Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanahabari waombwa kuelimisha umuhimu wa amani

WAANDISHI wa habari mkoani Mtwara, wametakiwa kutumia kalamu zao kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa usalama na amani nchini kwani hicho ndicho kitu cha msingi katika maisha ya binadamu. Rai hiyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Programu ya kuelimisha vijana kuimarisha amani yaandaliwa Zanzibar

Wizara ya uwezeshaji visiwani Zanzibar imetumia ujumbe wa siku ya kimataifa ya vijana wa kuimarisha ushiriki na ushirikishwaji wa vijana katika shughuli za kiraia kwa kuendesha programuu maalum itakayowaelimisha vijana kuimarisha amani na utulivu katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Mafunzo hayo yatasaidia vijana kujielewa na kuwa mstari wa mbele katika kutetea Taifa lao kutokana na mchango wao mkubwa katika jamii.

program hiyo itakayokwenda  sanjari na kauli mbiu isemayo   vijana maamzi yako...

 

9 years ago

Michuzi

WABUNIFU WA MAVAZI NCHINI WAKUSANYA NGUVU KWA PAMOJA KUHUBIRI JUU YA UMUHIMU WA AMANI

Mbunifu wa Mavazi nchini, Mustafa Hassanali akizungumza na  Waandishi wa Habari hawapo pichani juu ya umuhimu wa Amani hususani katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, Mwaka huu na kusisitiza onyesho la mavazi litakalo fanyika tarehe Oktoba  17 Mwaka huu katika ukumbi wa King Solomon uliopo Eater Point Namanga, ambalo litakaloonyesha kazi za wa wabunifu mbalimbali kama Kiki Zimba pamoja na Martin Kadinda. Baadhi ya Waandishi wa Habari wakisikiliza kwa makini taarifa iliyokuwa inatolewa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani

Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magereza kuelimisha wakulima

JESHI la Magereza mkoni Dodoma, limewataka wakulima na wafugaji wa mkoa huo kufika katika maeneo yao ya bustani ya ufugaji ili kupata elimu ya kisasa ya ukulima na ufungaji bora. Kauli...

 

10 years ago

Mwananchi

Tamisemi kuelimisha wapigakura

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia amesema wizara yake imeweka mikakati ya kuhakikisha inatoa elimu kwa jamii kupitia halmashauri ili wananchi watambue umuhimu wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumatra Tabora kuelimisha abiria

“ABIRIA wengi nchini hasa mkoani Tabora, hawajui haki zao wanapokuwa safarini.” Hayo ni maneno ya Ofisa Mfawidhi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) Tabora,...

 

10 years ago

Habarileo

WAMA kuelimisha mimba za utotoni

Mama Salma KikweteMKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amesema katika mwaka huu Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (Wama), itaendelea kujikita katika kuelimisha jamii kuzuia na kudhibiti mimba za umri mdogo hususani kwa wanafunzi wa shule za sekondari.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kundi jipya la kuelimisha wanawake Tanzania

Kundi jipya la Feminista Club jijini Dar es Salaam limeamua kuwakutanisha wanawake kutazama filamu, kujielimisha na kusaidiana.

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyakazi wa Deluxe watakiwa kuelimisha abiria

BAADA ya kufanyiwa uharibifu katika baadhi ya mabehewa ya treni mpya ya abiria (Deluxe), Kampuni ya Reli nchini (TRL) imewaagiza wafanyakazi na wahudumu wa treni hiyo kutoa elimu kwa abiria juu ya matumizi ya huduma mbalimbali zilizomo ndani ya treni hiyo ili kuepuka uharibifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani