VIJANA WAASWA KUSHIRIKI KATIKA SHUGHULI ZA MAENDELEO
Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Bw. James Kajugusi akisisitiza jambo wakati akiwahamasisha vijana wa Mchinga kujiunga katika vikundi vya uzalishaji mali ili kuunda SACCOS ya vijana. Kulia ni Afisa Tarafa ya Mchinga, Bi.Hadija Mringwa. (Picha zote na Concilia Niyibitanga,Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo)
Afisa Kata wa Kata ya Mchinga, Bi. Sharifa Mkwango, akisisitiza jambo kuhusu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog31 Aug
Dk. Bujugo: “Vijana unganeni tuweze kuwasaidia katika shughuli za maendeleo”
Mgombea Udiwani Kata ya Magomeni, Dk. Julian Bujugo (wa tatu kutoka kushoto) akisikiliza mmoja wa wajumbe wa CCM, aliyekuwa akihutubia jukwaani wakati wa mkutano huo wa kampeni uliofanyika jana jioni Agosti 30.2015. Mtaa wa ChemChem Magomeni Mapipa. Anayemfuatia ni mmgeni rasmi katika mkutano huo, Alhaj Salum Londa. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Magomeni-Kinondoni) Kampeni za kisiasa kuwania nafasi ngazi ya Udiwani kwa Kata ya Magomeni jana...
10 years ago
Bongo518 Nov
Vijana waaswa kushiriki mashindano ya teknolojia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8akRqokc3GJ6IdUJAeZx5g6czn0HOj2qeMIbMIrY8GC6Ue99AOcoJovuqj4rnPNqBpmzxzuov*yVGCGsI9heCH7/001.APPSTAR.jpg)
VIJANA WAASWA KUSHIRIKI MASHINDANO YA TEKNOLOJIA
11 years ago
MichuziHALMASHAURI ZATAKIWA KUTENGA MAENEO KWA AJILI YA SHUGHULI ZA MAENDELEO YA VIJANA
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
DC Tunduru awataka wadau wa misitu kushiriki katika maendeleo vijijini
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Chande Nalicho.
Na Steven Augustino wa Demashonews,Tunduru
SERIKALI Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma, imewataka wafanyabiashara walioomba kuvuna mazao ya misitu Wilayani humu, kutoa ushirikiano katika uendelezaji wa elimu ikiwa ni pamoja na kutoa misaaa ya kutengeneza madawati na kuyasambaza katika shule zilizopo Wilayani humu.
Wito huo, umetolewa na Mwenyekiti wa kamati ya uvunaji wa mazao ya misitu wilayani Tunduru, Mkuu wa Wilaya ya hiyo, Bw. Chande Nalicho,...
11 years ago
Dewji Blog24 May
Mh. Mohammed Dewji akiwa katika ziara ya kukagua shughuli mbalimbali za maendeleo ya jimbo lake
MO akisalimiana na wazee wa kijiji cha Uhamaka kabla ya kuanza kuzungumza na wananchi.
MO akisalimiana na mmoja wa watoto waliofika kwenye mkutano wake Uhamaka.
Mbunge MO akilakiwa na mmoja wa bibi kizee aliyefika kwenye mkutano wake , Karibu mjukuu wangu hapa Uhamaka.
Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mohammed Dewji (MO), akiweka saini kwenye kitabu cha ofisi ya kijiji cha Uhamaka Manispaa ya Singida wakati akiwa kwenye ziara ya kiazi ya siku moja kukagua shughuli mbalimbali za...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_00731.jpg)
MH. MOHAMMED DEWJI AKIWA KATIKA ZIARA YA KUKAGUA SHUGHULI MBALIMBALI ZA MAENDELEO YA JIMBO LAKE
10 years ago
Michuzi26 Nov
Kinana aunguruma wilayani Nanyumbu mkoani mtwara, akagua miradi ya maendeleo na kushiriki katika kazi
![](https://3.bp.blogspot.com/-cUPP_f1UqF8/VHTYYMZzyiI/AAAAAAAAT24/HmYmGAWr8wM/s1600/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-18fcIkhbv7c/VHTYpv88f6I/AAAAAAAAT5E/xyLjUuiTfxg/s1600/3.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-HjHxkHe3aoM/VHTYuzD8aAI/AAAAAAAAT5o/Aj1b_FAZIrU/s1600/4.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-xOT28tU3BQo/VHTYv3icWQI/AAAAAAAAT50/y3KpwcVMv44/s1600/5.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...