Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamisemi kuelimisha wapigakura

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia amesema wizara yake imeweka mikakati ya kuhakikisha inatoa elimu kwa jamii kupitia halmashauri ili wananchi watambue umuhimu wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Magereza kuelimisha wakulima

JESHI la Magereza mkoni Dodoma, limewataka wakulima na wafugaji wa mkoa huo kufika katika maeneo yao ya bustani ya ufugaji ili kupata elimu ya kisasa ya ukulima na ufungaji bora. Kauli...

 

10 years ago

Habarileo

WAMA kuelimisha mimba za utotoni

Mama Salma KikweteMKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amesema katika mwaka huu Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (Wama), itaendelea kujikita katika kuelimisha jamii kuzuia na kudhibiti mimba za umri mdogo hususani kwa wanafunzi wa shule za sekondari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumatra Tabora kuelimisha abiria

“ABIRIA wengi nchini hasa mkoani Tabora, hawajui haki zao wanapokuwa safarini.” Hayo ni maneno ya Ofisa Mfawidhi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) Tabora,...

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyakazi wa Deluxe watakiwa kuelimisha abiria

BAADA ya kufanyiwa uharibifu katika baadhi ya mabehewa ya treni mpya ya abiria (Deluxe), Kampuni ya Reli nchini (TRL) imewaagiza wafanyakazi na wahudumu wa treni hiyo kutoa elimu kwa abiria juu ya matumizi ya huduma mbalimbali zilizomo ndani ya treni hiyo ili kuepuka uharibifu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kundi jipya la kuelimisha wanawake Tanzania

Kundi jipya la Feminista Club jijini Dar es Salaam limeamua kuwakutanisha wanawake kutazama filamu, kujielimisha na kusaidiana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanahabari waombwa kuelimisha umuhimu wa amani

WAANDISHI wa habari mkoani Mtwara, wametakiwa kutumia kalamu zao kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa usalama na amani nchini kwani hicho ndicho kitu cha msingi katika maisha ya binadamu. Rai hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

WASANII KUTUMIKA KUELIMISHA UMMA MENEJIMENTI YA MAAFA

Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu, Brig. Jen. Mbazi Msuya (mwenye tai) akishuhudia, Salma Juma akikabidhiwa Kizima moto kilichonunuliwa na washiriki wa mafunzo ya menejimenti ya maafa wa Ofisi hiyo mjini Dodoma tarehe, 21 Juni, 2015, Kwa lengo la kuhamasisha watumishi wa Ofisi hiyo kukabili majanga ya moto.Askari wa Jeshi la Zima moto nchini, Josephat John akieleleza matumizi ya Kizimamoto wakati wa mafunzo ya menejimenti ya maafa kwa watumishi wa Ofisi ya Waziri...

 

10 years ago

StarTV

Maafisa ardhi waaswa kuelimisha watendaji Manyara.

Na Ramadhan Mvungi

Arusha.

 

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Joel Bendera amewaagiza maafisa wa ardhi kuwaelimisha watendaji ngazi za vijiji na kata kuhusu sheria za ugawaji wa Ardhi.

Hatua hii itaepusha utaratibu wa uuzwaji wa ardhi kiholela unaochangia migogoro na mauaji katika baadhi ya maeneo mkoani Manyara.

o que fazer viagra para homens

Akizungumza na viongozi wa kiserikali pamoja na watumishi wa umma wilayani Kiteto katika ziara yake akiwa kama Mkuu mpya wa Mkoa wa Manyara, Bendera...

 

5 years ago

Michuzi

OSHA YATAKIWA KUSIMAMIA SHERIA NA KUELIMISHA WANANCHI

Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umetakiwa kuendelea
kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi ikiwemo kuelimisha wananchi kuhusu masuala ya Usalama na Afya kazini ili kupunguza ajali na magonjwa yanayoweza kutokea katika sehemu za kazi.

Agizo hilo limetolewa na Katibu Mkuu katika Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu, Bw. Andrew Massawe, alipotembelea ofisi za OSHA kwa ajili ya kufuatilia utekelezaji wa maagizo mbali mbali ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani