UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuull2pqWwTIMLABcUSnnPpDrydGxJ8Hwp9NQwPEi8hdLduhW2KZtWgJKsrXyjpq6ZzXIjSlgQSqIcRVksCJvwXaKR/UnhappyCoupleTheTrent.jpg?width=650)
Tatizo hili kwa kawaida huwapata watu wenye umri mkubwa hasa kuanzia umri wa miaka sitini na wagonjwa wenye magonjwa sugu kama shinikizo la damu, kisukari, kansa, kifua kikuu, ukimwi na wale wanaotumia madawa kwa muda mrefu. Mfano baadhi ya dawa za shinikizo la damu, moyo, kansa, vidonda vya tumbo na nyingine nyingi ambazo hazijafanyiwa uchunguzi wa kisayansi hasa baadhi ya dawa za asili huweza kukuathiri kabisa badala ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Mitindo ya maisha na upungufu wa nguvu za kiume
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1ZN0M-H5F23P2HIZUTJk2djvJhHxNI*AxLEhdIiBfPOdnxdt3XcXMnCXx3vvmWXqR8wc6UvNVL9i9EHsculNU3T/upsetcouple.jpg?width=650)
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UNAOTOKANA NA KISUKARI (DIABETIC NEPHROPATHY) -2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2ZK4hHSL-BDNuCt0OmZN9biF7j3V7SfSng8WOweRIQPD*kXtVpZTLKDck6EXT6BbDfjLUUNSPkHNTBA3rRu6BPA/DiabeticNephropathy.jpg?width=650)
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UNAOTOKANA NA KISUKARI (DIABETIC NEPHROPATHY)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9w_hKA9raXw/Vch9QijXOXI/AAAAAAAHvrQ/JQoyx4EdRRk/s72-c/Neema-Herbalistic-Clinic.jpg)
UHUSIANO ULIOPO KATI YA PUNYETO NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
![](http://4.bp.blogspot.com/-9w_hKA9raXw/Vch9QijXOXI/AAAAAAAHvrQ/JQoyx4EdRRk/s320/Neema-Herbalistic-Clinic.jpg)
Zipo sababu nyingi zinazo sababisha tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume, Miongoni mwa sababu hizo ni pamoja na maradhi kisukari, presha,shinikizo la damu, moyo, figo, matatizo kwenye mishipa ya ubongo & mishipa ya uti wa mgongo, matatizo kwenye mishipa itumikayo kusafrisha damu mwilini, maradhi ya ngiri, pamoja na upigaji punyeto kwa muda ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-y-J2daFOM0I/VaTCyIadguI/AAAAAAAHpjc/vWq6yc3MGGQ/s72-c/unnamed.jpg)
DAWA YA JIKO KUPONYESHA KABISA TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
![](http://4.bp.blogspot.com/-y-J2daFOM0I/VaTCyIadguI/AAAAAAAHpjc/vWq6yc3MGGQ/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rJNhjPXCpQ0/VctHosSX1oI/AAAAAAAC9kc/Ax8rUPjkeE4/s72-c/Neema-Herbalistic-Clinic.jpg)
UHUSIANO ULIOPO KATI YA PUNYETO NA TATIZO LA UKOSEFU / UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
![](http://4.bp.blogspot.com/-rJNhjPXCpQ0/VctHosSX1oI/AAAAAAAC9kc/Ax8rUPjkeE4/s640/Neema-Herbalistic-Clinic.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_fcGoRmruJU/Ve644t4a9LI/AAAAAAAH3R4/pk5NFu635YY/s72-c/Neema-Herbalistic-Clinic.jpg)
LISHE MAALUMU KWA WANAUME WENYE TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_fcGoRmruJU/Ve644t4a9LI/AAAAAAAH3R4/pk5NFu635YY/s640/Neema-Herbalistic-Clinic.jpg)
9 years ago
Bongo531 Dec
Utafiti: Upungufu wa nguvu za kiume huongeza hatari ya kupoteza maisha mapema kwa asilimia 70
![Anorgasmia](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Anorgasmia-300x194.jpg)
Ni kitu kinachofedhehesha ambacho huathiri shughuli ya mwanaume kitandani.
Lakini sasa, wanasayansi wameonya kuwa upungufu wa nguvu za kiume ambao kitaalam hujulikana kama (erectile dysfunction) unaweza kuwa na athari katika maisha ya mwanaume.
Wamebaini kuwa wanaume wenye matatizo hayo wana asilimia 70 ya kufa mapema. Hii ni kwasababu tatizo hilo lina uhusiano na magonjwa ya moyo.
Kwa kawaida, upungufu wa nguvu za kiume umekuwa ukichukuliwa kama kitu kinachoathiri watu wenye umri mkubwa....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s-Gf4G1PVUw/VcD-5U1ueDI/AAAAAAAHuHg/eU99rBw7s3k/s72-c/OBESEMAN.jpg)
FAHAMU UHUSIANO ULIOPO KATI YA UNENE & UZITO ULIOZIDI (OBESITY & OVERWEIGHT ) NA TATIZO LA UKOSEFU/UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitabibu, asilimia kubwa ya wanaume wenye unene na uzito uliozidi, wanakabiliwa na tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
KWANINI WANAU
![](http://4.bp.blogspot.com/-s-Gf4G1PVUw/VcD-5U1ueDI/AAAAAAAHuHg/eU99rBw7s3k/s640/OBESEMAN.jpg)