Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CPA kufunguliwa na Kikwete

RAIS Jakaya Kikwete, anatazamiwa kufungua mkutano wa 45 wa Umoja wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) Kanda ya Afrika unaojumuisha wajumbe 500 kutoka nchi 17 wanachama. Miongoni mwa mambo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Daily News

Kikwete mourns CPA Secretary General Shija


Daily News
Kikwete mourns CPA Secretary General Shija
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has sent a message of condolence following the death of Commonwealth Parliamentary Association (CPA) Secretary-General, Dr William Shija. A statement issued in Dar es Salaam, said President Kikwete has been saddened ...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA KATIBU MKUU WA CPA, DKT. SHIJA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameelezea huzuni na masikitiko yake kuomboleza kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuia ya Madola (CPA), Mheshimiwa Dkt. William Shija.
Dkt. Shija aliyefariki dunia Jumamosi asubuhi mjini London, Uingereza, ambacho ndicho kilikuwa kituo chake cha kazi, alisomea na kuwa mhadhiri wa uandishi wa habari kabla ya kuwa mbunge wa Sengerema kwa miaka 15 mfululizo na Waziri Mwandamizi wa Serikali...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

CPA kuwa ya kimataifa?


Na Mwandishi Wetu, Arusha
KAMATI ya wawakilishi wa mabunge wanachama  wa Jumuia ya Madola Kanda ya Afrika (CPA) inatarajia kuwasilisha ripoti yenye mapendekezo ya kutaka Bunge hilo liwe na mwonekano wa kimataifa.
Ripoti hiyo itawasilishwa katika mkutano mkuu wa 45 unaofanyika mjini Arusha.
Uamuzi wa kuwasilishwa kwa ripoti hiyo ulifikiwa jana na kamati ya wawakilishi wa mabunge wanachama wa umoja huo,  iliyoketi katika ukumbi wa mikutano kwenye hoteli ya  Ngurdoto.
Akizungumza katika kikao cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Ufaulu ngazi ya CPA waongezeka

Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA), imesema watahiniwa wa shahada ya juu ya ukaguzi nchini CPA-(T) imeongezeka kutoka 478 mwaka 1975 na kufikia 5,646, mwaka huu.

 

10 years ago

Michuzi

Ujumbe wa CPA watembelea Bunge la Singapore

Kiongozi wa Msafara wa Ujumbe wa CPA Kanda ya Afrika Mhe Zitto Kabwe akiwasilisha ujumbe maalum wa CPA kwa Bunge la Singapore ambayo ilipokelewa na Dr Lam Pin Min ambae pia ni Naibu Waziri wa Afya wa Singapore na Mwakilishi wa CPA Kanda ya Asia Kusini(kulia).Ujumbe wa CPA katika mazungumzo na Uongozi wa CPA Bunge la Singapore. Picha ya pamoja. Picha kwa hisani ya Ofisi ya Bunge.

 

10 years ago

Habarileo

Wenye CPA sasa wafikia 6,002

JUMLA ya watahiniwa 356 wamefaulu mtihani wa shahada ya juu ya uhasibu nchini (CPA) na kufanya watahiniwa waliofaulu mitihani hiyo kufikia 6,002 tangu mitihani hiyo ilipoanza mwaka 1975.

 

11 years ago

Michuzi

Wabunge wa CPA Tanzania watembelea Hifadhi za Taifa

 Afisa Utalii wa Hifadhi ya Ziwa Manyara,Jully Lyimo(wa pili kushoto)akiwaongoza Wabunge wa Chama cha Wabunge la Jumuiya ya Madola(CPA)tawi la Tanzania na Maafisa wa Bunge waliotembelea Hifadhi hiyo  Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge la Jumuiya ya Madola(CPA)tawi la Tanzania,Mheshimiwa Mussa Zungu akiwa na Wajumbe wa Bunge hilo na Maafisa wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania  kwenye Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara, wakiwa kwenye ziara ya tathmini ya Maandalizi ya Mkutano wa 45 wa...

 

11 years ago

Michuzi

MAANDALIZI YA MKUTANO MKUBWA WA CPA JIJINI ARUSHA YAIVA

Katibu wa Bunge,Dk Thomas Kashililah(kulia) akiongozana na Wabunge ambao ni Wajumbe wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola(CPA) na watumishi wa Bunge wakiwa kwenye Hoteli ya Ngurdoto Mountain Lodge, mkoani Arusha kwaajili ya maandalizi ya mkutano mkubwa wa 45 utakaofanyika mwezi huu. Katibu wa Bunge,Dk Thomas Kashililah(kulia) akishauliana na jambo na maafisa wa Hoteli ya Ngurdoto Mountain Lodge mkoani Arusha wakati wa ziara ya Wabunge ambao ni Wajumbe wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya...

 

11 years ago

Michuzi

MAKINDA OFFIATES THE 25TH CPA SEMINAR IN DAR ES SALAAM

The Secretary General of the Commonwealth Parliament Association Dr. Willian Shijja welcomes the Speaker of the National Assembly Hon. Anne Makinda when she arrived to officiate the 25th CPA Seminar at the Ledger Plaza Bahari Beach Hotel in Dar es Saalam. More than 60 MPs from 18 Parliaments and Legislative Assembly are meeting to exchange knowledge and sharing experience of Parliamentary issues. The Secretary General of the CPA Dr. Willian Shijja introduces Hon. Datuk Ronald Kiandee, MP...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani