Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKINDA OFFIATES THE 25TH CPA SEMINAR IN DAR ES SALAAM

The Secretary General of the Commonwealth Parliament Association Dr. Willian Shijja welcomes the Speaker of the National Assembly Hon. Anne Makinda when she arrived to officiate the 25th CPA Seminar at the Ledger Plaza Bahari Beach Hotel in Dar es Saalam. More than 60 MPs from 18 Parliaments and Legislative Assembly are meeting to exchange knowledge and sharing experience of Parliamentary issues. The Secretary General of the CPA Dr. Willian Shijja introduces Hon. Datuk Ronald Kiandee, MP...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SPIKA WA BUNGE ANNE MAKINDA KUFUNGUA SEMINA YA 24 YA CHAMA CHA MABUNGE WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA (CPA) KESHO, DAR ES SALAAM,

Spika wa Bunge kesho tarehe 26 Mei 2014 atakuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Semina ya 25 ya Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola ambayo itafanyika hapa nchini kuanzia tarehe 25/05/2014 mpaka 31/05/2014.   emina hiyo ambayo ni mfululizo wa hatua za mafunzo na kubadilishana uzoefu kwa Wabunge wa nchi wanachama wa CPA itahudhuriwa na Wabunge zaidi ya 60 toka nchi 18 ambazo ni Australia, Ghana, Seychelles, Kenya Uganda na Nigeria.  Nchi nyingine ni pamoja na Sri Lanka, Bangladesh,...

 

9 years ago

Michuzi

BUDGET COMMITTEE OF THE Commonwealth Parliamentary Association (CPA) meets in Dar es salaam

The Treasurer of the Commonwealth Parliamentary Association (CPA) - Africa Region Hon. Request Muntanga (Zambia) chairing the Budget Committee on the Association which met in Dar es Salaam on Sunday. On his right is the Clerk of the National Assembly of Tanzania Dr. Thomas Kashililah who is also the Regional Secretary of the Association.

The Treasurer of the Commonwealth Parliamentary Association (CPA) - Africa Region Hon. Request Muntanga (Zambia) going through the CPA Africa Regional...

 

11 years ago

Michuzi

EdExpo Tanzania, Spring 2014 Information, Partnerships and Collaboration Seminar at - Dar es Salaam Serena Hotel, 12th March, 3.00pm to 6.00pm

Dear Seminar Participant,   We hope this finds you well.
Catalyst International Ltd once again invites you to the EdExpo Tanzania,  Spring 2014 Information, Partnerships and Collaboration Seminar to be held at the Dar es Salaam Serena Hotel on 12th March 2014 starting at 3.00pm.
The seminar will be presented by representatives of the universities and institutions taking part in EdExpo Tanzania 2014 from 11th to 12th March 2014 at Dar es Salaam Serena Hotel.  They will discuss their...

 

10 years ago

GPL

KIVUKO KIPYA (MV DAR ES SALAAM) KITAKACHOTOA HUDUMA KATI YA MWAMBAO WA BAHARI YA HINDI (DAR ES SALAAM NA BAGAMOYO) CHAKAMILIKA

PICHANI JUU: Taswira mbalimbali zikionyesha Kivuko cha MV.Dar es Salaam kikiwa kimeshushwa majini jana tayari kwa kuanza safari ya kuja Tanzania kutokea nchini…

 

10 years ago

Vijimambo

MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DR. JOHN POMBE MAGUFULI AWASILI JIJINI DAR ES SALAAM NA AJITAMBULISHA KWA WANA DAR ES SALAAM

????????????????????????????????????Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli pamoja na Mgombea Mwenza Mama Samia Suluhu wakishuka kwenye ndege mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere na kulakiwa na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali Mkoa wa Dar es salaam, Ambapo baadae Wagombea hao walitambulishwa kwenye mkutano mkubwa wa Hadhara katika viwanja vya Zakhem Mbagala jijini Dar es salaam.Magufuli amekishukuru chama cha Mapinduzi na watanzania kwa...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ....KIVUKO KIPYA (MV DAR ES SALAAM) KITAKACHOTOA HUDUMA KATI YA MWAMBAO WA BAHARI YA HINDI (DAR ES SALAAM NA BAGAMOYO) CHAKAMILIKA

Ile ahadi ya Waziri wa Ujenzi Dkt.John Magufuli ya kununua kivuko kipya kitakachotoa huduma ya usafiri kati ya Jiji la Dar es Salaam na mwambao wa Bahari ya Hindi hadi Bagamoyo imetimia. Taarifa za uhakikia tulizozipata hivi punde ni kuwa kivuko hicho (Mv Dar es Salaam) kilichokuwa kinajengwa huko Denmark leo kimeshuka majini na tayari kuanza safari ya kuja Dar es Salaam ambapo kinatarajiwa kufika/kutua Dar es Salaam kati ya wiki tatu mpaka nne zijazo.  Kivuko cha MV Dar es Salaam kitakuwa...

 

10 years ago

Michuzi

klabu za michezo za maveterani Dar es salaam kurehemu marehemu Jumatatu (Mapinduzi Day) Leaders club, Kinondoni, jijini Dar es salaam

Umoja wa klabu za michezo za maveterani Dar es salaam,  chini ya uratibu wa klabu za Singasinga na Tazara,  unatangaza rasmi kwamba  shughuli ya kurehemu wanachama wenzetu ambao wametangulia mbele ya haki itafanyika JUMATATU 12/1/2015, ikiwa pia ni  sehemu ya kuadhimisha sikukuu ya Mapinduzi.
Ratiba itaanza  Saa 7 mchana katika viwanja vya Leaders club jijini Dar es salaam. Dua zitafanyika  kutoka kwa Father Oscar na Sheikh Kipoozeo. Dua hizo zitafuatiwa na Chakula cha pamoja cha mchana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani