Ufaulu somo la Kiislamu waongezeka
KIWANGO cha ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani wa elimu ya dini ya Kiislamu Agosti 13 mwaka huu kimeongezeka kwa asilimia 46 ukilinganishwa na mwaka jana. Hayo yalibainishwa jana jijini Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Ufaulu wa walimu waongezeka
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Ufaulu ngazi ya CPA waongezeka
9 years ago
StarTV19 Dec
Ufaulu kwa wanafunzi waongezeka Dar
Idadi ya wanafunzi waliohitimu darasa la saba mwaka huu imepanda katika mkoa wa DAR ES SALAAM kutoka asilimia 78 mwaka 2014 hadi asilimia 83 mwaka 2015.
Hata hivyo mkoa huo ulikuwa na jumla ya wanafunzi wanaohitimu darasa la saba 59,704 waliosajiliwa kufanya mtihani na wanafunzi 715 hawakufanya mtihani kwa sababu mbalimbali zikiwemo utoro,vifo,ugonjwa na nyengine.
Idadi ya wanafunzi waliofaulu mtihani ni 49,063 wakiwemo wavulana 23,458 na wasichana 25,605 sawa na asilimia 83.17 mwaka huu...
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Matokeo kidato cha sita yatangazwa, ufaulu waongezeka
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Viwango vya ufaulu vinapokinzana na malengo ya elimu, dira ya TaifaViwango vya ufaulu vinapokinzana na malengo ya elimu, dira ya Taifa
11 years ago
Michuzi
muhadhara wa kiislamu Leicester,UK

Siku: Jumamosi tarehe 27 Septemba 2014Wakati: Kuanzia saa kumi kamili jioni (4pm). Pahala: Msikiti wa An Noor Leicester, 170a Belgrave Gate, LE1 3XL.Muhadhir: Sheikh Nassor Haroub kutoka London.
Waislamu wote wa kike na wa kiume mnaombwa...
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Mtandao wa kiislamu kukabiliana na IS
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Taasisi za Kiislamu zamshukia Lukuvi
JUMUIYA na taasisi za Kiislamu nchini zimemtaka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi kujiuzulu haraka iwezekanavyo kutokana na kauli za uchochezi alizozitoa wakati...
10 years ago
Mwananchi18 May
Taasisi za Kiislamu zaburutana kortini