Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MJAMZITO APIGWA RUNGU KICHWANI

Martha Laurent akiwa hospitali baada ya kupigwa rungu kichwani na mumewe Jumanne Suyi. Stori: Makongoro Oging’
“ILIKUWA siku ya mkesha wa mwaka mpya nikiwa nyumbani Mwembe Yanga, Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, mume wangu alifika huku akiwa anapiga kelele na nilipomuuliza akanieleza kuwa leo ndiyo mwisho wangu kwani mimi ni mbwa. Majeraha aliyoyapata kichwani. “Nilimweleza kuwa sitaki fujo pia…...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mchungaji Gwajima Avamiwa.....Apigwa Panga Kichwani na Kulazwa ICU


MCHUNGAJI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima jijini Mwanza, Samson Gwajima na Ofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Amin Neigwa, wamevamiwa na majambazi ambao wamewajeruhi vibaya kwa kuwakata mapanga vichwani.Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana katika Mtaa wa Lyila, Kata ya Buhongwa, Wilaya ya Nyamagana, jijini Mwanza.Akizungumza kwa taabu na mwandishi wetu akiwa wodini kwenye Hospitali ya Rufaa ya Bugando (BMC), alikolazwa kwa matibabu, Neigwa, alisema akiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

MAKALA: Ukatili mjamzito apigwa na kufungiwa ndani

>Ni jambo la kawaida kuwaona wanaume  wilayani Serengeti wakiongozana na wake ama watoto wao siku za minada,  kwenda kuuza mifugo ili wanunue mahitaji yao, lakini mapato hudhibitiwa na wanaume.

 

11 years ago

BBCSwahili

Risasi lilimuingia kichwani Mombasa

Mtoto Cyprian Osinya aliye na miezi 10 amefikishwa Nairobi kwa upasuaji kutoa risasi katika ubongo wake kufuatia shambulizi la Jumapili kanisani

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtoto Satrine aondolewa risasi kichwani

Madaktari nchini Kenya, wamefanikiwa kuondoa risasi iliyokuwa imekwama katika ubongo wa mtoto Satrine Osinya mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu.

 

9 years ago

GPL

ZARI ADAIWA KUMPANDA KICHWANI DIAMOND

MWANDISHI WETU Pamoja na kukanusha kwa nguvu zote, staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kupandiwa kichwani na mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ huku ndugu wakidaiwa kuhofia masuala ya kulishwa limbwata. Staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Habari kutoka kwa mtu wa ndani wa familia ya Diamond zilidai kuwa, ishu hiyo imekuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mrembo anapoporwa wigi likiwa kichwani mwake!

WAHENGA walisema ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, hivyo ndivyo nilivyojikuta mimi pamoja na watu wengine tukiwashangaa watu wawili kwa wakati mmoja kutokana na kitendo alichokifanya kijana aliyekuwa na sifa...

 

11 years ago

Habarileo

Amuua mwanawe kwa kumpiga nyundo kichwani

MCHINJA nguruwe katika Kitongoji cha Sokoni Mji mdogo wa Sirari, Tarime Ezekiel Magige (39) amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime baada ya kupigwa mawe na wananchi wenye hasira kali.

 

10 years ago

Habarileo

Ndugai ampiga mpinzani wake fimbo kichwani

MCHAKATO wa kura za maoni ya Ubunge katika Jimbo la Kongwa, juzi uliingia dosari baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai anayeomba ridhaa ya kutetea ubunge wake kudaiwa kumpiga hadi kuzirai mgombea mwenzake.

 

10 years ago

GPL

MUME AMUUA MKEWE KWA KUMPIGA MISUMARI KICHWANI

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa  
MWANAMUME mmoja aitwaye Boniphace Kiwele mkazi wa Bombambili, Wilaya ya Ilala nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam anadaiwa kumuua kwa kipigo na kitu kinachodhaniwa kuwa ni msumari, mkewe Happiness Geofrey (pichani) wiki iliyopita. Happiness Geofrey enzi za uhai wake. Kiwele alidaiwa kufanya ukatili huo Machi 3, mwaka huu nyumbani kwake baada ya kumtuhumu mkewe kuwa alikuwa kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani