Airtel Money yavuta wateja
KAMPUNI ya simu ya mkononi ya Airtel imezidi kujiongezea idadi ya wateja tangu kuanza kutumika rasmi kwa huduma mpya ya kutuma na kupokea pesa kutoka kwenye mitandao mingine moja kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6ZGyqJpi*tUj-gV3zObz9dqUt5eadYNsHwegY5-LGqTnL-IfAvHmdOIvtUilj2JcAj2BNelblsIu-4E4lPA*RPZ/1.jpg?width=650)
WATEJA WA AIRTEL KULIPA MIKOPO YA MASOMO KUPITIA HUDUMA YA AIRTEL MONEY
Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu Bwana Juma Chagonja akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma itakayowawezesha wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini kurejesha mikopo yao kupitia huduma ya Airtel Money, kushoto ni Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde. Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma itakayowawezesha wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini kurejesha mikopo yao...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bWMaRLvxNhE/UzVwGnKqCNI/AAAAAAAFW-E/jDepWX5RxQA/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Wateja wa Airtel kulipa mikopo ya masomo kupitia huduma ya Airtel Money
![](http://4.bp.blogspot.com/-bWMaRLvxNhE/UzVwGnKqCNI/AAAAAAAFW-E/jDepWX5RxQA/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bQawozy3TjQ/UzVwImpeqrI/AAAAAAAFW-I/-4cSLuLPBc0/s1600/unnamed+(29).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8iRmsUdzQv4/Vgzl7gph8bI/AAAAAAAH8Aw/Wx-w1rFrMEg/s72-c/PIC%2B1.jpg)
AIRTEL YATOA GAWIO LA TSHS BILIONI 5.3 KWA WATEJA WA AIRTEL MONEY
![](http://4.bp.blogspot.com/-8iRmsUdzQv4/Vgzl7gph8bI/AAAAAAAH8Aw/Wx-w1rFrMEg/s640/PIC%2B1.jpg)
Meneja biashara wa kitengo cha Airtel Money, Bwn Asupya Naligingwa(kushoto) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kutangaza Airtelkugawa gawio la faida la zaidi ya shilingi billion 5 kwa wateja namawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima. Pichanini Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania Bi Jane Matinde
KAMPUNI ya simu za mkononiya Airtel leo imetangaza kugawa zaidi ya shilingi bilioni 5 kwa watejana mawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima
Uamuzi huo wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-njbmMcHcPjw/XnNK-_ggDII/AAAAAAALkaY/V54_qb8uRVkb4E6W2lWTTdh71r8vtPriACLcBGAsYHQ/s72-c/4.jpg)
Airtel yatoa Tzs 2.6 bilioni kama faida kwa wateja wa Airtel Money
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel,leo imetangaza kugawa faida ya jumla ya Tsh2.6 bilioni kwa wateja na mawakala wake wote wanaotumia huduma ya Airtel Money kwa kipindi cha kati ya April na Septemba 2019.
Faida itokanayo na Airtel Money ni fedha ambayo Airtel imekuwa ikizirudisha kwa wateja wake waliotumia Airtel Money kwa kila robo ya mwaka kulingana na kiwango ambacho kipo kwenye akaunti zao za Airtel Money kila siku. Kiwango hicho cha faida kwa kila salio la mteja kinatolewa pia...
Faida itokanayo na Airtel Money ni fedha ambayo Airtel imekuwa ikizirudisha kwa wateja wake waliotumia Airtel Money kwa kila robo ya mwaka kulingana na kiwango ambacho kipo kwenye akaunti zao za Airtel Money kila siku. Kiwango hicho cha faida kwa kila salio la mteja kinatolewa pia...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/viirmOBcoEHEJB2k6*8UyDoXYCddaTgb*LewPrJCgRZMwSYFxzktatuuuOJA6GhlkWhw1s7Tb-TujtNYYVvrODb629m3Xmbo/PIC1.jpg?width=650)
AIRTEL YATOA GAWIO LA TSHS BILIONI 5.3 KWA WATEJA WA AIRTEL MONEY
Meneja biashara wa kitengo cha Airtel Money, Bwn Asupya Naligingwa (kushoto) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kutangaza Airtel kugawa gawio la faida la zaidi ya shilingi billion 5 kwa wateja na mawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima. Pichani ni Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania Bi Jane Matinde. Dar es Salaam, Jumatano 30 Septemba 2015, Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imetangaza...
11 years ago
GPLWATEJA WA AIRTEL KUNUNUA TIKETI NA NDEGE ZA PRECISION AIR KUPITIA HUDUMA YA AIRTEL MONEY
Meneja Uendeshaji wa pitiaAirtel Money Asupya Naligingwa (kushoto) na Afisa masoko wa Precision Air Hillary Mremi (kulia) kwa pamoja wakizindua ushirikiano kati ya Airtel na Precision Air utakaowawezesha wateja wa Airtel kulipia tiketi za ndege kupitita huduma ya Airtel Money. akishuhudia ni Afisa uhusiano wa Airtel bi Jane Matinde
Meneja Uendeshaji wa pitiaAirtel Money Asupya Naligingwa (kushoto) akiongea wakati...
11 years ago
MichuziWateja wa Airtel kununua Tiketi za Ndege za Precicsion Air kupitia huduma ya Airtel Money
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EbVmOjLBkOk/VJpfBr1w4dI/AAAAAAAG5es/JqEDh0Vdk14/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Wateja wa Airtel Money kutuma pesa bure kwa msimu huu wa siku kuu
![](http://4.bp.blogspot.com/-EbVmOjLBkOk/VJpfBr1w4dI/AAAAAAAG5es/JqEDh0Vdk14/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
Akiongea wakati wa uzinduzi wa promosheni hiyo Mkurugenzi wa Mawasiliano Bi Beatrice Singano Mallya alisema” Tumeona ni vyema kuwazawadia wateja wetu nchin nzima na kuwawezesha kutuma pesa BURE wakati wa msimu huu wa sikukuu kwani tunatambua wateja wetu na watanzania wanafanya miamala...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6aOMGtxdGe6WHi4gd8FQRoDn*4stbPC8Td8WqbzLApRiuEZe466rN7TU9CJCOAS1zjuVb*fQhmS6lEs9Dx92YOhlA1gTqHmx/BeatriceSingano.jpg?width=650)
WATEJA WA AIRTEL MONEY KUTUMA PESA BURE KWA MSIMU HUU WA SIKU KUU
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Bi Beatrice Singano Mallya. Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kwa mara nyingi tena imewazawadia wateja wake wakatia wa msimu huu wa sikukuu na OFA maalum itakayowawezesha kutuma pesa bila kikomo BURE kupitia Huduma ya Airtel Money. Akiongea wakati wa uzinduzi wa promosheni hiyo Mkurugenzi wa Mawasiliano Bi Beatrice Singano Mallya alisema†Tumeona ni vyema kuwazawadia wateja...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania