Programu ya kuelimisha vijana kuimarisha amani yaandaliwa Zanzibar
Wizara ya uwezeshaji visiwani Zanzibar imetumia ujumbe wa siku ya kimataifa ya vijana wa kuimarisha ushiriki na ushirikishwaji wa vijana katika shughuli za kiraia kwa kuendesha programuu maalum itakayowaelimisha vijana kuimarisha amani na utulivu katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Mafunzo hayo yatasaidia vijana kujielewa na kuwa mstari wa mbele katika kutetea Taifa lao kutokana na mchango wao mkubwa katika jamii.
program hiyo itakayokwenda sanjari na kauli mbiu isemayo vijana maamzi yako...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANI, USALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Wanahabari waombwa kuelimisha umuhimu wa amani
WAANDISHI wa habari mkoani Mtwara, wametakiwa kutumia kalamu zao kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa usalama na amani nchini kwani hicho ndicho kitu cha msingi katika maisha ya binadamu. Rai hiyo...
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Shirika la GPF laandaa kongamano kubwa la vijana la kujadili amani, kufanyika Zanzibar kuanzia julai 12, 2015
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Global Peace Foundation (GPF), Arnold Kashembe.
![2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/29.jpg)
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Global Peace Foundation (GPF), Arnold Kashembe (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu kongamano kubwa la vijana litakalofanyika Zanzibar kwa kipindi cha mwezi mzima kuanzia Julai 12 mwaka huu. Kongamano hilo litahudhuriwa na marais wastafu na viongozi maarufu. Kulia ni Mwakilishi Mkazi wa GPF nchini, Martha Nghambi na Mratibu wa...
10 years ago
VijimamboSHIRIKA LA GLOBAL PEACE FOUNDATION (GPF) LAANDAA KONGAMANO KUBWA LA VIJANA LA KUJADILI AMANI, KUFANYIKA ZANZIBAR KUANZIA JULAI 12, 2015
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Action Aid laendesha Bonaza la kuelimisha nguvu ya kodi kwa vijana
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Serikali kuwashirikisha vijana katika programu za maendeleo
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA), Dkt Natalia Kanem akizungumza wakati wa maadhimisho hayo ya siku ya kimataifa ya vijana duniani kwenye viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Kushoto ni Mgeni Rasmi kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Bibi Venerose Mtenga na kulia ni Mtaalamu wa Programu za Vijana kutoka UNFPA, Tausi Hassan.( Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
.Siku ya vijana duniani na ujumbe wa “Vijana...
11 years ago
Michuzi26 Feb
kampuni ya kuzalisha umeme ya SYMBION KUSAIDIA PROGRAMU ZA VIJANA TFF
![](https://2.bp.blogspot.com/-eVPl6SLmRRk/Uw3KuFXRTMI/AAAAAAAA_b0/ZzcgTnhsFg0/s1600/TFF1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uZP8MP1kxC4/VCq-hp1pdbI/AAAAAAAGmxM/C-nDltcEibE/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Programu ya kujitolea kwa Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu yamalizika leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-uZP8MP1kxC4/VCq-hp1pdbI/AAAAAAAGmxM/C-nDltcEibE/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YmAS17XeGd4/VCq-iUeSoDI/AAAAAAAGmxU/Wt7Dxu2Jm_g/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Mazungumzo ya amani: Kagame na Museveni wakutana mpakani kuimarisha uhusiano