Serikali kuwashirikisha vijana katika programu za maendeleo
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA), Dkt Natalia Kanem akizungumza wakati wa maadhimisho hayo ya siku ya kimataifa ya vijana duniani kwenye viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Kushoto ni Mgeni Rasmi kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Bibi Venerose Mtenga na kulia ni Mtaalamu wa Programu za Vijana kutoka UNFPA, Tausi Hassan.( Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
.Siku ya vijana duniani na ujumbe wa “Vijana...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IXCzsRB1-c8/XmO1BbqPDMI/AAAAAAALhuk/9HXLOnNL-_YWhaspAjvQkIGpOBRK1hGwgCLcBGAsYHQ/s72-c/N-1-3.jpg)
MAWAZIRI NA WADAU WA UTATU WA SADC SEKTA YA KAZI NA AJIRA WAPONGEZA SERIKALI YA TANZANIA KWA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU YA TAIFA YA UKUZAJI UJUZI KWA VIJANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IXCzsRB1-c8/XmO1BbqPDMI/AAAAAAALhuk/9HXLOnNL-_YWhaspAjvQkIGpOBRK1hGwgCLcBGAsYHQ/s640/N-1-3.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (wa pili kulia) akizungumza na Mawaziri na Wadau wa Utatu wa SADC sekta ya Kazi na Ajira walipotembelea eneo la Kaole, Wilaya ya Bagamoyo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/N-2-1.jpg)
10 years ago
MichuziWARSHA KATIKA HOTEL YA GOLD CREST JIJINI MWANZA KWA AJILI KUHAMASISHA NA KUJENGA UWEZO WA KUJUMUISHA MASUALA YA VIJANA KATIKA MIPANGO YA MAENDELEO YA MKOA NA WILAYA
Warsha hiyo inafanyika katika vituo vya Mwanza na Musoma. Katika kituo cha Mwanza warsha inafanyika tarehe 8 na 9 Juni 2015, kituo ambacho kinajumuisha Sekretarieti ya Mkoa na Halmashauri za mikoa ya Mwanza,...
11 years ago
MichuziVIJANA WAASWA KUSHIRIKI KATIKA SHUGHULI ZA MAENDELEO
9 years ago
Dewji Blog31 Aug
Dk. Bujugo: “Vijana unganeni tuweze kuwasaidia katika shughuli za maendeleo”
Mgombea Udiwani Kata ya Magomeni, Dk. Julian Bujugo (wa tatu kutoka kushoto) akisikiliza mmoja wa wajumbe wa CCM, aliyekuwa akihutubia jukwaani wakati wa mkutano huo wa kampeni uliofanyika jana jioni Agosti 30.2015. Mtaa wa ChemChem Magomeni Mapipa. Anayemfuatia ni mmgeni rasmi katika mkutano huo, Alhaj Salum Londa. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Magomeni-Kinondoni) Kampeni za kisiasa kuwania nafasi ngazi ya Udiwani kwa Kata ya Magomeni jana...
9 years ago
MichuziVIJANA WAUNGANA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI KATIKA MALENGO 17 YA MAENDELEO ENDELEVU (SDGs)
Akizungumza na wadau wa Mabadiliko ya Tabianchi,Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabianchi,Sixberty Mwanga amesema kuwa katika malengo 17 ya Maendeleo Endelevu Tanzania inatakiwa kushiriki na kukubali juu ya kuweza kupata fedha za kuweza kutekeleza malengo hayo.
Mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN) wa Malengo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D1hSEGrJ1bQ/VJssnTwORhI/AAAAAAAG5qk/vyIz_ZMKMP4/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
Kikundi cha Ngara Youth Foundation kimeishukuru Serikali kwa kupatiwa Mkopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana.
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Diaspora, Serikali kujadili maendeleo katika kongamano
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hPLb-aUrFxs/VBhF9OurSnI/AAAAAAAGj9c/d45f3mfSzjM/s72-c/01.jpg)
Tanzania kufaidika na Mfuko wa Programu ya Maendeleo ya Kimataifa ya LFI
![](http://3.bp.blogspot.com/-hPLb-aUrFxs/VBhF9OurSnI/AAAAAAAGj9c/d45f3mfSzjM/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-biNt2wvakAo/VBhFRzgM-WI/AAAAAAAGj9M/U9LTb6cBxgo/s1600/02.jpg)
10 years ago
Zitto Kabwe, MB07 Dec
MAENDELEO NA MAGEUZI KATIKA UKAGUZI NA KAZI ZA KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI
![](http://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3427&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)