Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ISIS: Njooni mulijenge jimbo la kiislamu

Kiongozi wa kundi la jihadi ISIS, amewataka waumini wa kiislamu waelekee Iraq na Syria kusaidia kulijenga jimbo jipya la kiislamu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Sumaye: Njooni muwekeze nyumbani

Uingereza.Waziri mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amesema Tanzania inazo fursa nyingi za uwekezaji, mazingira yanayovutia, uchumi imara na sera nzuri na kuwataka Watanzania

 

11 years ago

GPL

Tambwe: Yanga njooni tuzungumze

Mshambuliaji wa Simba kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi Tambwe(kushoto). Na Hans Mloli
MSHAMBULIAJI wa Simba kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi Tambwe, amesema yupo tayari kukaa chini na kufanya mazungumzo na klabu yoyote inayokubali kazi yake uwanjani, ikiwemo Yanga.
Tambwe, raia wa Burundi ambaye mpaka sasa anaongoza kwa kufumania nyavu mara 19 kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara, anazitoa udenda timu nyingi za ligi...

 

9 years ago

Vijimambo

Mbowe: Njooni Jangwani kesho



Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amefuta mzizi wa fitina kuhusiana na tishio la kuzuiwa kufanya mkutano wa uzinduzi wa kampeni za Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kesho kwa kuwataka wajitokeze siyo kwa maelfu bali kwa mamilioni.

Akizungumza katika kongamano la kina mama lililoandaliwa na Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) jijini Dar es Salaam jana, Mbowe alisema mgombea wao, Edward Lowassa na mgombea mwenza, Juma Dunia Haji, watahutubia mkutano...

 

11 years ago

GPL

CLOUD 112 : NJOONI MSHUHUDIE NITAKAVYOMTWANGA JB

Staa wa filamu nchini, Issa Musa 'Cloud 112' amesema atamtwanga msanii mwenzake Jacob Steven 'JB' katika raundi ya kwanza kwenye mpambano wao wa ndondi utakaopigwa kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, Agosti 8, 2014!

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miyeyusho: Njooni muone ninavyomkalisha Mkenya

MWANAMASUMBWI Francis Miyeyusho wa Tanzania, anakabiliwa na pambano dhidi ya David Chalanga wa Kenya, litakalopigwa Desemba 31 katika Ukumbi wa Msasani Club, jijini Dar es Salaam. Ni pambano muhimu kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Njooni mtusaidie - Iraq kwa Marekani

Iraq imeomba rasmi usaidizi wa Marekani kushambulia kwa ndege wapiganaji wa kiislamu walioteka miji kadhaa nchini humo wiki hii.

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond: Njooni Dar Live X-mas, sitawaangusha!

Funga Mwaka Concert 2015 (7)Funga Mwaka Concert 2015 (9)

Diamond Platnumz akiwasalimia mashabiki wake waliofurika katika eneo la Karume leo kwenye mkutano na wanahabari kuhusu shoo yake itakayofanyika Dar Live kwenye Sikukuu ya Krismasi.

Funga Mwaka Concert 2015 (10)

Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda sambamba na mashabiki waliofurika Karume leo.

Funga Mwaka Concert 2015 (8)

Mashabiki wakiwa wamepagawa wakati Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.

Funga Mwaka Concert 2015 (1)

Meneja Masoko wa Global Publishers na Dar Live, Innocent Mafuru (mwenye tisheti nyeupe aliyesimama kulia) akiwakaribisha wanahabari,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Diamond: Njooni Dar Live X-mass, sitawaangusha!

Funga Mwaka Concert 2015 (7)

Funga Mwaka Concert 2015 (9)

Diamond Platnumz akiwasalimia mashabiki wake waliofurika katika eneo la Karume leo kwenye mkutano na wanahabari kuhusu shoo yake itakayofanyika Dar Live kwenye Sikukuu ya Krismasi.

Funga Mwaka Concert 2015 (10)

Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda sambamba na mashabiki waliofurika Karume leo.

Funga Mwaka Concert 2015 (8)

Mashabiki wakiwa wamepagawa wakati Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.

Funga Mwaka Concert 2015 (1)

Meneja Masoko wa Global Publishers na Dar Live, Innocent Mafuru (mwenye tisheti nyeupe aliyesimama kulia) akiwakaribisha wanahabari,...

 

10 years ago

Mtanzania

Irene Uwoya: Chipukizi njooni muigize nami

UwoyaaNA JENNIFER ULLEMBO
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Irene Uwoya, amewataka wasanii chipukizi wenye ndoto ya kuigiza naye katika filamu yake mpya wawasiliane naye ili awajumuishe katika filamu hiyo.
Uwoya alitoa fursa hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo alisema, anafanya hivyo ili kunyanyua wasanii chipukizi wanaokosa nafasi za kuigiza na mastaa licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa uigizaji.
“Najiandaa kwa ajili ya kazi yangu mpya na natumaini itakuwa nzuri kwani hatua niliyofikia ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani