Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


muhadhara wa kiislamu Leicester,UK

Asalaam aleykum wa Rahmatul Lah, Ndugu zangu katika imani, An Noor Community Centre wakishirikiana na Madrasatul Noor Leicester wana furaha na heshima kubwa ya kukupeni mwaliko wa muhadhara wa kiislamu utakaofanyika kwa utaratibu ufuatao:
Siku: Jumamosi tarehe 27 Septemba 2014Wakati: Kuanzia saa kumi kamili  jioni (4pm). Pahala: Msikiti wa An Noor Leicester, 170a Belgrave Gate, LE1 3XL.Muhadhir: Sheikh Nassor Haroub kutoka London. 
Waislamu wote wa kike na wa kiume mnaombwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mtandao wa kiislamu kukabiliana na IS

Viongozi wa kiislamu kutoka matifa tofauti ya Ulaya wameanzisha jarida la mtandaoni litakalokabiliana na itikadi kali za IS

 

9 years ago

BBCSwahili

Mataifa ya Kiislamu 34 kupambana na ugaidi

Saudi Arabia imetangaza kuundwa kwa muungano wa mataifa ya Kiislamu 34 utakaopambana na tishio la ugaidi kote duniani

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ufaulu somo la Kiislamu waongezeka

KIWANGO cha ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani wa elimu ya dini ya Kiislamu Agosti 13 mwaka huu kimeongezeka kwa asilimia 46 ukilinganishwa na mwaka jana. Hayo yalibainishwa jana jijini Dar...

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa kiislamu wazuru Garissa

Viongozi kadhaa wa kiislamu nchini Kenya wanazuru mji wa mashariki wa Garissa ambapo wiki ilopita watu 148 waliuawa

 

10 years ago

Mwananchi

Taasisi za Kiislamu zaburutana kortini

>Baraza la Udhamini la Taasisi ya Kiislamu ya Thaaqib, limefungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza likitaka Taasisi ya Islamic Propagation Centre (IPC) kurejesha umiliki na uendeshaji wa shule zake za msingi sekondari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Taasisi za Kiislamu zamshukia Lukuvi

JUMUIYA na taasisi za Kiislamu nchini zimemtaka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi kujiuzulu haraka iwezekanavyo kutokana na kauli za uchochezi alizozitoa wakati...

 

11 years ago

Habarileo

Taasisi ya Kiislamu yataka serikali 2

TAASISI ya Amani kwa Waislamu ya Islamic Peace Foundation (TIPF) imesema muundo wa serikali unaofaa kwa sasa ni Serikali mbili, kinachotakiwa ni kuongeza juhudi katika kurekebisha kasoro zilizopo na siyo kuongeza mzigo kwa kuwa na serikali tatu.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanazuoni wa Kiislamu wajibu hoja ya maaskofu

Dar es Salaam. Taasisi ya Masheikh na Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania imejibu hoja zilizotolewa wiki iliyopita na Jukwaa la Wakristo nchini kuhusu Katiba Inayopendekezwa, Mahakama ya Kadhi na hali ya usalama na amani ya nchi.

 

11 years ago

BBCSwahili

ISIS: Njooni mulijenge jimbo la kiislamu

Kiongozi wa kundi la jihadi ISIS, amewataka waumini wa kiislamu waelekee Iraq na Syria kusaidia kulijenga jimbo jipya la kiislamu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani