NEC YAKUTANA NA WAMILIKI WA VYOMBO VYA HABARI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu,Damian Lubuva akizungumza na wamiliki wa vyombo vya habari (hawapo pichani) jinsi ya tume hiyo inavyofanya kazi kuelekea uchagauzi Mkuu katika mkutano ulifanyika leo katika Ukumbi wa Serena jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dk.Reginard Mengi akichangia maada katika mkutano wa Wamiliki na Vyombo vya habari uliotishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) uliofanyika leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi02 Oct
SSRA yakutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari jijini Dar
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka (kulia) akizunguma wakati wa semina ya wahariri wa vyombo vya habari, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Hoteli ya Picolo, Kawe jijini Dar es Salaam. Kushoto ni baadhi ya wahariri hao.
10 years ago
MichuziWANAHABARI NA WAMILIKI WA VYOMBO VYA HABARI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA DAR ES SALAAM KUJADILI CHANGAMOTO ZA NCHI ZAO
BOFYA HAPA KUONA PICHA...
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
10 years ago
Dewji Blog26 May
Wamiliki wa vyombo vya Habari nchini MOAT wapinga mswada wa sheria ya Vyombo vya Habari
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mswada wa sheria ya vyombo vya habari ambao ulitaka kuwasilishwa bungeni kwa dharula. Kulia ni Mwanasheria, Godfrey Mpandikizi.
11 years ago
Dewji Blog08 May
Wahariri wa vyombo vya habari wapewa semina ya kuelimisha utunzaji wa Mazingira Jijini Dar Es Salaam
Mkurugenzi Mkuu wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Julius Ningu akifungua mkutano na Wahariri wa vyombo vya habari juu ya utunzaji wa Mazingira na kuelekea maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani mapema mwezi wa Sita.
Mwendesha mada wakati wa Mkutano wa Wahariri wa vyombo mbalimbali vya Habari juu ya masuala ya mazingira Bi. Singlunda akitoa maelezo na mwongozo wa mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa.
Mmoja ya Wataalam wa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Jo4jM0iZuqM/U2tViJvSMEI/AAAAAAACgeg/fx95lpx899I/s72-c/1.jpg)
WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI WAPEWA SEMINA YA KUELIMISHA UTUNZAJI WA MAZINGIRA MAY 7-2014 JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Jo4jM0iZuqM/U2tViJvSMEI/AAAAAAACgeg/fx95lpx899I/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--UDeLTjFcFI/U2tVsWbj2kI/AAAAAAACges/zW0tTrjxP0Y/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z6hpwsfZtlM/U2tV5JZO44I/AAAAAAACge4/J5dz8xVueYw/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FH20rqKyv2c/U2tWGVV7-eI/AAAAAAACgfI/0yNhu9Hv114/s1600/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ExcAKJjmEls/VHYFHwQe2SI/AAAAAAAGzm4/sXRLemzNbm0/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
KATIBU MKUU TAMISEMI AKUTANA NA VYOMBO VYA HABARI JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ExcAKJjmEls/VHYFHwQe2SI/AAAAAAAGzm4/sXRLemzNbm0/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VNoKuKFBcl8/VHYFIaZNUlI/AAAAAAAGzm8/ssHutRqc9Xc/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-7ai0hxPyc68/VGdG-qChEAI/AAAAAAACTE8/A59l1teotNc/s72-c/001.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAHARIRI VYOMBO VYA HABARI KWA MAZUNGUMZO JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-7ai0hxPyc68/VGdG-qChEAI/AAAAAAACTE8/A59l1teotNc/s640/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P9tE1BWEJIA/VGdHIYDj-II/AAAAAAACTFE/2_n2Y7k7Il4/s640/002.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kmXh41GKdyM/VGdHIpEmvKI/AAAAAAACTFI/pb2dQH4Q_Vk/s640/02..jpg)