UVCCM sasa wakurugenzi wenye hati chafu kushughulikiwa
UMOJA wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) wametaka hatua ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia kuwachukulia hatua wakurugenzi waliovuruga uchaguzi wa serikali isiishie hapo, bali pia iwachukulie hatua wakurugenzi waliopata hati chafu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Wachungaji wakaidi sasa kushughulikiwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FfJnxUXLJj0/XvXscg-zclI/AAAAAAALvjA/zonwijo43usXSk-CO5Sg4BJ0xvJJfxHhgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200625-WA0526.jpg)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA IDD KIMANTA AMTAKA DC BALELE KUSIMAMA VEMA KUHAKIKISHA HAKUNA HATI CHAFU MONDULI
MKUU wa Mkoa wa Arusha Idd Kimanta amemueleza Mkuu wa Wilaya ya Monduli ACP Edward Balele kuwa Wilaya ya Monduli haijawai kupata hati chafu tokea Serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, hivyo amemtaka aendelee kusimamia vyema ili hati chafu isiwepo..
Kimanta ameyasema hayo alipokuwa akimkabidhi ofisi Mkuu huyo wa Wilaya katika ofisi za Wilaya ya Monduli na kisha kuzungumza na watumishi wa ofisi ya mkuu wa Wilaya na halmashauri.Amemtaka Mkuu uyo wa...
10 years ago
Habarileo01 Dec
Tamisemi sasa ‘yavuta’ vitanzi vya wakurugenzi
SIKU zinaanza kuhesabika kwa Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya na Manispaa kupata kibano, ikiwemo kuvuliwa nyadhifa iwapo watashindwa kutekeleza agizo la Rais la ujenzi wa maabara.
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Serikali sasa kuilipa PSPF kwa hati fungani
9 years ago
Habarileo05 Dec
Wenye simu sasa wafikia milioni 32
SERIKALI imesema idadi ya watumiaji wa huduma za mawasiliano nchini, imeendelea kuongezeka kutoka laini za simu za viganjani milioni 2.96 mwaka 2005 hadi kufikia milioni 32.1 Desemba mwaka jana.
10 years ago
Habarileo17 Jan
Wenye CPA sasa wafikia 6,002
JUMLA ya watahiniwa 356 wamefaulu mtihani wa shahada ya juu ya uhasibu nchini (CPA) na kufanya watahiniwa waliofaulu mitihani hiyo kufikia 6,002 tangu mitihani hiyo ilipoanza mwaka 1975.
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
5 years ago
MichuziWagonjwa wapya 53 wa corona waongezeka, Amana Sasa kupokea wenye dalili badala ya Muhimbili
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akipokea misaada kutoka katika kampuni mbalimbali kwa ajili...
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
Mashine ya BVR sasa haina tatizo hata kwa wenye vidole vyenye sugu — NEC
Mbunge wa jimbo la Ludewa, Mh. Deo Filikunjombe (kushoto) akiweka sahihi katika mashine ya kielektroniki za Biometric Voters Registration (BVR),wakati akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura juzi katika kituo cha shule ya msingi Ludewa mjini, wa pili kulia anayeshuhudia ni kamishina wa tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC), Prof. Amone Chaligha.
Na MatukiodaimaBlog, Ludewa
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura ...