Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Action Aid laendesha Bonaza la kuelimisha nguvu ya kodi kwa vijana

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw. Leornad Thadeo  akifungua bonanza la NGUVU YA KODI lililofanyika katika Viwanja vya chuo cha ustawi wa jamii katika siku ya kumbukumbu ya kuadhimisha miaka kumi na tano (15) tangu hayati  baba wa taifa Mwalimu Julius K Nyerere alipofariki  Dunia  Jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo limemkumbuka Baba wa Taifa kwa kutoa Elimu na maelezo ya kutosha juu ya Kodi na Nguvu yake katika kuchangia maendeleo ya Taifa letu na kukuza uchumi.  Mkurugenzi...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SHULE 30 ZAUNGANISHWA NA SHIRIKA LA KIMATAIFA LISILO LA KISERIKALI LA ACTIVISTA TANZANIA PAMOJA NA ACTION AID KUWEZA KUWAFAHAMISHA KUHUSU NGUVU YA KODI KWA VIJANA

Mgeni rasmi,Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw. Leornad Thadeo  akifungua bonanza la NGUVU YA KODI lililofanyika katika Viwanja vya chuo cha ustawi wa jamii katika siku ya kumbukumbu ya kuadhimisha miaka kumi na tano (15) tangu hayati  baba wa taifa Mwalimu Julius K Nyerere alipofariki  Dunia  Jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo limemkumbuka Baba wa Taifa kwa kutoa Elimu na maelezo ya kutosha juu ya Kodi na Nguvu yake katika kuchangia maendeleo ya Taifa letu na Kukuza uchumi.

 

10 years ago

TheCitizen

IMF mulls action to fix Dar Budget after aid cut

>The International Monetary Fund said it was working with the government to review this year’s budget performance following the decision by donors to withhold $558 million (nearly Sh1 trillion) in aid due to corruption concerns in the power sector.

 

9 years ago

StarTV

Programu ya kuelimisha vijana kuimarisha amani yaandaliwa Zanzibar

Wizara ya uwezeshaji visiwani Zanzibar imetumia ujumbe wa siku ya kimataifa ya vijana wa kuimarisha ushiriki na ushirikishwaji wa vijana katika shughuli za kiraia kwa kuendesha programuu maalum itakayowaelimisha vijana kuimarisha amani na utulivu katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Mafunzo hayo yatasaidia vijana kujielewa na kuwa mstari wa mbele katika kutetea Taifa lao kutokana na mchango wao mkubwa katika jamii.

program hiyo itakayokwenda  sanjari na kauli mbiu isemayo   vijana maamzi yako...

 

11 years ago

Bongo5

Siku ya Vijana Duniani: ‘Vijana na Afya ya Akili’, Tusipokabiliana na ukosefu wa ajira na kupewa nguvu ya maamuzi, hatutaweza

Miaka 15 iliyopita, Umoja wa Mataifa uliitangaza August 12 kila mwaka, kuwa ‘Siku ya Vijana Duniani’ ambapo kauli mbiu ya mwaka huu inasema ‘Vijana na Afya ya Akili’. Kwa mujibu wa andiko kutoka Umoja wa Mataifa, asilimia 20 ya vijana duniani kote hupata tatizo linalohusiana na afya ya akili kila mwaka. Hatari zaidi hutokea katika […]

 

9 years ago

Raia Mwema

Kama chama changu kinataka kushinda, kishinde kwa nguvu ya hoja si kwa nguvu ya dola

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

GPL

JESHI LA POLISI LAENDESHA MSAKO MKALI KWA WALIOWAUA ASKARI WAWILI

Kamishina  wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) …Akisisitiza jambo. Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Kova kwa makini.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Shirika la Sweden ‘RFSU’ laendesha mafunzo ya azazi ujinsia kwa wandishi wa habari 35 nchini

DSC00572

Meneja wa project ya TMEP, Cuthbert Maendaenda akitoa mada yake ya ushiriki sawa wa wanaume katika masuala ya afya ya uzazi na ujinsia wakati akitoa mafunzo kwa waandishi wa mikoa ya Singida na Rukwa. Mafunzo hayo ya siku tatu,yamefanyikia kwenye ukumbi wa mikutano wa Kalenga West Park Motel and Tours mjini Iringa.

Na Nathaniel Limu, Iringa

JUMLA ya waandishi wa habari 35 kutoka mikoa ya Rukwa na Singida wamehudhuriahudhuria mafunzo yanayohusu ushiriki sawa wa wanaume katika masuala ya afya...

 

10 years ago

Mtanzania

‘Vijana wengi hawana nguvu za kiume’

Dk. mwelePatricia Kimelemeta na Asifiwe George
TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu(NIMR),imesema vijana wenye umri wa kuanzia miaka 30 na kuendelea, wanaongoza kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,Mkurugenzi wa NIMR,Dk.Mwele Malecela alisema kwa sasa tatizo hilo ni kubwa ambalo linawakumba vijana wengi hususan barani Afrika.
Alisema hali hiyo,imesababisha vijana hao kutafuta dawa za kuongeza nguvu za kiume aina ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Nguvu kazi ya vijana haijatumika kikamilifu nchini

Sensa ya mwaka 2012 inaonyesha kuwa nguvu kazi ya Tanzania Bara, yaani wananchi wenye umri wa miaka 15 hadi 64 ni milioni 22.8.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani