Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GARI LIKIWA LINAOSHWA KATIKA ENEO HATARISHI MBEZI KWA YUSUFU

 Madereva wanatakiwa kuwa makini wanapo peleka magari kuosha kwa mfano gari hili ni la thamani kubwa lakini linaoshwa katika  hali ya kuhatarisha gari hilo kando kando ya barabara ya dar mororogo eneo la mbezi kwa yusufu jana jioni.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

mtu mmoja anusurika katika ajali ya gari eneo la Kibele, Zanzibar, leo

 Mtu mmoja amenusurika kifo kufuatia ajali ya gari alilokuwa anaendesha mchana huu kwenye milango ya saa 8.10. katika kijiji cha Kibele, Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja kwa kile kilichoelezwa kuwa ni mwendo kasi wa dereva huyo ambaye alishindwa kuidhibiti gari ndogo aina ya Toyota Spacio yenye namba za usajili Z 511 FG na gari  kuacha barabara na kugonga mnazi ambao uliangukia gari na baadae gari kuwaka moto. Dereva huyo, ambaye jina halikuweza kupatikana mara moja, alitolewa ndani ya...

 

11 years ago

GPL

GARI LAKAMATWA LIKIWA LIMEBEBA MAITI YENYE DAWA ZA KULEVYA MKOANI MOROGORO

Kamanda wa Polisi Mkoani Morogoro,Faustine Shilogile akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Hizi ndio baadhi ya Pipi zilitolewa tumboni mwa Marehemu Khalid Kitala. …

 

10 years ago

Vijimambo

BIBI HUYU AUA MJUKUU WAKE WA MIAKA 6 KWA KUMTUPA DIRISHANI WAKATI BASI LIKIWA KATIKA MWENDO KASI HUKO SINGIDA

Bi Lawaridi sadi (46)akiwa kituo cha polisi mkoani singida kwa kosa la kutupa mtoto kwenye basi basi ililolilikuwa likielekea mkoani kigoma

Katika hali isiyo kuwa ya kawaida mama moja aliye kuwa akisafiri na mtoto wake mmoja na wajukuu zake wawili, aliamua kumtupa mjukuu wake wa miaka sita dirishani huku basi likiwa katika mwendo kasi na kusababisha kifo chake baada ya kufikishwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida...

 

10 years ago

Vijimambo

USAFIRI UNAOTUMIKA KUSAFIRISHA ABIRIA MKOANI GEITA ENEO LA BUSERESERE NI HATARISHI

 Abiria wakiwa wamekusanywa kwenye buti eneo la kubebea mizigo huku wakiwa sambaba na watoto wadogo. Mizigo na Watoto wakiwa wamekusanywa pamoja na mizigo nyuma ya Gari hiyoWakazi wa Mkoa wa Geita maeneo ya buseresere na katoro wapo katika hatari kubwa ya maisha yao kutokana na usafiri wanaoutumia kutoka eneo moja kwenda jingine.Mwakilishi wa kikundi cha usalama barabarani Fungo Agustus ametutumia Tukio hili ambalo ni hatari kwa abiria mkoani Geita.Gari ndogo aina ya Pro Box zimeingia kwa...

 

11 years ago

Michuzi

AJALI ENEO LA AFRIKANA, MBEZI BEACH MCHANA WA LEO

 Gari aina ya Nissan Hard Body yenye Namba za Usajili T 524 ALW likiwa limetupwa mtaroni na trela la lori (halipo pichani) ambalo lililigonga gari hilo na kutumbukia mtaroni eneo la Afrikana Mbezi Beach Mchana wa leo. Katika Ajali hiyo iliyohusisha Lori na gari aina ya Nissan Hard Body hakuna mtu yoyote aliyepoteza Maisha Wananchi wakisaidia Kulifunga minyororo gari aina ya Nissan Hard Body ambayo imetumbukia mtaroni mara baada ya Kugongwa na trela la lori (halipo pichani) mchana wa...

 

11 years ago

GPL

AKUTWA AMEUAWA ENEO LA AFRICANA-MBEZI JIJINI DAR

Mwili wa Erick 'Ras Kiduku' kama ulivyokutwa eneo la tukio. Ufunguo wa Bajaj aliyokuwa akiendesha marehemu Ras Kiduku. MWILI wa kijana ambaye ni dereva wa Bajaj aliyejulikana kwa jina la Erick maarufu kwa jina la Ras Kiduku umekutwa ukiwa umetupwa eneo la Kilongawima, Africana-Mbezi jijini Dar es Salaam. Pembeni…

 

10 years ago

GPL

AJALI YA GARI YAUA MBEZI JIJINI DAR

Mwili wa mwanamke mmoja ambaye hakufahamika jina lake baada ya kukanyagwa na lori na kupoteza maisha. Msamalia mwema akiufunika mwili wa mwanamke huyo.…

 

11 years ago

GPL

UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO

 Hii dimbwi ambalo maji yametuama na kutunza uchafu.  Barabara iendayo kutokea uwanja wa zamani wa ndege mbeya ukiwa umejaa maji.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Mama Daniela Schadt aipongeza WAMA kwa kazi wanayoifanya ya kuwasomesha watoto wa kike ambao ni yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi

img_0858

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.

Na Anna Nkinda – Maelezo

Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) imepongezwa kwa kazi inayoifanya ya kuhakikisha  watoto wa kike ambao ni yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi wanapata elimu sawa na watoto wengine.

Pongezi hizo zimetolewa leo na Mke wa Rais wa Shirikisho la Ujerumani Mama Daniela Schadt wakati akiongea na wafanyakazi wa  WAMA alipozitembelea ofisi za Taasisi hizo zilizopo jijini Dar es Salaam.

Mama Schadt ambaye ni Mke  wa Rais...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani