KATIBU MKUU TAMISEMI AKUTANA NA VYOMBO VYA HABARI JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ExcAKJjmEls/VHYFHwQe2SI/AAAAAAAGzm4/sXRLemzNbm0/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Jumanne Sagini akionyesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) Daftari la Wapiga Kura linalotumika kuandikisha wananchi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kushoto ni Mratibu wa Uchaguzi huo Bw. Denis Bandisa.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini akiongea na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Desemba 14 mwaka huu ambapo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Nov
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na wahariri wa vyombo vya habari kwa mazungumzo Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Baadhi ya Wahariri wa Vyombo vya Habari (hawapo pichani) wakati alipokutana nao nyumbani kwake jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo. (Picha na OMR).
Mhariri wa gazeti la Jamhuri, Jackton Manyerere, akichangia mada wakati wa mazungumzo na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, yaliyofanyika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, Novemba 14, 2014.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_IyfdRkkRxE/VGd7Rb-HDNI/AAAAAAAGxhw/NN5uHtM_4U0/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAHARIRI VYOMBO VYA HABARI KWA MAZUNGUMZO JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-_IyfdRkkRxE/VGd7Rb-HDNI/AAAAAAAGxhw/NN5uHtM_4U0/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dZdCKLP3yLI/VGd7SO_YjXI/AAAAAAAGxh4/Mn7vXTez2A8/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-c8NtO-YUc4U/VGd7Q4R6zYI/AAAAAAAGxho/sbrtEaYLQz0/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-7ai0hxPyc68/VGdG-qChEAI/AAAAAAACTE8/A59l1teotNc/s72-c/001.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAHARIRI VYOMBO VYA HABARI KWA MAZUNGUMZO JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-7ai0hxPyc68/VGdG-qChEAI/AAAAAAACTE8/A59l1teotNc/s640/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P9tE1BWEJIA/VGdHIYDj-II/AAAAAAACTFE/2_n2Y7k7Il4/s640/002.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kmXh41GKdyM/VGdHIpEmvKI/AAAAAAACTFI/pb2dQH4Q_Vk/s640/02..jpg)
9 years ago
MichuziNEC YAKUTANA NA WAMILIKI WA VYOMBO VYA HABARI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dk.Reginard Mengi akichangia maada katika mkutano wa Wamiliki na Vyombo vya habari uliotishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) uliofanyika leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Dkt. Bilal afungua mkutano wa mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano wa Mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, leo Septemba 17, 2014. Mkutano huo uliandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT).(Picha na OMR).
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal amevitaka vyombo vya habari na...
11 years ago
Dewji Blog30 May
Katibu Mkuu Kiongozi akutana na nchi washirika wa maendeleo jijini Dar leo
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akibadilishana mawazo na mabalozi na wawakilishi wa nchi washirika wa maendeleo kabla ya mkutano aliowaandalia leo Mei 30, 2014 katika hoteli ya Hyatt Kilimanjaro hotel jijini Dar es salaam kuzungumzia michango katika Kapu la Afya (Health Basket Fund) pamoja na mpango wa serikali wa kuiingiza sekta ya afya katika kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wa saba kutoka kushoto) akiwa katika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DtFo8bkayxY/VBmV6eNobEI/AAAAAAAGkGs/zOfF6cXr8I8/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI, USALAMA NA SHERIA, JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-DtFo8bkayxY/VBmV6eNobEI/AAAAAAAGkGs/zOfF6cXr8I8/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b8Zmny2vKeo/VBmV6oR7rQI/AAAAAAAGkG4/zvICOYWz1fA/s1600/04.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--StiaqhBB_o/U4ie-YygMsI/AAAAAAAFmgU/HYP_AC7VBRk/s72-c/unnamed+(5).jpg)
KATIBU MKUU KIONGOZI AKUTANA NA NCHI WASHIRIKA WA MAENDELEO JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/--StiaqhBB_o/U4ie-YygMsI/AAAAAAAFmgU/HYP_AC7VBRk/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T0jWc3YOO90/U4ie-SzkAPI/AAAAAAAFmgY/C_cWaOvhAlM/s1600/unnamed+(6).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OzRDg3mHGgs/XmEKUmn0nHI/AAAAAAALhV4/q23L7I3r4K0rlRvrgHurdQv7cU-cG4g0gCLcBGAsYHQ/s72-c/bd5e8025-081a-477b-843c-3b4b96b96215.jpg)
MKURUGENZI MKUU TCRA MHANDISI JAMES KILABA, WAHARIRI VYOMBO VYA HABARI WAKUTANA JIJINI DAR KUWEKA MKAKATI WA KUFANIKISHA TUZO ZA TEHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OzRDg3mHGgs/XmEKUmn0nHI/AAAAAAALhV4/q23L7I3r4K0rlRvrgHurdQv7cU-cG4g0gCLcBGAsYHQ/s640/bd5e8025-081a-477b-843c-3b4b96b96215.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JxoVvq1P-jg/XmEKU1UIMRI/AAAAAAALhV8/CuAmpcubiJ8JkToOr37EsELV2MNUHmdtQCLcBGAsYHQ/s640/cba817aa-50c9-45ff-b880-294175cabcdc.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kD17UfMD7rc/XmEKVeHK1vI/AAAAAAALhWA/l6tp68X8TIAmW7sSNI-1IpETBy6LY4oOQCLcBGAsYHQ/s640/d0df008c-b4e0-4e87-bc5e-5ce36312608b.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xtVuD9tRkaA/XmELzoXaTnI/AAAAAAALhWY/AT36PgPJVW0JfZBPb6GqK6I_s41ElfbjQCLcBGAsYHQ/s640/f0f946c7-1bec-4004-9ab3-a1e8d4c2c7ec.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10