Kaseja atua Mbeya, Ivo asaka timu nje
Kipa Juma Kaseja (kushoto) akikabidhiwa jezi na kiongozi wa Mbeya City. Katikati ni Tippo Athuman akishudia tukio hilo.
By Justa Musa, Oliver AlbertDar/Mbeya. Wakati dirisha la usajili likifungwa jana usiku, kipa Juma Kaseja amesaini mkataba wa miezi sita wa kuichezea Mbeya City, huku mwenzake Ivo Mapunda akitangaza kusaka timu nje ya nchi.Makipa hao wa zamani wa Taifa Stars, Kaseja na Ivo msimu uliopita hakuwa mzuri kwao kutokana na kuingia katika migogoro na klabu zao, Yanga na Simba.Kaseja...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM17 Dec
Makipa wa timu ya Simba,Ivo Mapunda na Juma Kaseja watembelea Jahazini.
Kipa wa Klabu ya Simba Ivo Mapunda akizungumza kwenye kipindi cha Jahazi leo.
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Kaseja: Sina bifu na Ivo
KIPA wa Yanga, Juma Kaseja, amesema hana sababu ya kutoelewana wala kugombana na kipa wa Simba na timu ya taifa, Taifa Stars, Ivo Mapunda. Kauli hiyo ya Kaseja imekuja baada...
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Pawasa awapa somo Kaseja, Ivo
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Ivo, Okwi wang’ara, Kaseja mh
9 years ago
Habarileo16 Aug
Kaseja atua Coastal Union
GOLIKIPA mkongwe nchini, Juma Kaseja amesajiliwa na Coastal Union ya Tanga na ameanza mazoezi. Akizungumza kwa njia ya simu kutoka Tanga jana, msemaji wa Coastal Union, Oscar Assenga alikiri ujio wa Kaseja kwenye timu hiyo lakini akasema hajasajiliwa na kwamba wapo kwenye mazungumzo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7pBm2dDNvEuLIN2iDLbSzllaPtkMBkCItS2RW4-ofB7cDtoVoezTMOyOaV0d7-tcdQqps9d-F*-4KJC2xLW0TiB/kocha.jpg?width=650)
Kocha atua Yanga amfuta Kaseja
9 years ago
Michuzi01 Oct
MWIGULU NCHEMBA ASAKA KURA ZA CCM KATA KWA KATA,ATUA HAI,VUNJO,SAME,ARUMERU NA MWANGA
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/oLbUAKg11Mxw5QmOzAa5cfR8Peiqv0TlTDSQHRHdYi8-3NxO6rgrEVWnWUeq72W4uyn-TSuPt2FaPadIDDf4ZoOOAoQezKRMb722P-MzA7GxqMQXRbrMDWJOIxsIZbUmr121N5AO7iVdb6cNl-YcjtqH6QRBftjlwYlQNjHG6Ej9lvl_ucM7trhLaSnf4y9jOPAIGTImmPDyNHksRodTsB0DCfUcyXCjLVCFLERWSFgTJNtc=s0-d-e1-ft#https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12074941_430666830468884_1065071166966987949_n.jpg?oh=d1a5194cced3cf4f470a26bbf6b6d7e5&oe=56865D7A)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/HnYDNdlPbdh9fkWFTH4QXdNMYeZYrj_k3prWw_sfkmsDoKGQOX5DkEjTS-lpvaO4q43pTMi9kG9xZZcWm5ho96pTRbai3bEgoFMpEHDKheZPZlRP-iEVTHd5aQdZA0pbXg8RfT-QMBzbnVYL-5GzSiJ-JyIewNKuFblpjecsLsREPFa8a3xt1vB6TrQlTmyxSrzx1Q4UkngeuJQTSPVDjI5fsreIf1SWbmiczsbvXzeUDb9p=s0-d-e1-ft#https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtl1/v/t1.0-9/12079494_430666913802209_1657029922218945291_n.jpg?oh=59931af650df0e317cbe805b39ce78c7&oe=56A89393)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/i-lxg8w7ku3_N1PQzvXvm1MtnFVZiie4ZawYDJL8hzLCunn2lOx_l8cSQILk50fXPFmey7lHvyvQEe1yzXd_JhWbqs9RQaZiWDMNxB-AREOPeXG8GEcUaQya-kp7HoxG64SM0Ofd6m9RcFa4b3F3TayurLgRTtnFMWLh9eEwbaRjNw6-78v6ADl1LIrPlksKZDL70Pk7qVdK2Ot6vW93aPaD4E43odM0WQuxsYn9bSbODQXg=s0-d-e1-ft#https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12032005_430666937135540_6300423914878819122_n.jpg?oh=629325b74240c3f14f0d644da0e75acf&oe=569BFFB0)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/0dLvrYA7fzngD86OOH7zwDH3UIPjR4iY6oiX4pJpR5m2ONiiZD72v5vmEtvR_wVLZ3KzbOHfdRui_vlkaB5uYz79P1wV7ZRMrIrapaSNk3z1Uj2WBCdQJwnWBdRN-Xgy2CHkFpKIOAtpPnocb0wvwS0_U6SqEcE47fPcPaxGQ3oFjqqjE8oCBc-_uFSG34TUkcyg1M_5SV1P8agyOmLqjPcW54fKMgMv0pRbOrIBB7T-vgzc=s0-d-e1-ft#https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/12074747_430666977135536_2269769044830935670_n.jpg?oh=0fbdef5ebbd62641a058ca0b87224167&oe=568EA701)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/KS8-CMVwwSepJrYGuyUtSKoJqKGeWKMnO3C367SzG-fFI99yULzPFi5AkzQs27iqZ8FWZKPF_TXNbTUPTLFbNW3nas_xWHhPF5zIvXk5zImv4g-o_ta9_WKFdctGBi-rUiCGnxJ2uU6PgILvV4GFF5X1-Cyw4TS65hgMFppOUGy-A8VTY73WDjsHsl0WmKoUsYmge7P-9vGmqp4Q-0CmkKNA4olitQuLEGZMycZqcZrdIMnxzKiwiKxB2N0bF9jHeKyuN3eBG4jHHGNqxe-mkqFv7oFQKaVgjdUJN3y-_K88qJV3JNiNozl4rw9l=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xat1/v/t1.0-9/12043043_430667017135532_7168186954452293774_n.jpg?oh=cbd1eaf3b92f501cdbddf6d8fe5f7aef&oe=5699ED2C&__gda__=1453448435_a09672fd5c4d20ee1b6f75621f6ab679)
9 years ago
Habarileo21 Aug
Kaseja mali ya Mbeya City
KIPA mkongwe nchini, Juma Kaseja amelikimbia Jiji la Dar es Salaam na kuanzia msimu ujao atakuwa jijini Mbeya baada ya kukubali kusaini mkataba wa miaka miwili wa kuichezea Mbeya City.
10 years ago
Habarileo07 Aug
Mbeya City, Mwadui zamwania Kaseja
BAADA ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumweka huru aliyekuwa golikipa wa Yanga Juma Kaseja klabu za Mbeya City, Mwadui FC na Ndanda FC zinapigana vikumbo kuwania saini yake.