Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Je nchi za Afrika ziko tayari kukabiliana na janga hili?

Jinsi nchi barani Afrika zinavyojitayarisha kukabiliana na virusi vya corona iwapo vitasambaa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Nchi zinazoongozwa na wanawake wametumia mikakati gani kukabiliana na janga hili?

Baadhi ya mikakati inayotumiwa na wanawake kukabiliana na janga la corona kwa nchi zinazoongozwa na wanawake

 

5 years ago

CCM Blog

''IRAN IPO TAYARI KUZIPA NCHI ZA AFRIKA UZOEFU WAKE WA KUKABILIANA NA CORONA''

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuyapa mataifa ya Afrika uzoefu wake katika suala la kupambana na ugonjwa wa COVID-19 (Corona).Mohammad Javad Zarif amesema hayo katika ujumbe alioutuma kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter kwa mnasaba wa 'Siku ya Afrika' iliyoadhimishwa jana Jumatatu. Katika ujumbe wake huo, Dakta Zarif amesema kuwa, "Pongezi kwa Siku ya Afrika 2020, siku hii inatukumbusha mapambano ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Nchi za SADC ziko tayari kiasi gani kudhibiti virusi vya corona?

Mawaziri wa afya wa SADC waweka mikakati ya kukabiliana na virusi vya corona.

 

5 years ago

Michuzi

WATAALAM WA AFYA KUTOKA NCHI ZA ASIA,AFRIKA WABADILISHANA UZOEFU KUKABILIANA NA CORONA

Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
WATALAAM wa afya kutoka nchi za Asia Pacifc na Afrika wamekutana leo kwenye madahalo wa pili wa kujadili na kubadilisha uzoefu katika kupambana na virusi vya Corona.
Mdahalo huo umefanyika kupitia Kituo cha Mafunzo duniani (TaGLC) kilicho chini ya Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC) kwa kushirikiana na GDLN, Korea.
Kwa mara ya kwanza mdahalo wa aina hiyo uliofanyika Machi 16, mwaka 2020 na kwa sehemu kubwa ulijikita kuhusu athari na jinsi ya kupambana na Virusi vya ...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Nchi za Afrika zilivyochukua hatua kudhibiti virusi

Nchi kadhaa zimezuia raia wa kigeni, kufunga shule na mikusanyiko ya watu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: 'Janga hili linaua mara mbili'

Italia imepiga marufuku mazishi ya watu wanaofariki kutokana na janga la corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Pesa za kukabiliana na janga la virusi vya corona zinatoka wapi?

Nchi tajiri zinatoa pesa za kukabiliana na janga virusi vya corona. Lakini je zinatoka wapi?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Shirika la fedha duniani kukabiliana na janga kiuchumi

Benki kuu na mashirika mengine ya fedha wameanza kuchukua hatua za kunusuru uchumi wa dunia kutokana na athari zilizosababishwa na mlipuko wa corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani