Tamisemi kuelimisha wapigakura
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia amesema wizara yake imeweka mikakati ya kuhakikisha inatoa elimu kwa jamii kupitia halmashauri ili wananchi watambue umuhimu wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Magereza kuelimisha wakulima
JESHI la Magereza mkoni Dodoma, limewataka wakulima na wafugaji wa mkoa huo kufika katika maeneo yao ya bustani ya ufugaji ili kupata elimu ya kisasa ya ukulima na ufungaji bora. Kauli...
10 years ago
Habarileo12 Jan
WAMA kuelimisha mimba za utotoni
MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amesema katika mwaka huu Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (Wama), itaendelea kujikita katika kuelimisha jamii kuzuia na kudhibiti mimba za umri mdogo hususani kwa wanafunzi wa shule za sekondari.
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Sumatra Tabora kuelimisha abiria
“ABIRIA wengi nchini hasa mkoani Tabora, hawajui haki zao wanapokuwa safarini.” Hayo ni maneno ya Ofisa Mfawidhi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) Tabora,...
10 years ago
Habarileo12 Apr
Wafanyakazi wa Deluxe watakiwa kuelimisha abiria
BAADA ya kufanyiwa uharibifu katika baadhi ya mabehewa ya treni mpya ya abiria (Deluxe), Kampuni ya Reli nchini (TRL) imewaagiza wafanyakazi na wahudumu wa treni hiyo kutoa elimu kwa abiria juu ya matumizi ya huduma mbalimbali zilizomo ndani ya treni hiyo ili kuepuka uharibifu.
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Kundi jipya la kuelimisha wanawake Tanzania
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Wanahabari waombwa kuelimisha umuhimu wa amani
WAANDISHI wa habari mkoani Mtwara, wametakiwa kutumia kalamu zao kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa usalama na amani nchini kwani hicho ndicho kitu cha msingi katika maisha ya binadamu. Rai hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3uXDeW7WPkE/VYZb_Voen9I/AAAAAAAHiDo/0xgD-z16QKg/s72-c/unnamed%2B%252874%2529.jpg)
WASANII KUTUMIKA KUELIMISHA UMMA MENEJIMENTI YA MAAFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3uXDeW7WPkE/VYZb_Voen9I/AAAAAAAHiDo/0xgD-z16QKg/s640/unnamed%2B%252874%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jN5AIt5xwn8/VYZb_LRzXdI/AAAAAAAHiDs/YMshHy_BrFE/s640/unnamed%2B%252872%2529.jpg)
10 years ago
StarTV14 Jan
Maafisa ardhi waaswa kuelimisha watendaji Manyara.
Na Ramadhan Mvungi
Arusha.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Joel Bendera amewaagiza maafisa wa ardhi kuwaelimisha watendaji ngazi za vijiji na kata kuhusu sheria za ugawaji wa Ardhi.
Hatua hii itaepusha utaratibu wa uuzwaji wa ardhi kiholela unaochangia migogoro na mauaji katika baadhi ya maeneo mkoani Manyara.
o que fazer viagra para homensAkizungumza na viongozi wa kiserikali pamoja na watumishi wa umma wilayani Kiteto katika ziara yake akiwa kama Mkuu mpya wa Mkoa wa Manyara, Bendera...
5 years ago
MichuziOSHA YATAKIWA KUSIMAMIA SHERIA NA KUELIMISHA WANANCHI
kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi ikiwemo kuelimisha wananchi kuhusu masuala ya Usalama na Afya kazini ili kupunguza ajali na magonjwa yanayoweza kutokea katika sehemu za kazi.
Agizo hilo limetolewa na Katibu Mkuu katika Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu, Bw. Andrew Massawe, alipotembelea ofisi za OSHA kwa ajili ya kufuatilia utekelezaji wa maagizo mbali mbali ya...