Vijana waaswa kushiriki mashindano ya teknolojia
Ndoto za wanafunzi wa vyuo vikuu wanaosoma masomo ya sayansi ya teknokojia ya habari na mawasiliano nchini ya kuwa magwiji wa fani hiyo zinaelekea kutimia. Hali hii inatokana na kuzinduliwa kwa shindano la kusaka vipaji vya ugunduzi wa program za simu – App Star – mwezi huu. Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania,Abigail Ambweni […]
Bongo5
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania