Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wenye simu sasa wafikia milioni 32

SERIKALI imesema idadi ya watumiaji wa huduma za mawasiliano nchini, imeendelea kuongezeka kutoka laini za simu za viganjani milioni 2.96 mwaka 2005 hadi kufikia milioni 32.1 Desemba mwaka jana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wenye CPA sasa wafikia 6,002

JUMLA ya watahiniwa 356 wamefaulu mtihani wa shahada ya juu ya uhasibu nchini (CPA) na kufanya watahiniwa waliofaulu mitihani hiyo kufikia 6,002 tangu mitihani hiyo ilipoanza mwaka 1975.

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania maskini wafikia milioni 4.2

Ripoti mpya iliyotolewa na Benki ya Dunia (WB) inaonyesha Watanzania milioni 4.2 wanaishi chini ya mstari wa umaskini kwa kupata Sh886 kwa siku.

 

10 years ago

Mwananchi

Waliokufa sasa wafikia tisa

Majeruhi wa moto uliotokana na mlipuko wa lori la mafuta eneo la Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam wameendelea kupoteza maisha baada ya wawili zaidi kufariki dunia na kufanya idadi yao kufikia tisa.

 

10 years ago

Habarileo

Wa urais CCM sasa wafikia 40

Kada wa CCM, Helena Elinawinga akipokea fomu za kuomba kugombea urais baada ya kukabidhiwa na Katibu wa NEC-CCM Oganaizesheni, Dk Muhammed Seif Khatib, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma jana. (Picha na Fadhili Akida).KATIKA hali isiyo ya kawaida, kada anayeomba nafasi ya kuwania kuteuliwa na CCM kuwa mgombea wa urais wa chama hicho, Helena Elinewinga jana alichukua fomu huku akikataa kuzungumza na waandishi wa habari.

 

9 years ago

Habarileo

Wataka Uspika sasa wafikia 21

IDADI ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaoomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Uspika na Unaibu Spika katika Bunge la 11 linalotarajiwa kuanza wiki ijayo, inazidi kuongezeka ambapo hadi sasa wamechukua fomu wanachama takribani 21.

 

9 years ago

Michuzi

ZAIDI YA WATOTO MILIONI 3.1 WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO HUFARIKI DUNIA KILA MWAKA HUKU WENGINE MILIONI 161 KUPATA MATATIZO YA KUDUMAA MWILI

 Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Michael John akizungumza juu ya Upungufu wa vitamini na Baadhi ya Madini muhimu kama Vitamini A, folate, Madini chuma Zinki na madini joto ni chazo cha vifo kwa Watoto chini ya miaka Mitano na chanzo kikubwa cha maradhi mbalimbali kote Duniani, kulia ni Mkurungenzi Mtendaji wa Taasisi ya Global Alliance for Iproved Nutrition (GAIN) ,Marc van Amerngen katika mkutano uliofanyika  leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurungenzi Mtendaji wa...

 

9 years ago

Vijimambo

Kipindupindu Dar chaua 10, wagonjwa sasa wafikia 65

Jumla ya watu 10 hadi kufikia jana walikuwa wameshapoteza maisha kutokana ugonjwa wa kipindupindu jijini Dar es Salaam huku 93 wakiwa wamelazwa kwenye kambi zilizotengewa kwa ajili ya walioathirika na ugonjwa huo.

Nipashe ilitembelea katika Kambi ya Mburahati wilayani Kinondoni jana na kushuhudia madaktari na wauguzi wakiendelea kutoa matibabu.

Akizungumza na gazeti hili msimamizi wa kambi hiyo, ambaye pia ni Mratibu wa Mafunzo Idara ya Afya Wilaya ya Kinondoni, Alfred Ngowi, alisema hadi...

 

10 years ago

Mwananchi

Waliokufa ajali ya basi Mafinga sasa wafikia 50

Idadi ya watu waliofariki dunia katika ajali ya Basi la Majinjah imeongezeka na kufikia 50. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza alisema maiti zilizotambuliwa na zile zilizobakia, walipohesabu waligundua idadi yao kufikia 50.

 

10 years ago

Mwananchi

Waliodhurika kwa togwa Songea sasa wafikia watu 340

>Idadi ya watu waliolazwa hospitalini kwa kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu katika Kijiji cha Litapwasi, Kata ya Mpitimbi mkoani Ruvuma imeongezeka kutoka 270 hadi 340.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani