WHO yatangaza coronavirus kuwa janga la kimataifa
Shirika la Afya duniani limeutangaza mlipuko wa virusi vya corona kuwa ni janga la kimataifa huku mlipuko huo ukiendelea kusambaa katika mataifa mbalimbali duniani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Burundi yatangaza kuwa na wagonjwa wa corona kwa mara ya kwanza
Waziri wa afya nchini humo Thadée Ndikumana, ametangaza watu wawili ambao ni raia wa Burundi kuwa na maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n1rVO2KmE3Y/XsdLLX3L6EI/AAAAAAABMJo/Xpzbze7LJYUjiy4auVkX_eLKIG_d2kwWQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
BENKI YA NMB YATANGAZA HATUA ZA KUWAPUNGUZIA MZIGO WATEJA WAKE KUTOKANA NA JANGA LA COVID 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-n1rVO2KmE3Y/XsdLLX3L6EI/AAAAAAABMJo/Xpzbze7LJYUjiy4auVkX_eLKIG_d2kwWQCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NMB , Ruth Zaipuna
· Hatua kuchukuliwa kulingana na mahitaji ya Wateja wa Biashara Ndogondogo na za Kati· Suluhisho pia kutolewa kwa Wateja Wakubwa
Dar es Salaam, Mei 21, 2020: Benki ya NMB Plc leo imetangaza unafuu wa ulipaji mikopo kwa Wateja wa Biashara ndogo na za kati (SME/MSME) na wakubwa ili kuwasaidia kukabiliana na madhara yaliyotokana na janga la COVID - 19 kwenye biashara zao. Hii ni jitihada ya benki katika kutoa ahueni kwa wateja wake...
5 years ago
BBCSwahili15 Mar
Coronavirus: Serikali ya Kenya yatangaza visa viwili zaidi vya coronavirus
Watu wawili waliopatikana na visusi vya Ebola ni wale waliotangamana na mgonjwa wa kwanza
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aRNM6bufP6o/XtkPHMM2l9I/AAAAAAAEHgE/6CAuHjFjFzwiO8GWkrK1OrSnqdlRNSdKACLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Benki ya Exim yatangaza likizo ya malipo ya mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 160 kwa wateja wake ili kuwanusuru na athariza janga la COVID - 19.
![](https://1.bp.blogspot.com/-aRNM6bufP6o/XtkPHMM2l9I/AAAAAAAEHgE/6CAuHjFjFzwiO8GWkrK1OrSnqdlRNSdKACLcBGAsYHQ/s320/download.png)
Benki ya Exim imetangaza msamaha wa likizo ya malipo ya mikopo kwa wateja wake wakubwa, wa kati na wadogo walipo katika sekta zilizo athirika zaidi kiuchumi kutokana na athari za mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID 19). Hatua hiyo ni sehemu ya juhudi zinazoendelea kuchukuliwa na benki hiyo katika kuwasaidia kifedha wateja wake...
11 years ago
BBCSwahili02 Aug
W.H.O:Ebola inaweza kuwa janga baya
shirika la afya duniani lasema kuwa ugonjwa wa Ebola Magharibi mwa Afrika unaweza kusababisha janga baya iwapo hautazuiwa.
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Coronavirus: Uzazi wakati wa janga la corona
Wakati huu wa mlipuko wa corona umekuwa wa tofauti kwa wazazi wanaopata watoto wapya kwa kuwa imekuwa si rahisi kwa watu kutembeleana kwenda kumuona mtoto mpya nyumbani au hospitalini.
5 years ago
BBCSwahili21 Mar
Janga la coronavirus laitikisa sekta ya utalii Zanzibar
Sekta ya Utalii Zanzibar ni moja ya nguzo kuu za uchumi wa visiwa hivyo na Tanzania kwa ujumla, lakini mambo yamebadilika tangu mlipuko wa coronavirus ulipoanza.
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Ajabu! Wabunge wetu mmejisahau, mmegeuka kuwa janga
>Kuna usemi ambao nimekuwa nikiusikia mara kwa mara na ambao umekuwa ukitumiwa na watu wengi, unasema kuwa mdomo uliponza kichwa.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Coronavirus: Je nchi za Afrika ziko tayari kukabiliana na janga hili?
Jinsi nchi barani Afrika zinavyojitayarisha kukabiliana na virusi vya corona iwapo vitasambaa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania