‘Vijana wengi hawana nguvu za kiume’
Patricia Kimelemeta na Asifiwe George
TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu(NIMR),imesema vijana wenye umri wa kuanzia miaka 30 na kuendelea, wanaongoza kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,Mkurugenzi wa NIMR,Dk.Mwele Malecela alisema kwa sasa tatizo hilo ni kubwa ambalo linawakumba vijana wengi hususan barani Afrika.
Alisema hali hiyo,imesababisha vijana hao kutafuta dawa za kuongeza nguvu za kiume aina ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Sep
Dar kuna wasanii wengi wakali ila wengi hawana nidhamu — Producer T-Touch
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuull2pqWwTIMLABcUSnnPpDrydGxJ8Hwp9NQwPEi8hdLduhW2KZtWgJKsrXyjpq6ZzXIjSlgQSqIcRVksCJvwXaKR/UnhappyCoupleTheTrent.jpg?width=650)
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
10 years ago
BBCSwahili25 Apr
Je,miraa inaongeza nguvu za kiume?
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5bOMhfTDJqk/VZpT4lVbNLI/AAAAAAAHnPc/95ca328KzD4/s72-c/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
IJUE SAYANSI YA NGUVU ZA KIUME
![](http://3.bp.blogspot.com/-5bOMhfTDJqk/VZpT4lVbNLI/AAAAAAAHnPc/95ca328KzD4/s1600/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Vyakula vinavyoimarisha nguvu za kiume
11 years ago
Habarileo25 Mar
‘Wahitimu wengi hawana uelewa’
BAADHI ya wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini, wameelezwa licha ya kumaliza vyuo na kupata vyeti kwa ngazi mbalimbali bado hawana uelewa wa kutosha kwa mambo wanayosomea.
10 years ago
Habarileo24 Sep
‘Wengi hawana uelewa wa Katiba’
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema kimebaini Watanzania wengi hasa walio mikoa ya pembezoni, kutokuelewa kuhusu mchakato wa Katiba mpya unaoendelea.
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Nguvu zangu za kiume zimepungua, nifanyeje?
11 years ago
Habarileo31 Jul
‘Simu, kompyuta hupunguza nguvu za kiume’
WATANZANIA wametakiwa kuwa makini wanapotumia simu na kompyuta, kwani ndio chanzo cha matatizo mbalimbali yakiwemo ya kutoona, kutosikia, upungufu wa nguvu za kiume na vifo.