Mbeya City, Mwadui zamwania Kaseja
BAADA ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumweka huru aliyekuwa golikipa wa Yanga Juma Kaseja klabu za Mbeya City, Mwadui FC na Ndanda FC zinapigana vikumbo kuwania saini yake.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo21 Aug
Kaseja mali ya Mbeya City
KIPA mkongwe nchini, Juma Kaseja amelikimbia Jiji la Dar es Salaam na kuanzia msimu ujao atakuwa jijini Mbeya baada ya kukubali kusaini mkataba wa miaka miwili wa kuichezea Mbeya City.
9 years ago
StarTV20 Aug
Kaseja arudi kwa kishindo Mbeya City
BAADA ya msimu mmoja wa kuwa nje, hatimaye mlinda mlango mkongwe Tanzania, Juma Kaseja Juma amerudi kazini baada ya jana kusaini Mkataba wa miezi sita kujiunga na Mbeya City FC.
Kaseja amekuwa mchezaji huru tangu aondoke Yanga SC msimu uliopita- ikiwa ni mwaka mmoja tu tangu arejee Jangwani akitokea klabu aliyoichezea kwa miaka tisa, Simba SC.
Kaseja alijiunga na Simba SC mwaka 2002 akitokea Moro United kabla ya mwaka 2009, kuhamia Yanga kwa mwaka mmoja kabla ya kurejea Msimbazi mwaka...
Kaseja alijiunga na Simba SC mwaka 2002 akitokea Moro United kabla ya mwaka 2009, kuhamia Yanga kwa mwaka mmoja kabla ya kurejea Msimbazi mwaka...
9 years ago
Vijimambo21 Aug
Kaseja atua Mbeya, Ivo asaka timu nje
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2841060/highRes/1097591/-/maxw/600/-/14bcsqmz/-/kaseja.jpg)
By Justa Musa, Oliver AlbertDar/Mbeya. Wakati dirisha la usajili likifungwa jana usiku, kipa Juma Kaseja amesaini mkataba wa miezi sita wa kuichezea Mbeya City, huku mwenzake Ivo Mapunda akitangaza kusaka timu nje ya nchi.Makipa hao wa zamani wa Taifa Stars, Kaseja na Ivo msimu uliopita hakuwa mzuri kwao kutokana na kuingia katika migogoro na klabu zao, Yanga na Simba.Kaseja...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04avzhEoUjpCw-HS579DXn1G8f34OWQZ74OVPNhY*EifLAfoL5DqwYEnVSA3Kto*WjiCcOvCEJG6*nyttvLmrZNgY/AZAMFC2.jpg?width=650)
AZAM FC WAKIPASHA MISULI KABLA YA KUWAKABILI MBEYA CITY JIJINI MBEYA
Wachezaji wa Azam FC wakipasha misuli ndani ya Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya muda mfupi kabla ya kukwaana na Mbeya City leo. (PICHA NA…
11 years ago
Michuzi11 Feb
MBEYA CITY NA MTIBWA ZAINGIZA MILIONI 25.6 uwanja wa sokoine, mbeya
9 years ago
MichuziMBEYA CITY YABUGIZA JKT RUVU GOLI 3-0 MJINI MBEYA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GrESGA1Ckwh9FsBqvLGfGjQr90V5WmqBhXAwZVAC9zmNE2EAzcv0yOWLMXpKiw7oOKjRjBh*eMF3banQPSa*ypG7*3*P3Jo6/1.jpg?width=650)
WAKAZI WA MBEYA WACHANGAMKIA JEZI ZA MBEYA CITY
Wakazi wa Mbeya wakichangamkia jezi za Mbeya City. Mkazi wa Mbeya akiwa ndani ya jezi Hali ya jiji la Mbeya leo…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania