Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mrembo anapoporwa wigi likiwa kichwani mwake!

WAHENGA walisema ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, hivyo ndivyo nilivyojikuta mimi pamoja na watu wengine tukiwashangaa watu wawili kwa wakati mmoja kutokana na kitendo alichokifanya kijana aliyekuwa na sifa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

DIOMOND AVALISHWA WIGI.....KAPENDEZAJE!!!!

Wema baada ya kuhangaika kulitafuta wigi lake, hatimaye akambamba baby wake kalivaa Lol, akampiga picha, akaitupia Instagram na kuisindikiza na maneno haya:

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI :Taifa lisiingie kwenye uchaguzi likiwa limegawanyika

Gazeti hili liliwahi kuandika kuhusu utamaduni unaozidi kujengeka wa kugeuza kila jambo kuwa la dharura na kufanywa kwa haraka haraka kana kwamba Watanzania wapo kwenye nchi hii kwa muda.

 

11 years ago

CloudsFM

Semi-Trela likiwa limebeba kontena limeanguka baada ya kulielemea

Semi-Trela likiwa limebeba kontena likiwa limeanguka baada ya kulielemea kwa uzito na kulivunja daraja la chuma katika barabara ya Banana-Kinyerezi maeneo ya Tabata jijini Dar es salaam jana jioni. Haikuweza kufahamika mara moja lilikuwa limebeba mzigo gani na kama dereva alikuwa anajua daraja hilo ni kwa magari yenye uzito wa wastani wa tani 7 tu au ni kiburi tu. Hakika Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli na jeshi lake wana kazi ya ziada kuhakikisha uzembe kama huu hautokei na...

 

10 years ago

Vijimambo

PROF. TIBAIJUKA ACHANGIA MIL 60 KUKUZA MITAJI YA WANAWAKE JIMBONI MWAKE

Zaidi ya vikundi 500 vya wajasiliamali kutoka kata 17 kati ya 25 zinazounda jimbo la Muleba Kusini Mkoani Kagera vimepokea mchango wa Shilingi milioni 60 kutoka kwa mbunge wa jimbo hilo kwa lengo la kuboresha mitaji na kujipanua kiuchumi.Akihutubia wawakilishi wa vikundi hivyo jana katika ukumbi wa Kajumulo Foundation mjini Muleba mbunge wa jimbo hilo Profesa Anna Tibaijuka amesema vikundi alivyochangia fedha hizo ni vya wanawake , Vijana pamoja na wazee.
Profesa Tibaijuka amesema kuwa...

 

11 years ago

Michuzi

GARI LIKIWA LINAOSHWA KATIKA ENEO HATARISHI MBEZI KWA YUSUFU

 Madereva wanatakiwa kuwa makini wanapo peleka magari kuosha kwa mfano gari hili ni la thamani kubwa lakini linaoshwa katika  hali ya kuhatarisha gari hilo kando kando ya barabara ya dar mororogo eneo la mbezi kwa yusufu jana jioni.

 

11 years ago

Michuzi

KAMANDA WA POLISI MKOA WA TABORA AHAMASISHA ULINZI SHIRIKISHI MKOANI MWAKE

Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP. Suzan Kaganda akiongoza mafunzo ya ulinzi shirikishi kwa vijana wa Mkoa huo,yaliyofanyika leo tarehe 20.06.2014 katika shule ya msingi Idudumio iliyopo tarafa ya Nyasa wilaya ya Nzega. Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP. Suzan Kaganda akikabidhi zawadi mbali mbali kwa vijana walioshiriki kwenye Mafunzo ya Ulinzi Shirikishi.

 

11 years ago

GPL

GARI LAKAMATWA LIKIWA LIMEBEBA MAITI YENYE DAWA ZA KULEVYA MKOANI MOROGORO

Kamanda wa Polisi Mkoani Morogoro,Faustine Shilogile akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Hizi ndio baadhi ya Pipi zilitolewa tumboni mwa Marehemu Khalid Kitala. …

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA KATAVI AFUNGUA MRADI WA KUSOMA KWA NJIA YA MTANDAO MKOANI MWAKE

Mkuu wa Mkoa wa Katavi,Dkt. Rajaub Rutengwe (mwenye suti katikati walioketi) akiwa kwenye picha ya pamoja na wadau wa UNHCR na Halmashauri ya Nsimbo Wilaya ya Mlele mara baada ya kufungua mradi wa kusoma masomo kwa njia ya mtandao katika Sekondari ya Katumba,Mkoani humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani