Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND KUSHTAKIWA

Waandishi wetu
STAA wa muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnumz’ ambaye aliwatelekeza watoto wawili alioahidi kuwasomesha katika shule ya East Africa International ya Mikocheni jijini Dar es Salaam, atashtakiwa mahakamani endapo wazazi wa vijana hao wataamua kufanya hivyo, Risasi Mchanganyiko limeelezwa. Staa wa muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnumz’. Meneja wa msanii...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Lowassa kushtakiwa

Mgombea ubunge jimbo la Kyela, Dk Harrison Mwakyembe amesema moto wa kashfa ya mkataba wa kufua umeme wa dharura na kampuni ya Richmond haujazimika, hivyo mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa anaweza kufunguliwa “kesi ya magendo”.

 

10 years ago

Mwananchi

Kaseja ‘kushtakiwa’

Kipa Juma Kaseja amewekwa kati akitarajiwa kujadiliwa na kuchukuliwa hatua na kamati ya nidhamu ya klabu ya Yanga akituhumiwa kukacha mazoezi, jambo ambalo ni utovu wa nidhamu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Al-Maliki aweza kushtakiwa

Waziri mkuu wa zamani wa Iraq huenda akachukuliwa hatua za kisheria kwa mchango wake katika vita

 

11 years ago

Mtanzania

Magufuli: Nipo tayari kushtakiwa

Waziri John Magufuli

Waziri John Magufuli

Oliver Oswald Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema yupo tayari kufungwa jela kuliko kuendelea kuwavumilia watu wanaokwamisha ujenzi wa miundombinu ya barabara kwa kukimbilia mahakamani.

Sambamba na hilo, pia amepiga marufuku uchimbaji wa mchanga pembezoni mwa mto uliokuwa eneo la daraja la Lugalo, ikiwa ni pamoja na kuwapa tahadhari ya kuwafungia wafanyabiashara walio karibu na eneo hilo endapo watashindwa kuwa walinzi wa uharibifu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufisadi:Mawaziri 4 kushtakiwa Kenya

Kiongozi wa mashtaka nchini kenya amesema kuwa mawaziri wanne watashtakiwa kwa makosa ya ufisadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mke wa rais wa Zimbabwe kushtakiwa

Muungano wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Zimbabwe umesema kwamba unawasilisha kesi mahakamani hii leo kumshtaki bi Grace Mugabe

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa zamani kushtakiwa Chad

Mahakama nchini Senegal imeamua kuwa kuna ushahidi wa kutosha kuweza kumfungulia mashtaka rais wa zamani wa Chad Hissene Habre

 

9 years ago

BBCSwahili

Spika wa Congress Brazil kushtakiwa

Waendesha mashtaka wa Brazil wamefungua mashtaka ya rushwa na usafishaji wa fedha chafu dhidi ya Spika wa Congress, Eduardo Cunha

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani