Magereza kuelimisha wakulima
JESHI la Magereza mkoni Dodoma, limewataka wakulima na wafugaji wa mkoa huo kufika katika maeneo yao ya bustani ya ufugaji ili kupata elimu ya kisasa ya ukulima na ufungaji bora. Kauli...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-581v80rqJhM/XmAKOu0gENI/AAAAAAALhEQ/ozwkAw9gtWUzc3xQG5TKQjUoa2k7KteWACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_0376AA-768x512.jpg)
WAHITIMU WA VYUO VYA KILIMO WATAKIWA KUANZISHA MASHAMBA YA MFANO,KUELIMISHA WAKULIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-581v80rqJhM/XmAKOu0gENI/AAAAAAALhEQ/ozwkAw9gtWUzc3xQG5TKQjUoa2k7KteWACLcBGAsYHQ/s640/IMG_0376AA-768x512.jpg)
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Omari Mgumba akikagua bidhaa za sola power kutoka kampuni ya Poa Portable Power wakati wa kongamano la vijana lililofanyika Mkoani Arusha katika ukumbi wa Golden Rose hivi karibuni kushoto ni muoneshaji bwana Emanuel Godwin wa kampuni hiyo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_0480AA-1024x639.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wX10WJR8ry0/XmB8odz5n8I/AAAAAAALhGI/FxdgKsuM4lg43TbpU-SlKgInG4RkxvQbgCLcBGAsYHQ/s72-c/2eb6b9d7-a039-40f5-ab89-a4ed38e1d888.jpg)
WAHITIMU VYUO VYA KILIMO WATAKIWA KUANZISHA MASHAMBA YA MFANO, KUELIMISHA WAKULIMA
SERIKALI imewataka wahitimu wa vyuo vya kilimo kote nchini kutumia fursa ya uhaba wa maafisa ugani ulioko nchini kwa kwenda kutoa elimu kwa wakulima na kuanzisha mashamba ya mfano kwa wakulima
Akiongea wakati wa ufunguzi wa kongamano la vijana wakulima mkoani Arusha, Naibu Waziri Kilimo Mhe. Omari Mgumba amesema kwamba maafisa ugani wafungue mashamba ya mfano na watoe huduma kwa wakulima kama sehemu ya kujiajiri .
“Sasa hivi kilimo kimebadilika wapo watu ambao wanazunguka kuwatafuta...
Akiongea wakati wa ufunguzi wa kongamano la vijana wakulima mkoani Arusha, Naibu Waziri Kilimo Mhe. Omari Mgumba amesema kwamba maafisa ugani wafungue mashamba ya mfano na watoe huduma kwa wakulima kama sehemu ya kujiajiri .
“Sasa hivi kilimo kimebadilika wapo watu ambao wanazunguka kuwatafuta...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_fb0ohBDGvU/Xq_39J1iJVI/AAAAAAALpBo/lbkuGvYHPrIVQfhIzt-m35H_kaxA7A--ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AA-768x529.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA, SULEIMAN MZEE AWAFUNDA WAKUU WA MAGEREZA ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI KUHAKIKISHA WANASIMAMIA AGENDA YA MABADILIKO NDANI YA JESHI LA MAGEREZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_fb0ohBDGvU/Xq_39J1iJVI/AAAAAAALpBo/lbkuGvYHPrIVQfhIzt-m35H_kaxA7A--ACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AA-768x529.jpg)
Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akitoa maelekezo maalum leo Mei 04, 2020 katika kikao kazi cha Maafisa wa Jeshi la Magereza walioteuliwa hivi karibuni kushika nyadhifa mbalimbali katika Jeshi hilo wakiwemo wakuu wa magereza, Boharia Mkuu wa Jeshi ambapo Jenerali Mzee amewataka kuhakikisha kuwa wanasimamia ipasavyo Agenda ya mabadiliko ndani ya Jeshi la Magereza.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-2AA-1024x506.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qqUp5jQ1ILI/VcZhqeEC1RI/AAAAAAAHvX0/XDWllfsBj7A/s72-c/unnamed%2B%252865%2529.jpg)
JESHI LA MAGEREZA LAIBUKA MSHINDI WA JUMLA MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE KIKANDA TAASISI ZA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-qqUp5jQ1ILI/VcZhqeEC1RI/AAAAAAAHvX0/XDWllfsBj7A/s640/unnamed%2B%252865%2529.jpg)
Jeshi la Magereza nchini limeibuka Mshindi wa kwanza kwa upande wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama katika Maonesho ya Nane Nane yaliyofanyika katika Kanda ya Kasikazini(Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VzgMOCLnFFo/VcINcDn352I/AAAAAAAHuXc/9XtRv-c_j1M/s72-c/image.jpeg)
BANDA LA JESHI LA MAGEREZA KUWANUFAISHA WANANCHI WA LINDI NJIA BORA ZA KISASA ZA UFUGAJI MIFUGO, MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE KITAIFA
Na Lucas Mboje, Lindi
Wananchi mbalimbali wa Mikoa ya Lindi na Mtwara wanaotembelea katika Banda la Jeshi la Magereza Maonesho ya Wakulima Nane Nane Kitaifa wananufaika na elimu inayotolewa bure na Maafisa Mifugo wa Jeshi hilo kuhusiana na njia bora na za Kisasa za Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa na nyama.
Akizungumza umuhimu wa elimu hiyo kwa Wananchi, Mkuu wa Banda la Jeshi la Magereza, Mlasani Kimaro amesema lengo kubwa la kutoa elimu hiyo kwa Wananchi ni kusaidia kuboresha vipato vyao...
Wananchi mbalimbali wa Mikoa ya Lindi na Mtwara wanaotembelea katika Banda la Jeshi la Magereza Maonesho ya Wakulima Nane Nane Kitaifa wananufaika na elimu inayotolewa bure na Maafisa Mifugo wa Jeshi hilo kuhusiana na njia bora na za Kisasa za Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa na nyama.
Akizungumza umuhimu wa elimu hiyo kwa Wananchi, Mkuu wa Banda la Jeshi la Magereza, Mlasani Kimaro amesema lengo kubwa la kutoa elimu hiyo kwa Wananchi ni kusaidia kuboresha vipato vyao...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-JQa3--bG2Ps/VQ1sP1PYsxI/AAAAAAADdAo/nGnHm_tw6Vk/s72-c/image.jpeg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AVISHA YEO MAAFISA WA JESHI LA MAGEREZA, JIJINI DAR ES SALAA
![](http://3.bp.blogspot.com/-JQa3--bG2Ps/VQ1sP1PYsxI/AAAAAAADdAo/nGnHm_tw6Vk/s1600/image.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bTICbcczo5Y/VQ1sP47alSI/AAAAAAADdAk/IjUIFSCy7Uk/s1600/image_1.jpeg)
10 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AZINDUA HUDUMA ZA "DUTY FREE SHOP" MAGEREZA UYUI TABORA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6iaqySpaREY/Uvk5bXySDjI/AAAAAAAFMR4/MnyYxCwRGRo/s72-c/unnamed+(59).jpg)
KAMISHNA WA MAGEREZA NCHINI ZAMBIA ATEMBELEA MAGEREZA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6iaqySpaREY/Uvk5bXySDjI/AAAAAAAFMR4/MnyYxCwRGRo/s1600/unnamed+(59).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fCmtFMWoObM/Uvk5ZOCSkmI/AAAAAAAFMRU/Bua67v2DXB4/s1600/unnamed+(60).jpg)
10 years ago
VijimamboKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI KUVISHA VYEO MAAFISA WAANDAMIZI WA MAGEREZA MKOA WA DAR ES SALAM
Kwa Mamlaka aliyopewa kisheria na Tume ya Polisi na Magereza ya Mwaka 1990, Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini atawavisha vyeo hivyo katika Viwanja vya Chuo cha Maafisa wa Magereza Ukonga, Jijini Dar es Salaam.
Tume ya Polisi na Magereza katika Kikao...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania