya kutekeleza shambulio hilo.…

 

10 years ago

CloudsFM

HII NDIYO AJALI ILIYOPOTEZA MAISHA YA WATU TISA MBEYA

Watu tisa kati yao wanaume saba na wanawake wawili wamefariki dunia baada ya gari waliokuwa wakisafiria lenye namba za usajili t.203 ARZ aina ya Toyota Coaster lililokuwa likiendeshwa na dereva John Emanuel (36) mkazi wa Mlowo-Mbozi likiwa linatokea mjini Mbeya kwenda Tunduma wakati akijaribu kulipita gari lenye namba T.789 AZL/T.123 AXV aina ya Tata truck eneo ambalo kuna mlima na mbele yake kuna kona lilitokea gari T.903 CVF aina ya tata basi hivyo dereva wa coaster kulazimika kuingia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani