Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taasisi za Kiislamu zaburutana kortini

>Baraza la Udhamini la Taasisi ya Kiislamu ya Thaaqib, limefungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza likitaka Taasisi ya Islamic Propagation Centre (IPC) kurejesha umiliki na uendeshaji wa shule zake za msingi sekondari.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Taasisi za Kiislamu zamshukia Lukuvi

JUMUIYA na taasisi za Kiislamu nchini zimemtaka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi kujiuzulu haraka iwezekanavyo kutokana na kauli za uchochezi alizozitoa wakati...

 

11 years ago

Habarileo

Taasisi ya Kiislamu yataka serikali 2

TAASISI ya Amani kwa Waislamu ya Islamic Peace Foundation (TIPF) imesema muundo wa serikali unaofaa kwa sasa ni Serikali mbili, kinachotakiwa ni kuongeza juhudi katika kurekebisha kasoro zilizopo na siyo kuongeza mzigo kwa kuwa na serikali tatu.

 

11 years ago

Habarileo

Taasisi ya Kiislamu yawasihi Ukawa kurejea bungeni

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wametakiwa kurejea bungeni, kwani huko ndiko mahali sahihi pa kujenga hoja za kuboresha Katiba mpya, inayosubiriwa na Watanzania wote.

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI YA ODO UMMY FOUNDATION YATOA VIFAA VYA USAFI KWA TAASISI KUBWA ZA DINI JIJINI TANGA

 MKUU wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa kushoto akiwakabidhi baadhi ya wawakilishi wa Taasisi kubwa za Dini Jijini Tanga msaada wa vifaa vya usafi ambayo vimetolewa na taasisi ya odo Ummy Foundation inayoongozwa na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga na Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu kulia mwenye kanzu ni Katibu Mkuu wa Taasisi ya Waalimu wa Kiislamu Tanzania ya Tamta Mohamed Mohamed Zikri akifuatiwa na Mwakilishi kutoka Katoliki Chumbageni John...

 

10 years ago

Michuzi

SOLUTION BLOCKS YAANDAA MIKUTANO ILI KUKUTANISHA NGO’S,TAASISI ZA KIRAIA NA TAASISI ZA SERIKALI KWA KILA MWENZI.

 Na Avila kakingo,Globu ya jamii.
KAMPUNI ya Solution BLOCKS ikishirikiana na kampuni ya Anglo Gold Ashanti waandaa mkutano wa  Alhamisi ya kila mwezi ili kushirikisha taasisi mbalimbali za serikali na zisizo za kiserikali kuzungumzia kuchangia katika maendeleo katika  jamii.
Hayo yamesemwa na Makamo wa Rais wa Sustainability Aglo Gold Ashanti, Simon Shayo katika ufunguzi wa mkutano ambao umejulikana kwa jina la THURSDAY TALK  uliofanyika katika hoteli ya Colosseum  jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtandao wa kiislamu kukabiliana na IS

Viongozi wa kiislamu kutoka matifa tofauti ya Ulaya wameanzisha jarida la mtandaoni litakalokabiliana na itikadi kali za IS

 

10 years ago

Michuzi

muhadhara wa kiislamu Leicester,UK

Asalaam aleykum wa Rahmatul Lah, Ndugu zangu katika imani, An Noor Community Centre wakishirikiana na Madrasatul Noor Leicester wana furaha na heshima kubwa ya kukupeni mwaliko wa muhadhara wa kiislamu utakaofanyika kwa utaratibu ufuatao:
Siku: Jumamosi tarehe 27 Septemba 2014Wakati: Kuanzia saa kumi kamili  jioni (4pm). Pahala: Msikiti wa An Noor Leicester, 170a Belgrave Gate, LE1 3XL.Muhadhir: Sheikh Nassor Haroub kutoka London. 
Waislamu wote wa kike na wa kiume mnaombwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ufaulu somo la Kiislamu waongezeka

KIWANGO cha ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani wa elimu ya dini ya Kiislamu Agosti 13 mwaka huu kimeongezeka kwa asilimia 46 ukilinganishwa na mwaka jana. Hayo yalibainishwa jana jijini Dar...

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa kiislamu wazuru Garissa

Viongozi kadhaa wa kiislamu nchini Kenya wanazuru mji wa mashariki wa Garissa ambapo wiki ilopita watu 148 waliuawa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani