Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliovuruga uchaguzi mitaa kufukuzwa kazi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia akiongea na waandishi wa habari jana.SERIKALI imesema itachukua hatua kali ikiwemo kuwafukuza kazi, kuwavua madaraka, kuwashusha vyeo na kuwakata mishahara viongozi walioshindwa kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa na kusababisha kasoro na kuvurugika kwa uchaguzi huo katika baadhi ya maeneo nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NAPE: WALIOVURUGA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA WAADHIBIWE.

Bofya video kumsikiliza Nape Nnauye akizungumza kuhusiana na waliovuruga uchaguzi wa Serikalo za Mitaa.  Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari,leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, kutoa tathmini ya matokeo ya awali uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika juzi nchini kote.Baadhi ya Wanahabari Wakimsikiliza  Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alipokuwa akizungumza nao,leo katika Ofisi Ndogo ya...

 

11 years ago

Michuzi

TAMKO LA KIKUNDI KAZI CHA SERIKALI ZA MITAA CHA POLICY FORUM KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2014

 Mwenyekiti wa Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa kilicho chini ya Taasisi ya Policy Forum,Bw. Hebron Mwakageda (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutoa tamkoa lao la Kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotaraji kufanyika mwaka huu.Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Policy Forum,Bw. Israel Ilunde akifafanua jambo wakati mkutano huo na Waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutoa tamkoa lao la Kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotaraji...

 

9 years ago

Mwananchi

Utafiti wa Takukuru kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa haujafanyiwa kazi

Baada ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka jana, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ilifanya utafiti kwa lengo la kutoa ushauri kwa mamlaka zinazohusika juu ya namna bora ya kudhibiti vitendo vya rushwa katika chaguzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Tamisemi: Waliovuruga uchaguzi sasa kukiona

Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), imeiagiza mikoa yote nchini kuwasilisha taarifa kuhusu kasoro zilizojitokea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa juzi ili iwachukulie hatua watendaji watakaobainika kuhusika.

 

10 years ago

Habarileo

Waliovuruga uchaguzi Bunda wahojiwa siku 3

WATUMISHI kadhaa wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, wamehojiwa na vyombo vya ulinzi kwa siku tatu mfululizo kuanzia Jumatano iliyopita.

 

10 years ago

Vijimambo

NAPE AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI LEO, ASEMA WALIOVURUGA UCHAGUZI WAADHIBIWE

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari, leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, kutoa tathmini ya matokeo ya awali uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika juzi nchini kote.(PICHA NA BASHIR NKOROMONA BASHIR NKOROMO
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetaka watendaji wote waliosababisha kuharibika kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika baadhi ya maeneo nchini wachukuliwe hatua kali.

Kimesema, watendaji hao wanastahili...

 

10 years ago

Mwananchi

Waeleza sababu za kufukuzwa kazi

Makocha wa timu za Ligi Kuu ambao ajira zao zilisitishwa wakati msimu ukiendelea au baada ya kumalizika wamefunguka na kueleza sababu tatu zilizowaondoa kuendelea kuzitumikia klabu zao.

 

9 years ago

MillardAyo

Utani wa mashabiki baada ya Jose Mourinho kufukuzwa kazi Chelsea…(Video)

Jana uongozi wa klabu ya Chelsea ulimtimua kazi kocha wao Jose Mourinho baada ya timu yao kuendelea kupata matokeo mabaya katika mechi zake za ligi kuu. Licha ya kikosi hicho kuonekana bora na kutwaa ubingwa wa ligi kuu msimu uliopita, imeonekana kushindwa kwenda na ushindani wa timu pinzani msimu huu. Huu ndio utani niliokutana nao […]

The post Utani wa mashabiki baada ya Jose Mourinho kufukuzwa kazi Chelsea…(Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid …

Baada ya kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa kocha wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Rafael Benitez, January 6 ndio siku ambayo ameongea kauli yake ya kwanza toka atimuliwe kazi na nafasi yake ichukuliwe na Zinedine Zidane.  Benitez amefunguka na kumshukuru kila mmoja ndani ya Real Madrid. “Kwa sasa nimeondoka Real Madrid kama kocha, napenda kuaga na […]

The post Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid … appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani