WATU TISA WALIOHIFADHIWA MSIKITI WA SUNI WAKAMATWA NA MILIPUKO.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, akiwaonesha waandishi wa habari ( hawaonekani pichani) milipuko hatari aina ya ' Water explosives gel ' iliyokamatwa jana usiku kutoka kwa watuhumiwa tisa waliokuwa wamehifadhiwa ndani ya msikiti wa Suni uliopo Tarafa ya Kidatu, wilayani Kilombero mkoani Morogoro.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWATU 10 WAKAMATWA MSIKITINI WAKIWA NA MILIPUKO, SARE ZA JESHI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-u22LB1NxPb0/VS9UoWVMdPI/AAAAAAABLtA/dQetrLtB5tg/s1600/11152703_867991246613470_1520792993635882528_n.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Apr
Watu 10 wakamatwa msikitini wakiwa na milipuko, sare za jeshi, bendera ya Al Shabaab
10 years ago
Mtanzania16 Apr
10 wakamatwa na milipuko msikitini
Na Ramadhan Libenanga, Morogoro
JESHI la Polisi mkoani Morogoro, linawashikilia watu 10 waliokamatwa msikitini wakiwa na vifaa mbalimbali, ikiwamo milipuko 30, sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na bendera nyeusi.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonald Paul alisema tukio hilo lilitokea Aprili 14, mwaka huu saa 3.30 usiku katika Kitongoji cha Nyandero, Tarafa ya Kidadu wilayani Kilombero.
Kamanda Paul alisema watu hao...
10 years ago
BBCSwahili08 Mar
Milipuko yawaua watu 50 Nigeria
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Watu 10 wafariki katika milipuko Nigeria
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MILIPUKO YAUA WATU 30 KATIKATI YA NIGERIA
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Watu 54 wauawa katika milipuko Nigeria
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Turkey2343.jpg)
MILIPUKO YAUA WATU ZAIDI YA 52 UTURUKI
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Milipuko ya mabomu yaua watu 20 Syria