‘Tamisemi isisimamie uchaguzi’
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimependekeza Sheria ya Uchaguzi Serikali za Mitaa ibadilishwe ili uchaguzi huo usimamiwe na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) badala ya kusimamiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Tamisemi: Waliovuruga uchaguzi sasa kukiona
10 years ago
Habarileo27 Nov
Tamisemi yahamasisha uandikishaji uchaguzi wa serikali za mitaa
OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imeomba viongozi wa vyama vya siasa na asasi za kiraia kuhamasisha watanzania kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kupiga kura waweze kushirikiana katika uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xlHaTtzECyk/VGyyuN93GcI/AAAAAAAGySQ/SRw1nh7RMhk/s72-c/DSC_0322.jpg)
TAMISEMI YATANGAZA TAREHE YA KUJIANDIKISHA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xlHaTtzECyk/VGyyuN93GcI/AAAAAAAGySQ/SRw1nh7RMhk/s1600/DSC_0322.jpg)
====== ======== =====
Mkurugenzi wa Serikali za Mitaa katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Bwana Kharist Michael Luanda amesema wananchi wanapaswa kujiandikisha...
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU TAMISEMI AWAASA WANASIASA,WAGOMBEA NA WASHABIKI KUENDESHA KAMPENI KWA AMANI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini akiongea na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Desemba 14 mwaka huu ambapo amesema...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QG8AaR88Z0U/VIw4YtGyYBI/AAAAAAAG2_0/1CI8uT0Gr2w/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
TAMISEMI YAWEKA BAYANA utaratibu utakaotumika hapo kesho wakati wa upigaji kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa
![](http://4.bp.blogspot.com/-QG8AaR88Z0U/VIw4YtGyYBI/AAAAAAAG2_0/1CI8uT0Gr2w/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Tamisemi kuelimisha wapigakura
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Tamisemi: Posho za madiwani ni ndogo
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Rais Kikwete umeyasikia ya Tamisemi?
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Tamisemi yafafanua makosa yaliyojitokeza