Programu ya kujitolea kwa Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu yamalizika leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-uZP8MP1kxC4/VCq-hp1pdbI/AAAAAAAGmxM/C-nDltcEibE/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante OleGabriel akiongea na wahitimu wa programu ya kujitolea wa Vyuo Vikuu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa VSO International Tanzania Bw. Jean Van Wetter.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habar i Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante OleGabriel katikati akimpa Cheti Dada Ndidi Tumpe wakati wa kuhitimisha Programu ya kujitolea kwa Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 Dec
'Wahitimu vyuo vikuu wajiamini'
VIJANA wahitimu wa vyuo vikuu wameshauriwa kuingia katika soko la ajira wakijiamini na kujipambanua kiuwezo, kutokana na elimu waliyopata wakiwa chuoni. Makamu Mkuu Chuo Kikuu Mzumbe, Kampasi ya Mbeya, Profesa Joseph Kuzilwa, alisema hayo mwishoni mwa wiki katika mahafali ya 12 ya chuo hicho.
11 years ago
Habarileo31 Jul
‘Wahitimu vyuo vikuu hawaajiriki’
UBORA hafifu wa wahitimu wa vyuo vikuu kiasi cha kusababisha wengine kutoajirika, vimeigusa serikali na sasa inatarajia kuja na mpango wa kukabili hali hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
‘Wahitimu Vyuo Vikuu msisubiri kuajiriwa’
WAHITIMU wa Vyuo Vikuu nchini wametakiwa kutumia elimu waliyoipata katika kujiajiri na kubuni miradi mbalimbali ya maendelo badala ya kusubiri kuajiriwa na serikali au makampuni binafsi. Rai hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki...
11 years ago
Habarileo20 Mar
‘Wahitimu vyuo vikuu rejesheni mikopo’
KUKOSA ajira kwa wahitimu wa vyuo vya elimu ya juu, ambao walinufaika na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (Heslb), siyo sababu ya mhusika kutorejesha fedha zilizotumika kumsomesha; imeelezwa. Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari, Elimu na Mawasiliano, Cosmas Mwaisobwa alisema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu shughuli za bodi hiyo.
10 years ago
Habarileo29 Dec
Wahitimu vyuo vikuu wahimizwa kujiajiri
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi wa Umma, Harun Ali Suleiman amewataka wahitimu wa vyuo vikuu kutumia taaluma zao kwa lengo la kujiajiri badala ya kusubiri ajira serikalini.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLQY2rsNfjGw-lxI8pZco-WKDUvFeiUV21QTkoKiTUwxYN3M8j6GafeUcuD2RIQZXEfRzH2YnLzXaOT2oreRjb4/unnamed19.jpg?width=650)
JOKATE AWATAKA WAHITIMU WA VYUO VIKUU KUJIAJIRI
10 years ago
Dewji Blog19 Oct
Mangula, Nape waongoza kongamano la maadhimisho ya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere ya vijana wa CCM vyuo vikuu leo
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula akihutubia Jumuia ya Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu katika Kongamano la Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, lililoandaliwa na Vijana wa CCM wa Vyuo Vikuu, kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, leo, Oktoba 19, 2014.
Katibu wa NEC, Irikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimpongeza Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Mzee Mangula baada ya kuhutubia katika kongamano hilo. Kulia ni Katibu Mtendaji Mkuu wa CCM mkoa wa Vyuo Vikuu, Christopher...
10 years ago
Michuzi20 Oct
MANGULA, NAPE WAONGOZA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE YA VIJANA WA CCM VYUO VIKUU , LEO
![](https://4.bp.blogspot.com/-fw97RaT9AFw/VEPEYspA6JI/AAAAAAAArcU/BXTIr8SaAFo/s1600/1.%2BMangula%2B2.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-vDZ5KjwAfMY/VEO-KNkhgGI/AAAAAAAArbU/FVgQhcIv7oU/s1600/2.%2BNape.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EPzTrzstEIc/U3H0kZKjSUI/AAAAAAAFhVI/Znpc_iY9Y24/s72-c/unnamed+(19).jpg)
Jokate Mwegelo awataka wahitimu wa vyuo vikuu kujiajiri
![](http://2.bp.blogspot.com/-EPzTrzstEIc/U3H0kZKjSUI/AAAAAAAFhVI/Znpc_iY9Y24/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q78h9MzM_2c/U3H0lTSMFTI/AAAAAAAFhVQ/Nf7bos1kZeM/s1600/unnamed+(20).jpg)