Ivo, Okwi wang’ara, Kaseja mh
Baada ya tambo za muda mrefu za mechi ya Nani Mtani Jembe kati ya Simba na Yanga, hatimaye Jumamosi iliyopita, Wekundu wa Msimbazi walionyesha ubabe wao kwa kuwanyuka watoto wa Jangwani mabao 3-1.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Kaseja: Sina bifu na Ivo
KIPA wa Yanga, Juma Kaseja, amesema hana sababu ya kutoelewana wala kugombana na kipa wa Simba na timu ya taifa, Taifa Stars, Ivo Mapunda. Kauli hiyo ya Kaseja imekuja baada...
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Pawasa awapa somo Kaseja, Ivo
9 years ago
Vijimambo21 Aug
Kaseja atua Mbeya, Ivo asaka timu nje
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2841060/highRes/1097591/-/maxw/600/-/14bcsqmz/-/kaseja.jpg)
By Justa Musa, Oliver AlbertDar/Mbeya. Wakati dirisha la usajili likifungwa jana usiku, kipa Juma Kaseja amesaini mkataba wa miezi sita wa kuichezea Mbeya City, huku mwenzake Ivo Mapunda akitangaza kusaka timu nje ya nchi.Makipa hao wa zamani wa Taifa Stars, Kaseja na Ivo msimu uliopita hakuwa mzuri kwao kutokana na kuingia katika migogoro na klabu zao, Yanga na Simba.Kaseja...
10 years ago
CloudsFM17 Dec
Makipa wa timu ya Simba,Ivo Mapunda na Juma Kaseja watembelea Jahazini.
Kipa wa Klabu ya Simba Ivo Mapunda akizungumza kwenye kipindi cha Jahazi leo.
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Jaja, Tegete wang’ara
10 years ago
Habarileo02 Aug
Olimpiki Maalumu wang’ara
KATIKA kudhihirisha kuwa wanaweza, timu ya Tanzania inayoshiriki Olimpiki Maalumu imeendelea kuvuna medali kwenye mashindano ya dunia yanayofanyika Los Angles, Marekani.
11 years ago
Tanzania Daima28 May
14 wang’ara Siku ya Gofu
WACHEZAJI 14 kati ya 52 wa mchezo wa gofu jijini Dar es Salaam ambao walishiriki mashindano yaliyojulikana kama ‘Siku ya Gofu’, mwishoni mwa wiki waliibuka kidedea baada ya kufanya vizuri...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p_sYft3ZeF0/VC_e39zJ_2I/AAAAAAAGnvA/XJo1LrACvuo/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
Mahakama wang'ara Shimiwi
Timu ya Mahakama ambayo inanolewa na kocha wa zamani wa klabu ya Simba na timu ya Taifa, Abdallah “King Mputa” Kibadeni jana iliibuka na ushindi wa mabao 5-2 dhidi ya Ras Tanga na kuingia hatua ya robo fainali.
Wakati timu ya soka ikiingia katika hatua hiyo muhimu, timu ya mchezo, kamba (wanawake na...
11 years ago
BBCSwahili10 May
Wakenya wang'ara Diamond League