Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kaseja: Sina bifu na Ivo

KIPA wa Yanga, Juma Kaseja, amesema hana sababu ya kutoelewana wala kugombana na kipa wa Simba na timu ya taifa, Taifa Stars, Ivo Mapunda. Kauli hiyo ya Kaseja imekuja baada...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Maximo: Sina bifu na Kaseja

WAKATI kocha mpya wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo akitarajia kuanza kibarua Jumatatu, amesema hana ‘bifu’ na kipa Juma Kaseja wala mchezaji yeyote hapa nchini. Maximo akiwa kocha wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Pawasa awapa somo Kaseja, Ivo

Beki wa zamani wa Simba, Boniface Pawasa ameunga mkono kurejea kwa kipa Juma Kaseja katika klabu ya Simba na kumtaka Ivo Mapunda kuacha woga na kukubali kupambana.

 

11 years ago

Mwananchi

Ivo, Okwi wang’ara, Kaseja mh

Baada ya tambo za muda mrefu za mechi ya Nani Mtani Jembe kati ya Simba na Yanga, hatimaye Jumamosi iliyopita, Wekundu wa Msimbazi walionyesha ubabe wao kwa kuwanyuka watoto wa Jangwani mabao 3-1.

 

9 years ago

Vijimambo

Kaseja atua Mbeya, Ivo asaka timu nje

Kipa Juma Kaseja (kushoto) akikabidhiwa jezi na kiongozi wa Mbeya City. Katikati ni Tippo Athuman akishudia tukio hilo.
By Justa Musa, Oliver AlbertDar/Mbeya. Wakati dirisha la usajili likifungwa jana usiku, kipa Juma Kaseja amesaini mkataba wa miezi sita wa kuichezea Mbeya City, huku mwenzake Ivo Mapunda akitangaza kusaka timu nje ya nchi.Makipa hao wa zamani wa Taifa Stars, Kaseja na Ivo msimu uliopita hakuwa mzuri kwao kutokana na kuingia katika migogoro na klabu zao, Yanga na Simba.Kaseja...

 

10 years ago

CloudsFM

Makipa wa timu ya Simba,Ivo Mapunda na Juma Kaseja watembelea Jahazini.

Kipa wa Klabu ya Simba Ivo Mapunda akizungumza kwenye kipindi cha Jahazi leo.

 

11 years ago

GPL

SINA BIFU NA WEUSI - ROMA MKATOLIKI

Ibrahimu Musa ‘Roma Mkatoliki’ wakati akifanya mahojiano ndani ya studio za Global TV Online. MAKALA SIFAEL PAUL
UKITIMBA mjengoni Global Publishers utaipenda. Mbali na magazeti yanayosomwa na wengi ndani na nje ya Bongo, utakuta na bonge la studio ya Global TV Online. Hapo ndipo mastaa hudondoka kila wiki kufunguka mambo mbalimbali juu ya sanaa wanazofanya. Hivi karibuni ndani ya Global TV Online ilikuwa zamu...

 

11 years ago

Mwananchi

Ivo aishangaa Yanga

Kipa namba moja wa Simba, Ivo Mapunda amesema kitendo cha watani zao Yanga kuamini ushirikina ndani ya uwanja ipo siku kitawagharimu.

 

10 years ago

Mwananchi

Ivo: Nilibeba ‘zigo’ la lawama

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda amesema kocha Goran Kopunovic alimpa jukumu zito la kumtaka akadake penalti kama angeshindwa angebebeshwa lawama zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani