Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mitindo ya maisha na upungufu wa nguvu za kiume

Wanaume wana kawaida ya kupenda kufahamika kwa umahiri wao kimwili na matokeo yake hujiita kwa majina mbalimbali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Utafiti: Upungufu wa nguvu za kiume huongeza hatari ya kupoteza maisha mapema kwa asilimia 70

Anorgasmia

Ni kitu kinachofedhehesha ambacho huathiri shughuli ya mwanaume kitandani.

Anorgasmia

Lakini sasa, wanasayansi wameonya kuwa upungufu wa nguvu za kiume ambao kitaalam hujulikana kama (erectile dysfunction) unaweza kuwa na athari katika maisha ya mwanaume.

Wamebaini kuwa wanaume wenye matatizo hayo wana asilimia 70 ya kufa mapema. Hii ni kwasababu tatizo hilo lina uhusiano na magonjwa ya moyo.

Kwa kawaida, upungufu wa nguvu za kiume umekuwa ukichukuliwa kama kitu kinachoathiri watu wenye umri mkubwa....

 

10 years ago

GPL

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Tatizo hili kwa kawaida huwapata watu wenye umri mkubwa hasa kuanzia umri wa miaka sitini na wagonjwa wenye magonjwa sugu kama shinikizo la damu, kisukari, kansa, kifua kikuu, ukimwi na wale wanaotumia madawa kwa muda mrefu. Mfano baadhi ya dawa za shinikizo la damu, moyo, kansa, vidonda vya tumbo na nyingine nyingi ambazo hazijafanyiwa uchunguzi wa kisayansi hasa baadhi ya dawa za asili huweza kukuathiri kabisa badala ya...

 

10 years ago

GPL

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UNAOTOKANA NA KISUKARI (DIABETIC NEPHROPATHY)

Yapo madhara ya ugonjwa wa kisukari katika mwili wa binadamu na mojawapo ni ugonjwa wa figo (Diabetic Nephropathy) pamoja na ukosefu wa nguvu za kiume.Matatizo haya huwapata watu wenye kisukari na hutokea muda mrefu baada ya mtu kugunduliwa kuwa na maradhi ya kisukari. Tutaeleza baadaye kwa nini wenye ugonjwa wa kisukari wanakuwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, lakini leo tuangazie tatizo la figo ambayo ina mamia kwa...

 

10 years ago

GPL

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UNAOTOKANA NA KISUKARI (DIABETIC NEPHROPATHY) -2

BAADA ya kueleza kirefu kuhusu ugonjwa huu leo tuhitimishe kwa kufafanua tiba yake lakini pia nichukue nafasi kama mtaalamu kutoa ushauri. Endelea. Matibabu
Lengo kuu la matibabu ni kufanya figo zisiendelee kuathirika. Mojawapo ya njia bora kabisa za kusaidia hilo ni kudhibiti kiwango cha shinikizo la damu kuwa chini ya 130/80 mmHg. Zipo dawa husaidia tatizo hili kama vile zile za jamii ya Angiotensin Converting Enzyme...

 

10 years ago

Michuzi

UHUSIANO ULIOPO KATI YA PUNYETO NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

 UKOSEFU  ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani. 
 Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, Miongoni  mwa  sababu  hizo  ni  pamoja  na  maradhi  kisukari, presha,shinikizo  la  damu, moyo, figo, matatizo  kwenye  mishipa  ya  ubongo  &  mishipa  ya  uti  wa mgongo, matatizo  kwenye  mishipa itumikayo  kusafrisha damu  mwilini, maradhi  ya  ngiri,  pamoja  na   upigaji  punyeto  kwa  muda ...

 

10 years ago

Michuzi

DAWA YA JIKO KUPONYESHA KABISA TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Je. Unasumbuliwa  na  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume ?·        Unahitaji     tiba   ya  uhakika    kwa  ajili   ya  tatizo  lako  ?KAMA     JIBU  LAKO  NI  NDIO  BASI  HII  NI  HABARI   NJEMA  SANA  KWAKO.NEEMA  HERBALIST  &  NUTRITIONAL   FOODS   CLINIC   ni  duka  la   kuuza  dawa  mbalimbali  za  asili.Tunakujulisha  kuwa...

 

10 years ago

Michuzi

UHUSIANO ULIOPO KATI YA PUNYETO NA TATIZO LA UKOSEFU / UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

 Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  Miongoni  mwa  sababu  hizo  ni  pamoja  na  maradhi  kisukari, presha,shinikizo  la  damu, moyo, figo, matatizo  kwenye  mishipa  ya  ubongo  &  mishipa  ya  uti  wa mgongo, matatizo  kwenye  mishipa itumikayo  kusafrisha damu  mwilini, maradhi  ya  ngiri,  pamoja  na   upigaji  punyeto ...

 

9 years ago

Michuzi

LISHE MAALUMU KWA WANAUME WENYE TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

 Ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Kufahamu  kwa  kina  kuhusu  tatizo  la  ukosefu  &  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni muhimu  sana  kutembelea    link  hii  hapa  chini.http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/uhusiano-kati-ya-damu-na-tatizo-la.htmlLISHE  YA  NGUVU  ZA  KIUME  NI  NINI  ?Lishe  ya  nguvu  za  kiume  ni  lishe  maalumu  kwa  wanaume  wenye  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za ...

 

10 years ago

Michuzi

FAHAMU UHUSIANO ULIOPO KATI YA UNENE & UZITO ULIOZIDI (OBESITY & OVERWEIGHT ) NA TATIZO LA UKOSEFU/UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Unene  na  uzito  uliozidi  ( Obesity )  ni  miongoni  mwa  vyanzo  na  visababishi  vikuu  vya  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.
Kwa   mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitabibu, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wenye   unene  na  uzito  uliozidi, wanakabiliwa  na  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.
KWANINI  WANAUME  WENYE  UNENE  NA  UZITO  ULIOZIDI  WANAKABILIWA  NA  HATARI  KUBWA  YA  KUPATWA  NA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani